Wasifu (CV) wa January Makamba

Hebu wekeni hii sawa:

(a) alipata zero form four

(b) aliiba mtihani akapata zero form four (ikiwa hivi itakuwa noma kichizi)

(c) alifaulu form four lakini aliiba mtihani

The same can be asked for form six results.

Kitwange,

Hakuna tafsiri ya ziada kuhusu genius zaidi ya hii
 
Last edited by a moderator:
ben hivi kujibu swali mpaka ulambe sumu kidogo kwani kuna ugumu gani kutaja mbowe alipata nn form 6.au atakunyima dili la kuua watu kwa sumu?
 
m 23(Salia),

CV yangu ni Madame B tena?Hebu tuache,usituchimbe

Rejea CV niliyotaja kwa ufupi.CV ya Mbowe na Slaa imetajwa.Najua nimekuumiza.Pole Salia.Be strong!Ila waeleze wenzio ukweli,acha ushabiki na ulaghai kaka

Ben achana na huyu salia, watamfuta sana viatu Chemba!!
 
Last edited by a moderator:
Huo uwaziri wenyewe kapewa cz wakt anapata ubunge baba yake akasema MWANANGU LAZIMA AWE WAZIRI...
 
.............
Mwanzo ulikuwa wapi Kama ulijua kaiba why hukusrma long???? Na wakati anaiba we ulikuwa wapi ??????:confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused:.........

Utakuwa mgeni humu ndani,uzi kuhusu elimu ya JM upo zamani tokea kipindi kile baba yake anamsifia kua anaakili,ulishamvua nguo hii ni remix tu
 
Wasahihishaji mtihani wakakuwa walimwonea

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ben hivi kujibu swali mpaka ulambe sumu kidogo kwani kuna ugumu gani kutaja mbowe alipata nn form 6.au atakunyima dili la kuua watu kwa sumu?

hii mada ina mhusu sana january
 
Pro cdm ni wajuvi mno kushadadia cv za wenzao.. PINDI zikiwekwa za viongozi wao wanalia kwa mods thread ifungwe.. mara waliosoma wametufanyia nini

nadhani hapo ni issue ya watanzania wote tu... ndio wengine tunajipachika madigirii ya heshima hadi yanatushinda kutemba nayo... hatupendi kukosoana, tunapenda kushadadiana tu
 
Duuuu ko mi kichwa na pass yangu mbele ya makamba kweli kubebwa bebwa huku!!!
 
URAIS umeshakuwa kazi RAHISI,huyu JM tunamjua sana sisi watu wa social network wananchi huko No
"Vox popoli vox dei"
 
Makamba senior ilibidi agalegale na kujiviringisha kila kona ya ikulu kulamba miguu ya KIkwete ampe uwaziri kwa heshima ya kupelekwa kwa maji marefu January akawa waziri huyu ndio awe raisi wa bumbuli labda
 
bwana makamba km kweli yeye ni kiongozi makini basi aje athibitishe na akanushe hizi tuhuma hizi.vingnevo atakuwa amefuta haya mawazo machache mazuri aliyokuwa kajitengenezea

hawezi kuja hapa ni muoga sana bora Nape Nnauye. yani uwa na jiuliza kama kweli january makamba anajua maana ya neno rais.
 
Last edited by a moderator:
Mheshimiwa Januari Makamba bado mchanga mno kwenye siasa, huwezi hata kumfikiria kwa nafasi ya uwaziri, SEMBUSE URAISI, MSIFANYE MCHEZO JAMANI NA NAFASI YA URAISI, huo unaibu waziri amepewa kwa majaribio lakini bado unaonekana kumshinda, ukitaka kujua kama bado hajakomaa kisiasa fuatilia suala dogo tu la sakata la kodi ya laini za simu ambavyo alianza kujihami kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha kwamba hakuwa ameuafiki uamuzi wa Bunge wa kupitisha kodi ya laini za simu, yeye kama sehemu ya serikali hakutakiwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii kuanza kujitetea kwa wananchi kwamba yeye ni msafi ila hao waliopitisha ile kodi ndio ambao hawawatakii mema wananchi, alitakiwa apambane na hilo suala humo humo ndani ya serikali bila kutuonyesha sisi wananchi kwamba yeye ndio mzuri na wengine ndio wabaya, hizo alizoonyesha ni siasa za kinafiki, mbali na hivyo alienda mbali zaidi na kuanzisha malumbano ya mipasho na Mheshimiwa John Mnyika, hilo lilikuwa ni suala la kipumbavu sana kufanywa na mtu kama yeye, Naibu Waziri unaanzisha malumbano ya mipasho, THAT WAS A VERY STUPID THING TO DO.

hivi unajua kama january makamba alitakiwa kuwa mjumbe wa nyumba kumi? hivi huyu january ananini kuwa rais? ni bora lusinde kuliko huyu.
 
Back
Top Bottom