Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Siogopi Chochote!
January Makamba ajitokeze sasa kujibu tuhuma za kuiba mitihani Galanos Sekondari kidato cha nne.
Hatuwezi kuwa na naibu waziri wa sayansi na teknolojia mwenye tuhuma za wizi wa mitihani karne hii inayohitaji weledi bila kupata ufafanuzi wa kina.
Kuna wimbi la wanafunzi kukimbia masomo ya sayansi na wengine kutafuta mbinu za wizi.Tunazipinga ila katika kukabiliana nazo tunampa uwaziri mwenye tuhuma hizo.
Nahisi Mfalme Juha atakua kwenye kiti cha enzi!
NDIO KISHA KUWA NAIBU WAZIRI SASA