Wasifu (CV) wa January Makamba

Siogopi Chochote!

January Makamba ajitokeze sasa kujibu tuhuma za kuiba mitihani Galanos Sekondari kidato cha nne.

Hatuwezi kuwa na naibu waziri wa sayansi na teknolojia mwenye tuhuma za wizi wa mitihani karne hii inayohitaji weledi bila kupata ufafanuzi wa kina.

Kuna wimbi la wanafunzi kukimbia masomo ya sayansi na wengine kutafuta mbinu za wizi.Tunazipinga ila katika kukabiliana nazo tunampa uwaziri mwenye tuhuma hizo.

Nahisi Mfalme Juha atakua kwenye kiti cha enzi!

NDIO KISHA KUWA NAIBU WAZIRI SASA
 
Pro cdm ni wajuvi mno kushadadia cv za wenzao.. PINDI zikiwekwa za viongozi wao wanalia kwa mods thread ifungwe.. mara waliosoma wametufanyia nini

Leta ushahidi wa tafiti zako ikiwa haujasukumwa na chuki binafsi ili uaminike hapa
 
Siogopi Chochote!

January Makamba ajitokeze sasa kujibu tuhuma za kuiba mitihani Galanos Sekondari kidato cha nne.

Hatuwezi kuwa na naibu waziri wa sayansi na teknolojia mwenye tuhuma za wizi wa mitihani karne hii inayohitaji weledi bila kupata ufafanuzi wa kina.

Kuna wimbi la wanafunzi kukimbia masomo ya sayansi na wengine kutafuta mbinu za wizi.Tunazipinga ila katika kukabiliana nazo tunampa uwaziri mwenye tuhuma hizo.

Nahisi Mfalme Juha atakua kwenye kiti cha enzi!

Kama una ushahidi tuwekee, tuache kuendeleza mapambio ya mitaani yanayoibuliwa na kuenezwa na watu waliokosa hoja za ushindani.
 
Siogopi Chochote!

January Makamba ajitokeze sasa kujibu tuhuma za kuiba mitihani Galanos Sekondari kidato cha nne.

Hatuwezi kuwa na naibu waziri wa sayansi na teknolojia mwenye tuhuma za wizi wa mitihani karne hii inayohitaji weledi bila kupata ufafanuzi wa kina.

Kuna wimbi la wanafunzi kukimbia masomo ya sayansi na wengine kutafuta mbinu za wizi.Tunazipinga ila katika kukabiliana nazo tunampa uwaziri mwenye tuhuma hizo.

Nahisi Mfalme Juha atakua kwenye kiti cha enzi!

NDIO KISHA KUWA NAIBU WAZIRI SASA

Fedheha iliyopo ni fahari kwako na wenzako,ila siyo kwetu.
 
BEN,kumbe cv yako ni madame b.hahaha .swali mbowe alipata nn form 6 coz naona maelezo mengi huku swali umelielewa.be honest kuhusu mbowe na makamba
 
Kama una ushahidi tuwekee, tuache kuendeleza mapambio ya mitaani yanayoibuliwa na kuenezwa na watu waliokosa hoja za ushindani.

Asante alex,

Jitahidi kufuatilia maelezo yangu na michango yangu.January ajitokeze kujibu tuhuma sasa
 
Last edited by a moderator:
january bado hana hadhi ya kuwa rais wa nchi hii, trust me,whether or not alipata zero, au aliiba mtihani...
 
This Forum seems to have officially been converted into a gossiping place. What's worse, those who are supposed to preserve its reputation appear to either be fast asleep or are themseleves part of the campaign to destruct what was once the most credible and respectable site.
January Makamba didn't score Division 0 in his A-level final exams as the person who made this post attempts to make us believe. The truth is that he scored an impressive Division 1, with his headmaster decribing him as one of the most talented students his school had ever had. He even presented him with the job of teaching Geography at the school during the gap year, but January reportedly turned the offer down because he wanted to work at refugee camps.
It's hard to see what might have motivated anyone to post an information as maliciously wrong as this one. But it also raises concerns that moderators are doing nothing about it.
 
BEN,kumbe cv yako ni madame b.hahaha .swali mbowe alipata nn form 6 coz naona maelezo mengi huku swali umelielewa.be honest kuhusu mbowe na makamba

m 23(Salia),

CV yangu ni Madame B tena?Hebu tuache,usituchimbe

Rejea CV niliyotaja kwa ufupi.CV ya Mbowe na Slaa imetajwa.Najua nimekuumiza.Pole Salia.Be strong!Ila waeleze wenzio ukweli,acha ushabiki na ulaghai kaka
 
Last edited by a moderator:
bwana makamba km kweli yeye ni kiongozi makini basi aje athibitishe na akanushe hizi tuhuma hizi.vingnevo atakuwa amefuta haya mawazo machache mazuri aliyokuwa kajitengenezea
 
1:Ni bora upate zero kuliko kuiba mitihani kisha upewe uwaziri wa sayansi na teknolojia unaohitaji vipaji na ubunifu kuliko kuiba mitihani huku tukijua ubunifu wa vibaka hauhitajiki katika jamii iluyostaarabika.Sasa tuachane na vita ya kupambana na vibaka!

2:CV ya Mbowe iko wazi kitaaluma.Mgombea urais aliyeruhusiwa kisheria 2005.

Dr.Slaa?Just be honest to yourself.

3:CV yangu iulize jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyonisomesha nje.Viulize vyuo vya Allahavad,Annamalai na Glasgow University-Scotland.Kisha iulize jamii.Kisha Rudi majukwa yote ya JF kuanzia Siasa,International Forum,Chit Chat(Usimtamani Madame B),MMU,Business,Lugha,Sheria,Jf doctor na Intelligence Forum.Nje ya JF nenda Nairaland ya Nigeria,Ghana,The Planet na Political Forum ya USA.Jukwaa Kenya na Mashada ambayo imepumzika kisha turudi kwenye harakati za mabaraza ya katiba badala ya kuendelea kufuatilia other forums.Tulia tuli tuli.
Jitu ambalo halijui wapi kutumia capital letters na small letters wala matumizi ya punctuation vizuri basi ni wazi hana jipya zaidi ya kujisifia. Hivi wewe kweli unaweza kujilinginasha na January Makamba?
 
Siogopi Chochote!

January Makamba ajitokeze sasa kujibu tuhuma za kuiba mitihani Galanos Sekondari kidato cha nne.

Hatuwezi kuwa na naibu waziri wa sayansi na teknolojia mwenye tuhuma za wizi wa mitihani karne hii inayohitaji weledi bila kupata ufafanuzi wa kina.

Kuna wimbi la wanafunzi kukimbia masomo ya sayansi na wengine kutafuta mbinu za wizi.Tunazipinga ila katika kukabiliana nazo tunampa uwaziri mwenye tuhuma hizo.

Nahisi Mfalme Juha atakua kwenye kiti cha enzi!

Hebu wekeni hii sawa:

(a) alipata zero form four

(b) aliiba mtihani akapata zero form four (ikiwa hivi itakuwa noma kichizi)

(c) alifaulu form four lakini aliiba mtihani

The same can be asked for form six results.
 
This Forum seems to have officially been converted into a gossiping place. What's worse, those are supposed to preserve its reputation appear to either be fast asleep or are themseleves part of the campaign to destruct what was once the most credible and respectable site.
January Makamba didn't score Division 0 in his A-level final exams as the person who made this post attempts to make us believe. The truth is that he scored an impressive Division 1, with his headmaster decribing him as one of the most talented students his school had ever had. He even presented him with the job of teaching Geography at the school during the gap year, but January reportedly turned the offer down because he wanted to work at refugee camps.
It's hard to see what might have motivated anyone to post an information as maliciously wrong as this one. But it also raises concerns that moderators are doing nothing about it.

Radhia Sweety,

Is this official?
 
Last edited by a moderator:
All in all hata kama ukiwa na division 1 au zerro, is nothing kama huwezi kuisaidia jamii yako kuondokana matatizo yanayowasumbua. Cha muhimu sio performance yako darasani ila ni nini unafanya katika kuisaidia jamii yako.
 
Yaani makamba Jr agombee urais,hii itakuwa maajabu ya dunia,kwanza amefanya mambo gani mazuri kwa ajili ya nchi hii.Basi magamba wakimsimamisha J.Makamba kugombea urais,Chadema tunasimamisha gwanda tu juu ya mti linamtosha.
Urais umekuwa wa kupeana kama njugu,au ubuyu.CCM kweli akili ndogo kutawala akili kubwa,hata hao wanavyuo elimu yao hata haiwasaidii hata kidogo.
 
Back
Top Bottom