Hahaha...Hili jina Patience nikiliona moyo unalia paaaaa kama roho inataka kuchomoka vile.
Unaona sasa mi napendwa na viumbe adm karne hii, ili akipatikana akahifadiwe makumbusho, nibaki mganeWanawake weusi
Hahahaha... Kuku kapona kideri???mm apa nipo
Hahaha... Hata mimi natamani nifahamu yako... Basi inabidi tutafute siku tuulizane maswali mubasharaWeewe huyoo??? Natamani tu walau nifahamu maisha yako kidoooogo!
wewe umesema kweliKama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki
The way nilivyo mpole mpaka nikimfokea anadhani nam'bembeleza basi anaeza akapitiwa na usingizi kabisaaainaonekana una gubu sana wewe mkeo ana shida
Kuoa skuizi imekuwa ni bahati nasibu, ukibugi umeumia, yani ni tofauti na zamanihahaahahahaha
mm mwenyewe natafuta mwenye tabia hzo tuyajenge lakin wap mpaka nasemaga i will marry when I want because beautiful once is not yet born
Yie hamtaki wake, mnataka malaika!
Hahaha sawa mimi ni teen ager lakini story za zamani niliziskiaZamani ulikuepoo?? Wee mtoto wa juz tu haha
Kwani uongo jamani? Kuwa tu mkweli usiidanganye nafsi yako. Kufuatia ongezeko la watu wasiojielewa basi probability ya kumpata mtu anayejielewa inapungua japo wapo.Mbona ivo jamani.. Kuweni na imani nasisi basi hio dhana mlojijengea kichwani si nzuri kwa afya na ustawi wa mahusiano
Inawezekana umejificha kwenye story kumbe ww ni single mother's.Wanawake wenzangu!
Natamani sana sote humu tuwe wake wema kwa wame zetu au mahusiano yetu kiujumla. Hivo naomba kushea kitu hapa. Hii nimeona mahali nikabarikiwa nayo kuleta kwenu wapendwa.
BUSARA KWA WANAWAKE.
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubutu wako.
2. Mwanamke anaemuheshimu mumewe ni mwanamke bora ambae kila mwanaume angetamani kuwa nae.
3. Tabia yako na misimamo yako ndio itakayomfanya mumeo ajute au afurahie kukuoa wewe.
4. Kuwa mke bora inakubidi uwe vizuri katika maarifa ya kutawala hasira zako na sio kuwa mtu wa kulipiza visasi.
5. Kuwa kiongozi huko kazini kwako lakini kuwa mtu wa kunyenyekea nyumbani kwako kwa mumeo. Hiyo ni busara.
6. Usiweke mashindano na mumeo, mpe hongea na mtie moyo kwa kila hatua anayopiga katika maisha.
7. Kuwa na ubinadamu, sio kosa dogo tu mumeo amefanya ukatamani kulipiza kisasi. It won't help u!
8. Kuwa mkarimu, kila mwanaume anamuheshimu mwanamke mkarimu na mwenye msimamo.
9. Usijaribu kumpa adhabu mumeo ya kumnyima chakula cha usiku kitandani, hii itamlazimu kutafuta chakula nje ya ndoa.
10. Hakuna kitu kibaya kama utakubali kuwa ulikosea kama kweli ulikosea. Kuwa mrahisi kukubali kama kweli ulikosea. Na omba radhi pale inapobidi.
11. Jiandae kumsamehe mumeo pale anapokosea kwa maana mke atoae msamaha kwa mumewe ni mke mwema tofauti na yule aliejaa visasi.
12. Tengeneza maamuzi ya kuwa mke mwema, pasina kuwa na hofu yoyote na Mungu atakubariki.
13. La mwisho na la muhimu tambua kwamba mwanamke aliejaliwa umbo zuri na sura nzuri pasina maarifa kichwani anafaa kwa usiku mmoja, lakin yule mwenye maarifa na ufahamu yeya afaa kwa maisha yote!
Akhsanteni na weekend njema