Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,840
- 4,806
Binafsi naomba na natamani sana wanawake tubadilike
Labda isiwe sayari hii ya kufuga kucha.
Nilimsikia mwanamke wa dizaini hii enzi zileee bado ma godzila yapooo

Binafsi naomba na natamani sana wanawake tubadilike

Sio mwanamke wa leoWakati mwingine tunahitaji wanaume wavumilivu na wenye akili ili kutubadilisha.
Hii gia hua sio nzuriLabda kwa ninyi tu mliopo kwenye uzi huu,naweza nisikate tamaa but si wengine hao.

Mhmmhmhmhmh hapo kwenye kufika kileleni hapo sasa kuna vituko balaa yani mungu huyuu acheni aitwe MUNGUMwanamke aliyezaa ndiye mwanamke msweet kwa bed, maana anao uwezo wa kufikia lengo la shughuli ikiwa atashughulishwa kwa mikogo stahiki, ambao hawajazaa huwa hawajui wanafanya nini kwa kitanda, wanajirusharusha tu!! Kufika kileleni ni nadra sana kwao.
Kumshuhudia mwanamke anafika kileleni nayo ni raha bab kubwa.
(kulialia kwa wanawake kwa bed kunatokana na hiyo base)
Ungejua tuuu kuwa mwanamke huishi kulingana na matakwa ya mwanamke hata usingezungumza yote haya.Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?
Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Mh wengi wenu huwa hampendi tukishazaa maungo yetu yanabadilika sana.. Sawa mnapenda watoto ila sisi mhmmhmhmhmh!Mwanamke aliyezaa ndiye mwanamke msweet kwa bed, maana anao uwezo wa kufikia lengo la shughuli ikiwa atashughulishwa kwa mikogo stahiki, ambao hawajazaa huwa hawajui wanafanya nini kwa kitanda, wanajirusharusha tu!! Kufika kileleni ni nadra sana kwao.
Kumshuhudia mwanamke anafika kileleni nayo ni raha bab kubwa.
(kulialia kwa wanawake kwa bed kunatokana na hiyo base)
Ahahahasifa zangu zote hizo mashaallah
AhahahaYie hamtaki wake, mnataka malaika!

Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeeeAsante though Mwenyewe tu unanijaji tofauti.. Enwei nimekua kiakili
Ndo uchepuke sasa?? Hujui ndio unajitafutia matatizo zaidi?? Ukichepuka umesovu tatizo????Tatizo hizo busara ulizoandika hapo unakuta kila mwanamke anayo moja,yule ana mbili, huyu hana kabisa,yani hukuti yupo complete hasaa, that's wanaume kuchepuka anakuwa anatafuta kigezo fulani ambacho anakitaka
√na hii dunia wanawake wangekuwa wengi mbona ingekuwa shiidaah
Kweli we nae chenga , huku ni kumdharirishaKhakhaakhaaaaa tongoza tu Kama una mshipa
Nawewe jamani si nimesema kabisa kuwa ndo nimepevuka kiakili????!!!! Mbona ivo lakini!!Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeee![]()
![]()
Nishapiga malufuku kuo, kisa nilimtafuta wa hivi kwa miaka mingi,
Siku moja nikaambiwa
Hata nikimpata nikapime nae DNA labda atakua ni mama yangu.
Sasa leo unajitokeza
Kama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki

labda kizazi kijacho huko mbele lakini sio hikiUnaongea na wanawake wa sayari hii hii, ama nyingine

Mass comm for real.. utakua news reporter??????!!! Or news editing????Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeee![]()
![]()
Nishapiga malufuku kuo, kisa nilimtafuta wa hivi kwa miaka mingi,
Siku moja nikaambiwa
Hata nikimpata nikapime nae DNA labda atakua ni mama yangu.
Sasa leo unajitokeza