Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Unatia huruma sana.Kwa wanao hoji uhalali wa vyeti vya mh. Makonda naomba tusisahau pia majibu ya mh. Mbowe juu ya elimu yake..Hatujawahi kumsikia kiongozi wa upinzani bungeni akijitokeza mbele ya umma kuelezea safari yake ya kielimu pamoja na kutuonyesha vielelezo kama vyeti n.k..
Tunapotoa tuhuma kama hizi, tusisahau pia kuweka usawa maana KUB na mwenyekiti CHADEMA ni cheo kikubwa na hapaswi kuingia mitini kwenye tuhuma hizi..
Kama tunataka vyeti vya Makonda vihakikiwe basi vyeti vya Mbowe navyo vihakikiwe..Ili twende sawa..Huu mchezo hauhitaji Hasira😀😀😀
Yaani ulichoandika hapa ni sawa na toto jinga linasema "basi na mi sili basi"