Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Habari yako kiongozi. Ni mwaka mmoja sasa Rudi tuyajenge.
 
Ina maana hakuna mtu aliyesoma na makonda?
Kama yupo amwage cheche hapa. Halafu hivi waandishi wa habari za uchunguzi nchini Tanzania hawapo?
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Le Mburula alivotema pumba.. Ilikuwa 2015 hiyo...
 
Hivi lemutuzi aka kubwa jinga hua akili yake ina akili..ni rafiki wa mashaka na anakukana pindi upatwapo na matatizo
 
Nimeanza kuona hili swala la vyeti vya makonda kama upumbafu maana mamlaka husika ipo(necta) ila ipo kimya.
Wanafunzi waliosoma na makonda wapo ila kimya.
Waandishi wa habari za uchunguzi wapo ila kimya. Huu ni upumbafu. Waandishi fanyeni kazi zenu acheni ujinga.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz


Ha ha ha ha le mbuluraz
 
Ya sugu iko wazi ingia kene page yake na ameiweka wazi kwenye kitabu chake jiongeze usitoke povu
 
Hizi taasisi zina mamlaka ya kusimamia elimu ya sekondari na vyuo

Elimu ya msingi na sekondari ya bwana Paul Makonda imezua maswali hivi karibuni, taasisi muafaka ya kuondoa shaka,tena kwa kutumia nyaraka halisi na kuziweka wazi ni Baraza la Mitihani Tanzania.

Itueleze kama alisoma pamba secondary ,index namba yake, matokeo yake ya mock,na pia shule ya msingi aliyotoka,na kama alichukua cheti cha mtu aliyesoma BUSWELU sekondari, pia tuambiwe alitokaje pamba sekondari akaenda BUSWELU sekondary

Kuhusu suala la kusoma DIPLOMA chuo cha uvuvi Mbegani,NACTE watoe ufafanuzi iwapo mtu huyu alisoma diploma mbegani,kwa jina gani,na aliingia kwa maksi zipi,na alisoma form six wapi(hii ya form six haisemwi alisoma wapi)

Tunajua huwezi kusoma diploma bila kupitia "A" level,ni nani alimpa admission

Kuhusu elimu ya juu,TCU itoe ufafanuzi.

Ikishindikana basi wizara ya elimu iingilie kati


Pia msajili wa hati (DEED POLL) wizara ya ardhi kwa mzee lukuvi,atuambie kama ana rekodi zozote za huyu bwana kubadili jina na zilisajiliwa lini na lini zilitangazwa kwenye gazeti la serikali (Government Gazette),
IMG-20170223-WA0000.jpg
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Huyu mzee anaandika pumba hadi huwa naona aibu aisee
 
Waziri Agela Kairuki unasemaje kuhusu hili kwani uliahidi kuwa hakuna jiwe ambalo halitageuzwa??
 
Back
Top Bottom