Wasichana /Wanawake wenzangu

Wasichana /Wanawake wenzangu

Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?

Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
 
Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?

Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Mkuu unapigilia msumari mahalaa apo duuh....kwahio dawa ya moto ni moto aisee
 
Wakati mwingine tunahitaji wanaume wavumilivu na wenye akili ili kutubadilisha.
Wanaume wavumilivu nao pia wamepungua sana! Unajua kwa mtu anayejielewa huwa anawazia kuwa na mwingine pia mwenye umri wake hasa aliyekaribu naye kwa kiasi kikubwa abehave kikujielewa elewa! Yapo ya kuvumiliana na pia uvumilivu nao huwa una ukomo pale inapokuwa too much!
 
Aise mada nzuri sana mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone.....tatizo kiburi dharau ujuaji n.k na hii inapendeza kama wote me na ke wakafanya hayo
Yeah nikweli ila Tuvumilie tu wanawake
 
Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?

Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Mbona ivo jamani.. Kuweni na imani nasisi basi hio dhana mlojijengea kichwani si nzuri kwa afya na ustawi wa mahusiano
 
Wanaume wavumilivu nao pia wamepungua sana! Unajua kwa mtu anayejielewa huwa anawazia kuwa na mwingine pia mwenye umri wake hasa aliyekaribu naye kwa kiasi kikubwa abehave kikujielewa elewa! Yapo ya kuvumiliana na pia uvumilivu nao huwa una ukomo pale inapokuwa too much!
Hapo sisi wanawake ndo tunatakiwa kuvumilia wanaume jamani maisha ni kuvumiliana
 
Wanawake wenzangu!
Natamani sana sote humu tuwe wake wema kwa wame zetu au mahusiano yetu kiujumla. Hivo naomba kushea kitu hapa. Hii nimeona mahali nikabarikiwa nayo kuleta kwenu wapendwa.

BUSARA KWA WANAWAKE.

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubutu wako.

2. Mwanamke anaemuheshimu mumewe ni mwanamke bora ambae kila mwanaume angetamani kuwa nae.

3. Tabia yako na misimamo yako ndio itakayomfanya mumeo ajute au afurahie kukuoa wewe.

4. Kuwa mke bora inakubidi uwe vizuri katika maarifa ya kutawala hasira zako na sio kuwa mtu wa kulipiza visasi.

5. Kuwa kiongozi huko kazini kwako lakini kuwa mtu wa kunyenyekea nyumbani kwako kwa mumeo. Hiyo ni busara.

6. Usiweke mashindano na mumeo, mpe hongea na mtie moyo kwa kila hatua anayopiga katika maisha.

7. Kuwa na ubinadamu, sio kosa dogo tu mumeo amefanya ukatamani kulipiza kisasi. It won't help u!

8. Kuwa mkarimu, kila mwanaume anamuheshimu mwanamke mkarimu na mwenye msimamo.

9. Usijaribu kumpa adhabu mumeo ya kumnyima chakula cha usiku kitandani, hii itamlazimu kutafuta chakula nje ya ndoa.

10. Hakuna kitu kibaya kama utakubali kuwa ulikosea kama kweli ulikosea. Kuwa mrahisi kukubali kama kweli ulikosea. Na omba radhi pale inapobidi.

11. Jiandae kumsamehe mumeo pale anapokosea kwa maana mke atoae msamaha kwa mumewe ni mke mwema tofauti na yule aliejaa visasi.

12. Tengeneza maamuzi ya kuwa mke mwema, pasina kuwa na hofu yoyote na Mungu atakubariki.

13. La mwisho na la muhimu tambua kwamba mwanamke aliejaliwa umbo zuri na sura nzuri pasina maarifa kichwani anafaa kwa usiku mmoja, lakin yule mwenye maarifa na ufahamu yeya afaa kwa maisha yote!

Akhsanteni na weekend njema
Kama wanawake/wasichana watakao ufuatia ushauri wako,ile kauli ya mke mwema anatoka kw MUNGU itatimia.
 
Back
Top Bottom