Wasichana /Wanawake wenzangu

Wasichana /Wanawake wenzangu

Asilimia 98% ya akina dada wa siku hizi sio kujenga ndoa yake,

Yuko bize kujenga ndoa za wazazi wake kwa kigezo kuwa mwanaume sio ndugu
Mh mbona kama hapo juu ni kinyume chahapo wengi tunabomoa ndomana kumekua na mabalaa kwenye ndoa
 
Sio kweli, mwanamke akishazaa hua anasukumia mapenzi yote kwa mtoto

Unakuta baba hujaliwi tena???
Hahahaahhahahaahahahahaha tunafanya hivo kwakua Nanyie mnatamani vigori hukoo so watoto ndo kimbilio letu na faraja yetu ilobaki
 
Mass comm for real.. utakua news reporter??????!!! Or news editing????
mlejesho
Unapost nyingi za akili

Ili kulinda moyo wangu nimegundua wewe ni moja kama yule mwanamke aliyezungumziwa na nyerere

Kila aliyemfuata aligeuka jiwe kwa makelele ya uyooo, uyoooooo uyooooo uyoooooooo.


Kuepuka hili nimegundua unagombaniwa na wengi hasa maji ya kunde,

Wengine sie maji papai ngoja tuu tuvumilie
 
mlejesho
Unapost nyingi za akili

Ili kulinda moyo wangu nimegundua wewe ni moja kama yule mwanamke aliyezungumziwa na nyerere

Kila aliyemfuata aligeuka jiwe kwa makelele ya uyooo, uyoooooo uyooooo uyoooooooo.


Kuepuka hili nimegundua unagombaniwa na wengi hasa maji ya kunde,

Wengine sie maji papai ngoja tuu tuvumilie
Maji meusi hupenda maji papai mbona si unajua lakini?? Nasisi waafrika ni weusi. So wewe hapo unapendwa sana
 
QUOTE="Ilankunda1234, post: 19774462, member: 345979"]Walio wengi hawako bize kujenga ndoa zao, wako bize kujenga ndoa za wazazi wao[/QUOTE]
Eee nikweli mwanamke usipojisimamia ukasikiliza sanaaaaa ndugu napo nishida..
 
Mh wengi wenu huwa hampendi tukishazaa maungo yetu yanabadilika sana.. Sawa mnapenda watoto ila sisi mhmmhmhmhmh!
Mwanamume asiyebadilika kiakili huyo ni mzigo kwa jamii, umesema kweli kuwa huwa ni kama mnatakiwa muendelee kuwa vigori, lakini ukweli ni kuwa ambao hawajazaa huwa wanafanya vurugu tu kwa bed, walio na watoto wanajua malengo ya faragha. Hao ndio huwatuliza munkari wababa wenye sifa za kivulana na mihemko ya kuku (jogoo)
 
NATAMANI MKE WANGU ASOME HII THREADY LAKINI KWAVILE AMEFUNGA MASIKIO NA KIBURI AKILINI MWAKE NAJUA KUNA SIKU ATANIKUMBUKA,NDOA NI LAANA NA NI BARAKA,KWA ANAYEVUNJA MAKSUDI HUAMBATANA NA LAANA
NAWASILISHA,,
 
Back
Top Bottom