mwasita
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 371
- 377
Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?
Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Mkuu unapigilia msumari mahalaa apo duuh....kwahio dawa ya moto ni moto aisee
