mchezo mbaya
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 242
- 235
Exactly
Kwenye suala la Forgery hakuna issue ya muuza unga..Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Wauza unga ndo wana vyeti vya Makonda?Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
na wale wanaohakiki vyeti vya wafanya kazi wengine ni wauza unga?Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
na wale wanaohakiki vyeti vya wafanya kazi wengine ni wauza unga?Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Unataka ujue ikusaidie ,nini?,mbona CV ya mbowe haijulikan popote DuniaNi ufinyu wa fikra kudhani kuwa kila anayedai ukweli ujulikane kuhusu elimu ya makonda ni muuza dawa za kulevya. Vita haianzi mpaka pawepo sababu, na sababu kaileta makonda mwenyewe.

Utetezi mwepesi sana!Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Kafanye kazi na hutapewa ajira kwa porojo hizi za mitandaniWauza unga ndo wana vyeti vya Makonda?
Tuache mzaha na majibu mepesi kwenye vitu vya msingi.
Zoezi la uhakiki vyeti na wafanyakazi hewa halijaisha...watu hatuna ajira mpya wala nyongeza ya mishahara kwa sababu ya tatizo hili. Ni tatizo lililopigiwa kelele mbaya hadi na Makonda mwenyewe.
Ingekuwa ni mtumishi yeyote mwandamizi chini ya Makonda kaandikwa kuhusu vyeti ni wazi kwa tabia yake angeshamtemea cheche na hata kumsimamisha kazi... kukuonyesha kuwa swala la uhakiki wa wafanyakazi sio la spoti spoti lilimpotezea kazi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mama Anna Malecela kwa kasi ya ajabu. Akimbuliwa ghafla hata hakuamini macho yake..
Sasa Makonda naye ni mkuu wa mkoa. Yeye akiwa ndo boss wa Dar, ni lazima ajiongeze na awajibike.
Swala la wauza unga usilitumie kama mwamvuli....zoezi hili la uhakiki wa vyeti lilianzishwa na Makonda na mabosi wake....walimalize kwa namna isiyotia shaka. Kama hana vyeti halali, sheria iko wazi na ifuate mkondo wake kama ilivyofanya kwa maelfu ya watumishi wa umma tunaopewa twakimu kila siku.
Ukaguzi wa vyeti vya watumishi umeanzia serikalini, tumalize kwanza serikali ndio twende huko kwa akina Mbowe!Unataka ujue ikusaidie ,nini?,mbona CV ya mbowe haijulikan popote Dunia![]()
![]()
![]()
Kuna kila haja ya kumhakiki mbowe,sugu,msigwa, hahahahahKwahiyo n
na wale wanaohakiki vyeti vya wafanya kazi wengine ni wauza unga?
Naona hii ni vita dhidi ya wauza unga na vilaza waliofoji vyeti.Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Ukiona hivyo ujue kilaza anamtetea kilaza mwenzie...Utetezi mwepesi sana!
Ukisema hivi hiyo serikali inayopinga vyeti feki yote inauza unga. Na kama mtoa mada muuza unga wee ni teja soon unakufa kwa kuukosa.Wauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap
Aliyekushikia akili zako kakuweza alokwambia sina kazi ni naniKafanye kazi na hutapewa ajira kwa porojo hizi za mitandani

Tupo siku zote sasa konda kajileta tutamshughulikiaWauza unga bhana. ,toka awali mlikuwa wap