Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Le Mutuz na Makonda niliona picha waliyopiga pamoja South Africa wanapendeza sana ni penzi jipya inaonekana, bora uchafu wao walienda kufanyia mbali
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Huyu nae sijui ataacha lini kujipendekeza kwa Makonda mpaka anatia huruma jamani duh!!
 
Wauza unga wamefanya JF sasa kuwa uwanja wa kumchafua Mh. rais wetu na viongozi wake....Hii nchi ilihitaji kusafishwa, na tutafika tu. Makonda kaza buti kijana na kama inawezekana kuwa mkali Zaidi kwa kutokuwa na huruma na hawa wababishaji. Tia selo tu.
 
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
Mie bana nilikuwa naamini watu wa Bukoba wako vizuri sana kielim na kiufaham, lakini kila nnaposoma post zako Bwana Ruttashobolwa daah napata shida sana kuendelea kuamini hilo.. Mtoa uzi kauliza kitu pengine kwa kumpenda au kupenda utendaji wa Mh Makonda we direct mayoreo umekimbilia kwenye siasa yaani kumuhusisha na chama flan cha kisiasa... Iwe bojo..
 
Dr Slaa udokta wake hauna na hauwezi kuwa na tija kwa taifa ..Kimsingi Dr slaa ameishia kidato cha sita..elimu ya dini inatija kanisani tuu!
Alokuambia padre anasoma theolojia peke yake ni nani!? Elimu ya padre inahusu maisha nje na ndani ya kanisa..
 
Hili ni taifa LA mazombi ndo maana hata wajinga wanatutawala
Kweli mkuu hujakosea, Hili Taifa linashida Sana, Kuna mtu mwingine Anaitwa Mbowe eti nae nikiongozi wa chama!!! Kama Unataka ugomvi nae Hebu Ulizia CV yake tu.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Lindiwe sisulu Ndugu Paul Makonda ni msomi wa shahada mbili za sheria kutoka UDSM ni mwanasheria mahiri ni kijana aliyekulia kutoka chipukizi hadi hapo alipofikia..amezaliwa kiongozi kwani kote alipokuwepo ikiwemo skuli amekuwa kiongozi na anayo dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa lake la tanzania kwani kazaliwa mtanzania kasoma mtanzania na atabaki mtanzania
nyuso zenu leo mtaziweka wapi??
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.

RC Makonda huu ni upepo wa wafitini wako, wenye chuki binafsi na wafuasi wa wale kujivua gamba na chadema ambao wanataka kutumia VITA uliyoanzisha ya Wauza Madawa y Kulevya kama platform ya kukushambulia. Simama imara Mungu yuko nawewe utashinda na utavutagh'ambo.
Bila wewe hatua iliyofikiwa sasa na serikali ya awamu ya tano kwenye kupambana na biashara haramu ya "unga" ISINGEKUWAHAPO. Mungu akupe moyo na akulinde.
Sasa wanazusha eti cheti fake, kaza uzi maana nia yao wewe uporomoke, achana na wanafiki na mambo ya uzushi ya mitandaoni ili kukufanya upoteze mwelekeo kama hauko imara. Waonyeshe uko imara na ni kijana mpambanaji.
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.

Ili iweje. Makonda piga kazi wahusika wameanza kuhenya
 
Hilo jibu lilitakiwa lijibiwe na 16 years old sio old man with 56 kama wewe!

Mtu ameuliza wasifu wa DC mpya, wewe unadai wasifu wa Sugu.

Ndo ulivyojifunza namna ya kujibu maswali kwenye hzo degree tatu?

CV ya mbowe na Makonda zilinganishwe
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
KAPASUE TUMBO
 
Hii issue ya CV ya Makonda as for now ni kichefu chefu kuifuatilia. Ukiwaruhusu watu wakuchimbe, watakuchimba kweli.
 
kama hamna CV si make tuu kimya. uzi wa toka 2015 kasoma mara UD mara Muccobs ,,, mtu kataka CV ya kiongozi wake kuna ubaya gani??? kama unayo tuma au mtumie kwa email yake
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
msomi wa dunia ... kimenuka sasa
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
huko kote aliongoza akiwa coka cola zero. bashite ndio habari ya mjini siku hizi. aibu tupu.
 
Back
Top Bottom