Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,415
Kwa wanaoamini katka Mungu.Kwani wote wanaamini katika Mungu??
Kwa wanaoamini katka Mungu.Kwani wote wanaamini katika Mungu??
Wanawake wenzangu!
Natamani sana sote humu tuwe wake wema kwa wame zetu au mahusiano yetu kiujumla. Hivo naomba kushea kitu hapa. Hii nimeona mahali nikabarikiwa nayo kuleta kwenu wapendwa.
BUSARA KWA WANAWAKE.
Mleta maada kaitoa kwa ujumla wake bila ubaguzi wa kdiniKwa wanaoamini katka Mungu.
Wapo wengi tu, sema wanaume wanaolalamika sana huwa wanakutana na wa kufanana nao, hapo ndipo tatizo linapoanzia.Aisee wapo, mfano mzuri ni mke wangu. Hivyo vigezo vyote anavyo na sifa zingine nzuri ambazo hakutaja. Maisha swafi kabisa.
We ni msemaji wake?Mleta maada kaitoa kwa ujumla wake bila ubaguzi wa kdini
Hayo ni baadhiMbona masuala ya Mungu sijayaona hapo? Hilo ndilo la msingi zaidi, ukizingatia hilo kwa dhati mengine yanafuata tu.
Alafu ikumbukwe mke ni reflection ya mumewe.
Hahahaahhahahaahahahahaha hata ndege wafananao huruka pamojaWapo wengi tu, sema wanaume wanaolalamika sana huwa wanakutana na wa kufanana nao, hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Wanasahau kuwa unapewa wa kufanana nawe.
Wanaume bwana!! Kila kitu kwenu kigumu no wonder viwanda vimegoma.Hivi unaongelea wanawake wa karne hii??? watoto wa instagram and co???
Ujumbe murua mama, ila hayo mengi yanategemeana na mume, mke anareflect tabia za mumewe.Hayo ni baadhi
Hahahaahhahahaahahahahaha hata ndege wafananao huruka pamoja
UNA AKIIIIIIIIIIIILI!Ushauri mzuri kweli kweli,ila wewe mwenyewe unaufuatilia kweli?
Huu ushauri umewasaidia watu kwa asilimia ngapi?
Je wewe mwenyewe huu ushauri umekusaidia?
Nimeuliza hayo kwa sababu every action imposed to people has different responce.....
Aisee! hongera sana mkuu!Aisee wapo, mfano mzuri ni mke wangu. Hivyo vigezo vyote anavyo na sifa zingine nzuri ambazo hakutaja. Maisha swafi kabisa.
ah this makitu are too overrated kwangu aiseee!Mwenye masikio na asikie.