afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
<br /><br />
<br /><br />
mkuu sometime ukweli unauma issue hapa sio kuwatukana tunachohofia sisi hapa ni kuja kuwa na kizazi chenye wanawake makafiri wasio watii waume zao. ni lazima tukemee hili na kwa nguvu zetu zote...mwanamke akibadilika jamii nzima imebadilika tatizo hujui hiloo
Mnakemea nini kwa nguvu zenu zote??
Wanawake waache kusoma kwa kadiri ya
uwezo wao??
Badala ya kuomba wanawake wasomi waongeze
Mnakemea ....
Na hii yote ni sababu baadhi yenu hamtaki
Wanawake wasomi eti wanaringa
khaaaaa muache kabisa kutukandamiza..
Nataka kuongelea na visa vya wanaume
Wasomi kushinda baa na kuacha wamama
Nyumbani kutunza familia ...
Staki kutoka nje ya topic..