Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,337
Mwaka ulirudishwa nyuma.Forgery!Inasemekana Gharibu wa GSM alimuuzia kiwanja R Makonda mwaka 2013
JE makonda alipata wapi pesa ya kununua kiwanja 2013?? HUYU alianza kupiga pesa mwaka 2016 baada ya kuteuliwa kuwa DC