hahahahahahHHa rais wa twitter.
Kwani Nchimbi na January nani zaidi kidogo?
tanzania hata boga lina weza kuwa rais...ilimradi liwekewe fedha nyingi.
Hata kama atakua 40 na Tuhuma mbaya na kali kuliko hiz.Hii ni serious kuliko scandal ya kufoji umri.Kuiba mtihani halafu ufanye forgery na kuwa waziri wa sayansi na teknolojia inayohusu matumizi ya kompyuta?Yaani ukizungumzia makampuni ya microsoft huwezi kuvuka mipaka kujadili kwa uhuru bila ruhusa ya huyo mwenye tuhuma za wizi wa mitihani ambazo hajawahi kuwa courageous enough kuzijibu.Tunaongelea wizi kwenye ATM,Kondomu feki kutoka nje,matumizi mabaya ya mitandao,JF kufungiwa pasipo sababu,Kuvusha mihadarati kwa njia za kijasusi huko Airport. Bado tuna ujasiri wa kuwa na waziri mwenye tuhuma za kuiba mitihani bila majibu?Worse Enough,Rais ajaye?Please!
Nilijua wezi na wajinga ndo walivyo, eti urais January jamani??? mi wale wanavyuo niliwaita Malaya Fulani tu, hata kama JK amefanya kila mTZ aone anaweza kuwa rais, hata na wewe January??? shame on you JM
Ndo maana naamini Rais ajaye wa CCM atamfanya Kikwete
aonekane 'genius'
Sasa unailaumu simu kwa kushindwa kujua wapi kutumia capital letters na small letters na punctuation? Ulikuwa uamuzi mzuri kukwepa taaluma ya IT kwani huko kuna kitu kinaitwa "syntax" na "logic" errors. Kwa kushindwa kujua simple syntax za lugha ya Kiswahili na Kiengereza basi ni wazi hizo lugha za Java, C, na C++ ungelamba mchanga. Achilia mbali "logic" maana huko ndiyo "kwangu pakavu" kabisa.Bora nishindwe kujua kutumia capital letters na small letters ninapotumia smart phone ambapo waziri wa sayansi na teknolojia(smartphone) anahusika kuliko kuwa waziri ambaye ni kikwazo kwa wadogo zangu walioniona nikikwepa taaluma ya IT chuo kikuu.
co tanzania ya leo
Yaani kuwa secretary wa rais tu na yeye anataka kuwa rais.jimbo lenyewe limemshinda analiongoza kwa twiter nchi si ataiongoza kwa instagram!
kweli jk kapaharibu ikulu, yaani saivi kila mtu anajiona.anaweza kuwa raisi, sijui ni kwa vile hadi mateja wamealikwa pale..!??? Naomba tu msishtuke kuskia kesho nimekodisha canter kutoka huku kwa gude nikawaambia naenda kuishi magogoni..
Unaongelea Java,C,C++ na "Syntax".I was a young boy.Nilijifunza hiyo 2002 Baada ya kumaliza kidato cha nne tu ambacho Huyo waziri wa C,C++, Java na "Syntax" alituhumiwa kuiba mitihani na leo unataka awe Rais.Kwanza mpe shule.Hizo ni computer language.Very basic.Sidhani kama ana ufahamu kwa mazingira ya tuhuma hizo.He looks like a clueless minister!Disguisting,anyways !Sasa unailaumu simu kwa kushindwa kujua wapi kutumia capital letters na small letters na punctuation? Ulikuwa uamuzi mzuri kukwepa taaluma ya IT kwani huko kuna kitu kinaitwa "syntax" na "logic" errors. Kwa kushindwa kujua simple syntax za lugha ya Kiswahili na Kiengereza basi ni wazi hizo lugha za Java, C, na C++ ungelamba mchanga. Achilia mbali "logic" maana huko ndiyo "kwangu pakavu" kabisa. 111sadsfadf
Unless he comes out clean ....!