Wasichana /Wanawake wenzangu

Wasichana /Wanawake wenzangu

Binafsi naomba na natamani sana wanawake tubadilike
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]

Labda isiwe sayari hii ya kufuga kucha.



Nilimsikia mwanamke wa dizaini hii enzi zileee bado ma godzila yapooo[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Mwanamke aliyezaa ndiye mwanamke msweet kwa bed, maana anao uwezo wa kufikia lengo la shughuli ikiwa atashughulishwa kwa mikogo stahiki, ambao hawajazaa huwa hawajui wanafanya nini kwa kitanda, wanajirusharusha tu!! Kufika kileleni ni nadra sana kwao.
Kumshuhudia mwanamke anafika kileleni nayo ni raha bab kubwa.
(kulialia kwa wanawake kwa bed kunatokana na hiyo base)
Mhmmhmhmhmh hapo kwenye kufika kileleni hapo sasa kuna vituko balaa yani mungu huyuu acheni aitwe MUNGU
 
Wanawake wenye sifa hizo kwa kizazi hiki wakumlika kwa tochi! Lakini wanaume wengi huwa tunapenda kupata wanawake wenye sifa tajwa hapo! Je sisi wenyewe tunazo sifa za kuendana na wanawake wenye sifa tajwa?

Mungu ampe kila mmoja kama alivyo au anavyotamani kuwa atakavyokuwa kwenye ndoa. Sio tu kuomba mke bora na wakati wewe mwenyewe huna sifa za kuwa baba bora wala huwazii hata kubadilika kama pengine huna sifa hizo kwa sasa! Usije ukapewa mtoto wa watu mwenye sifa hizo ukamjutisha bure katika maisha ya ndoa!
Ungejua tuuu kuwa mwanamke huishi kulingana na matakwa ya mwanamke hata usingezungumza yote haya.


Mwanamke ni mama wa mtoto mkubwa wa kiume, ni jukumu lake kumchagulia malezi
 
Tatizo hizo busara ulizoandika hapo unakuta kila mwanamke anayo moja,yule ana mbili, huyu hana kabisa,yani hukuti yupo complete hasaa, that's wanaume kuchepuka anakuwa anatafuta kigezo fulani ambacho anakitaka

√na hii dunia wanawake wangekuwa wengi mbona ingekuwa shiidaah
 
Mwanamke aliyezaa ndiye mwanamke msweet kwa bed, maana anao uwezo wa kufikia lengo la shughuli ikiwa atashughulishwa kwa mikogo stahiki, ambao hawajazaa huwa hawajui wanafanya nini kwa kitanda, wanajirusharusha tu!! Kufika kileleni ni nadra sana kwao.
Kumshuhudia mwanamke anafika kileleni nayo ni raha bab kubwa.
(kulialia kwa wanawake kwa bed kunatokana na hiyo base)
Mh wengi wenu huwa hampendi tukishazaa maungo yetu yanabadilika sana.. Sawa mnapenda watoto ila sisi mhmmhmhmhmh!
 
Asante though Mwenyewe tu unanijaji tofauti.. Enwei nimekua kiakili
Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Nishapiga malufuku kuo, kisa nilimtafuta wa hivi kwa miaka mingi,

Siku moja nikaambiwa

Hata nikimpata nikapime nae DNA labda atakua ni mama yangu.

Sasa leo unajitokeza
 
Tatizo hizo busara ulizoandika hapo unakuta kila mwanamke anayo moja,yule ana mbili, huyu hana kabisa,yani hukuti yupo complete hasaa, that's wanaume kuchepuka anakuwa anatafuta kigezo fulani ambacho anakitaka

√na hii dunia wanawake wangekuwa wengi mbona ingekuwa shiidaah
Ndo uchepuke sasa?? Hujui ndio unajitafutia matatizo zaidi?? Ukichepuka umesovu tatizo????
Kaa nae chini ongea nae wekeni mambo yenu sawa.
 
Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Nishapiga malufuku kuo, kisa nilimtafuta wa hivi kwa miaka mingi,

Siku moja nikaambiwa

Hata nikimpata nikapime nae DNA labda atakua ni mama yangu.

Sasa leo unajitokeza
Nawewe jamani si nimesema kabisa kuwa ndo nimepevuka kiakili????!!!! Mbona ivo lakini!!
 
Kama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
labda kizazi kijacho huko mbele lakini sio hiki[emoji23] [emoji23]
Hiko ndo kitakua balaa kabisa nahao wanaume watakoma
 

Attachments

  • TMPDOODLE1487410211789.jpg
    TMPDOODLE1487410211789.jpg
    87.8 KB · Views: 41
Ngoja nitembelee nyuzi zako, nione kama ulishawahi, au hua una akili za hivihivi ama ni kwa hii pekeee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Nishapiga malufuku kuo, kisa nilimtafuta wa hivi kwa miaka mingi,

Siku moja nikaambiwa

Hata nikimpata nikapime nae DNA labda atakua ni mama yangu.

Sasa leo unajitokeza
Mass comm for real.. utakua news reporter??????!!! Or news editing????
 
Back
Top Bottom