Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Wewe bwege sana! Labda shahada yako ndio ya mazingaombwe( kama unayo hata Form 4 yenyewe!Sasa na wewe shahada yako ya uzamili ya sayansi kimu utakuja kuisema mbele za watu? Mwone huyu naye!!
Wewe bwege sana! Labda shahada yako ndio ya mazingaombwe( kama unayo hata Form 4 yenyewe!Sasa na wewe shahada yako ya uzamili ya sayansi kimu utakuja kuisema mbele za watu? Mwone huyu naye!!
Ha ha ha haaa! Ungu'moto masika!!Wewe bwege sana! Labda shahada yako ndio ya mazingaombwe( kama unayo hata Form 4 yenyewe!
Wewe unayo ya uzamili? Umefanya kitu gani kulingana na shahada yako hiyo?Mbona CV nyepesi sana hii. Labda kwa wewe usiyepata Shahada ya Uzamili!
So what? Wewe Hamna walimu walikufundisha olevel, Alevel na chuo na uliwapita? Hewa weweAcha ujinga wewe. Inaonekana uliishia darasa LA pili. Tundu Lissu kafundishwa na Dr Mwakyembe period!
CV yangu hata haifiki mistari kumi na mbili! watoto wetu wapate elimu bora aisee
kwani madikteta huishi milele?Utamfanyaje labda umuue !!
Unataks kusema Lissu ana PhD kama Mwakyembe? Mavi yakoooo!So what? Wewe Hamna walimu walikufundisha olevel, Alevel na chuo na uliwapita? Hewa wewe
Ni bora mninyime kura mm nisiende ikulu,kuliko kumpa kura lisu kwenda bungeni jk 2010 singida.
Huruma sana! Bado kuna peoples' power wewe mburula? Mara UKAWA Mara UKUTA !!!Lissu ni level nyingine katika medani ya sheria na siasa. Unapogongana naye mahakamani lazima ujipange. Rejeeni hotuba zake bungeni hasa kwenye miswada ya sheria kwa jinsi alivyokuwa anawakokota kina Chenge na Migiro hadi Makinda alimvulia kofia kwa jinsi alivyokuwa anawaweka sawa. Majaji na mahakimu wanaosikiliza mashauri ya Lissu huhahirisha mashauri ili kujipa muda wa kuperuzi kwani Lissu ni vitabu vya sheria. Ushahidi wa haya ni pale wanasheria wa serikali walipoamua kurefer sheria za makaburu kuonyesha kuishiwa hoja. Go go Lissu the peoples power is with you and no one can shut your mouth except our Great Lord. Have my prayers.
Ubinafsi tu kaka, wote ni wa kuozakwani madikteta huishi milele?
Chama cha vilaza mnamuona yy ndio msomi sanaKwa hii CV niharali jamuhuri kujichanganya lazima wakajipange upya vinginevyo atawashinda kesi zote
Popote pale alipo Rais wetu mstaafu, ni lazima sasa anayakumnuka maneno yake Yale. Na atakuwa anawakumbusha wenzake " nilisema Mimi, bora Dr. Slaa awe Rais kuliko Tundu Lisu kuingia bungeni".Ni bora mninyime kura mm nisiende ikulu,kuliko kumpa kura lisu kwenda bungeni jk 2010 singida.