Utetezi dhaifu sanaWauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Sina fununu Mkuu!!!!!!ha ha ha haaaaa... Hayawi hayawi hatimaye haya hapa.
sugu wala mbowe hawatumii vyeti vya mtu kunatofauti kubwa sana, kama alipata zero inatakiwa Daudi atumie leaving certificate yake- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Tutajie elimu ya chuo ni yake au ni ya mwenye vyeti?sugu wala mbowe hawatumii vyeti vya mtu kunatofauti kubwa sana, kama alipata zero inatakiwa Daudi atumie leaving certificate yake
Wataumerge na mwingine unaomuhusu maana huo ulianzishwa zamani kabla wewe hujajiunga humuMods msifute wala ku merge huu uzi..
Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀
Ngoja tumalize kwanza la Daud kisha tutakuja kwa Mbowe kama naye alidanganyaMods msifute wala ku merge huu uzi..
Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀
Kama vina shida useme tu ila kwa ss tunahitaji vya makondaMods msifute wala ku merge huu uzi..
Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀
Mbowe alishawahi jisemea kuwa hana degree,Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀
Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀