Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Kwa kujazia tu utafiti umeonyesha kuwa watoto waliolelewa na mke (golikipa) huishi kwa maadili mema wakiwa watu wazima kuliko waliolelewa na mahausigeli
Sio kila mwanamke msomi anakuwa hana maadiliKwa kujazia tu utafiti umeonyesha kuwa watoto waliolelewa na mke (golikipa) huishi kwa maadili mema wakiwa watu wazima kuliko waliolelewa na mahausigeli
................Kwahiyo wewe ndugu hapana taka kuoa Halima Mdee unaogopa degree yake?Kwa kujazia tu utafiti umeonyesha kuwa watoto waliolelewa na mke (golikipa) huishi kwa maadili mema wakiwa watu wazima kuliko waliolelewa na mahausigeli
..............Usichanganye mada mkuu, naomba CV ya Bakhresa ningependa kujuwa ana degree au Diploma?Wavulana wenye elimu ya chini ni matatizo.
Bakhresa tena? Talk about "usichanganye mada..."..............Usichanganye mada mkuu, naomba CV ya Bakhresa ningependa kujuwa ana degree au Diploma?
Umeelewa sana Bakhresa amekujaje hapo, labda sijakuelewa unaposema Elimu ya chini unamaanisha ni elimu ipi? Nursery school?Bakhresa tena? Talk about "usichanganye mada..."
Basi utakuwa hukusoma vizuri posti ya kwanza ya thread, kwa sababu definition ya kipimo cha elimu imetolewa: "wasichana wenye madigree."labda sijakuelewa unaposema Elimu ya chini unamaanisha ni elimu ipi? Nursery school?
<br />Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.
utakoma...
kusoma hatuachi...
tumesoma na tutazidi kusoma
kama Elimu ya mtu inakutisha nakupa pole....
<br />utakoma...<br />
kusoma hatuachi...<br />
tumesoma na tutazidi kusoma<br />
kama Elimu ya mtu inakutisha nakupa pole....
ahahahaah!! Wala hafanani sura na wewe....Wivu tu....we kama umekutana na wasumbufu ni juu yako....mwone vile sura kama yangu
<br />Hawezi kutujaza ujinga kwa uvivu wa kuchaguwa, mimi nataka msomi hata wa phd, tunatoa semina humu kila siku jinsi ya kukikuna kipere G hawaelewi, sasa wakipigwa chini na mademu wanadhani ni ule usomi ndio tatizo,.......... kumbe hajui kama tatizo ni mlima kilimanjaro ufike kule kileleni!!