Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
R.I.P mzee wa viwango na standards. Ninafikiria tu angekua hai sijui angekua na kauli gani katika hili.alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
R.I.P mzee wa viwango na standards. Ninafikiria tu angekua hai sijui angekua na kauli gani katika hili.alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Aisee kumbe alisomaAlipataga GPA ya 2.9 kwa kusaidiwa pale muccobs baada ya kufeli na kurudiarudia mana alikuwa hamalizi
hahahahahahahahahahhahahLindiwe sisulu Ndugu Paul Makonda ni msomi wa shahada mbili za sheria kutoka UDSM ni mwanasheria mahiri ni kijana aliyekulia kutoka chipukizi hadi hapo alipofikia..amezaliwa kiongozi kwani kote alipokuwepo ikiwemo skuli amekuwa kiongozi na anayo dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa lake la tanzania kwani kazaliwa mtanzania kasoma mtanzania na atabaki mtanzania
kazi kweli kweliAnaweza kuwa kazini but akawa anatenda yasiyoendana na elimu yake.
Nataka nijue kama kiwango chake cha elimu kinaendana na utendaji wake wa kazi
Kweli?Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
Kumbe?1.Aliwahi kuwa waziri mkuu -MUCCOBS
2. Alipiga hela za wanafunzi ikapelekea kuzuia sherehe za kukaribishana wanafunzi
3.Hajawahi fanya assignment akiwa chuo ila alifanyiwa na frnds zake kama Edy+ Ino akiwaahidi kuwatafutia kazi wakimaliza chuo
4. Aliwahi kumtishia kumpiga dean wa chuo (mrs nk) endapo angeendelea kumzuia kutimiza tamaa zake za kimadaraka.
5.Alijitahidi kukuza chama cha CCM MUCCOBS(nampongeza sana kwa hili),
6. Aliwaahidi wana ccm wote muccobs kupewa kazi nzuri wakimaliza chuo(hope atatimiza hili sasa bila ubishi)
7. Makonda oyeeeeeee
Mmh! Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Ngoja tusubiri vyeti na maelezo mubashara.Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
Endeleeni kufunguka, ili mradi ni ukweli. Hatutaki kiki!1.Aliwahi kuwa waziri mkuu -MUCCOBS
2. Alipiga hela za wanafunzi ikapelekea kuzuia sherehe za kukaribishana wanafunzi
3.Hajawahi fanya assignment akiwa chuo ila alifanyiwa na frnds zake kama Edy+ Ino akiwaahidi kuwatafutia kazi wakimaliza chuo
4. Aliwahi kumtishia kumpiga dean wa chuo (mrs nk) endapo angeendelea kumzuia kutimiza tamaa zake za kimadaraka.
5.Alijitahidi kukuza chama cha CCM MUCCOBS(nampongeza sana kwa hili),
6. Aliwaahidi wana ccm wote muccobs kupewa kazi nzuri wakimaliza chuo(hope atatimiza hili sasa bila ubishi)
7. Makonda oyeeeeeee
Kweli?
bashiteAcheni! hizo tupambane na wauzaji sumu za kulevya!
OhoooDr. Slaa unadhani alipewa udoctor ka laprofeseli wa kilimo. Aka mic wa magogon.
We jamaa la kuingia na mapensi had ikulu litakuwa limutu kweliHivi huyu Le Mutuz ni binadamu au robot?
kwani hao uliowataja wameteuliwa au wamechaguliwa na wananchi wao na wamewaamini- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama ******* duh!!
Le Mutuz
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika[/QUOT
makonda ndioila bashite ni 0 brain