Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Wao wanatafuta mwanamke mwingine wanaoa. Yeye huoni anahangaika kutafuta mume kwa matangazo magazetini.
 
Sasa kama weww si haya mambo shilawadu umeijuaje na jinsi content zake zilivyo?
Hahaha shilawadu I happened to hear about it jana,nkacheka sana,mana was like wat the hell is this shilawadu thing...
 
Mwanaume unaejaribu kugain confidence kwa kumshusha mwanamke, SMH...kapambane na wanaume wenzio km we mwanaume wa shoka...bas tu mitandao hii watu u have the nerves za kupost vichekesho..kuna watu tukiwaona in real life sijui km mtaweza hata kuongea...hapo ulipo ukute mtu huna mbelee wa nyumaaa af Unashauri watu,
We hapa umeguswa tu. Kama ulichezea bahati yako huko nyuma pole sana. Ndo maisha yalivyo. Ila hii nilitaka iwasaidie wengine wasije kuwa sawa na wewe.
 
Hahaha shilawadu I happened to hear about it jana,nkacheka sana,mana was like wat the hell is this shilawadu thing...
Ndiyo hivo huwezi kufumba macho kwamba hili gazeti sitaki kuliangalia
 
Wewe ndo wa kunishauri mimi?

Acha utani wewe....
Kwa bahati mbaya huwa nina allergy na wasichana wa type yako ambao mwisho wa siku failure is "part n parcel" ya maisha ya mahusiano. And therefore usitarajie kuwa mimi nawewe tunaweza kuelewana...therefore.......take your drama else where back to whatever "Chicken head" land you are from and await for your total self destruction.......

oooh halafu umesahau mimi sikukushauri......nilikuwa naongezea ushauri juu ya topic ambayo nahisi inakuhusu 100%.

Dont be mad at me coz you have just got served.
 
We hapa umeguswa tu. Kama ulichezea bahati yako huko nyuma pole sana. Ndo maisha yalivyo. Ila hii nilitaka iwasaidie wengine wasije kuwa sawa na wewe.
Hahahhaha hasty conclusions... Unajua mi nikoje...haha na hichi ndo huwa kinawacost unadhani kila mwanamke will comply na fikra zako,Kinadada wakikataa watu mnaanza kurusha mawe kisa hamjafikia viwango..hahahah
 
Pe
Zari anapesa.....we hujiulizi kwanini diamond kawaacha mademu kama akina penny......ambao hawana watoto na bado wadogo akamuoe mtu aliyempiga gepu la umri plus anawatoto......jibu ni simple mwanamke anapesa na anajua kutafuta hata.mimi ningemkubali awe wangu.
Penny ana miaka 26 anaudogo gani?
 
Hahahhaha hasty conclusions... Unajua mi nikoje...haha na hichi ndo huwa kinawacost unadhani kila mwanamke will comply na fikra zako,Kinadada wakikataa watu mnaanza kurusha mawe kisa hamjafikia viwango..hahahah
Kama hauko hivyo basi unawapotosha wenzako. Hutaki wafanikiwe.
 
Ndiyo hivo huwezi kufumba macho kwamba hili gazeti sitaki kuliangalia
Pleaseee etiii,unaenda nunua gazeti la udaku mwenyewe afu unasema habari ya kufumba macho??ts ur choice inatuonyesha jinsi ulivyo..so far honestly wanaume nloona wanasoma magazeti ya udaku ni wa vijiweni na saluni,..am sorry to say that...sijaona magazeti ya udaku maofisini wala kwa wanaume waliobusy na maisha yao
 
Kama hauko hivyo basi unawapotosha wenzako. Hutaki wafanikiwe.
Wewe pia sidhani km unamtakia mtu jema kwa 'generalized conclusions' kama hizi...ni aina flani ya kukariri maisha na kufosi wengine waishi km wewe hata km ur on the loosing end of life..huyo uliemtoa km case study unaweza shangaa Mungu akampa wake,Mungu si Athumani ujue...
 
Wewe pia sidhani km unamtakia mtu jema kwa 'generalized conclusions' kama hizi...ni aina flani ya kukariri maisha na kufosi wengine waishi km wewe hata km ur on the loosing end of life..huyo uliemtoa km case study unaweza shangaa Mungu akampa wake,Mungu si Athumani ujue...
Hata mungu akikupa kama hujui unalotaka nayo shida.
 
Kwa bahati mbaya huwa nina allergy na wasichana wa type yako ambao mwisho wa siku failure is "part n parcel" ya maisha ya mahusiano. And therefore usitarajie kuwa mimi nawewe tunaweza kuelewana...therefore.......take your drama else where back to whatever "Chicken head" land you are from and await for your total self destruction.......

oooh halafu umesahau mimi sikukushauri......nilikuwa naongezea ushauri juu ya topic ambayo nahisi inakuhusu 100%.

Dont be mad at me coz you have just got served.
Take that ushauri with u.... write it as your last will, and go hang yourself....
 
Kuna ubaya gani leo mtu akawa hataki kuolewa na kesho akataka kuolewa? Wewe huwa hubadilishi misimamo na mitazamo katika maisha yako?

Na hao wadada unaodai 'umeshuhudia' walikufata wakakwambia walidanganyika na umri?

Halafu usiwasemee wanaume wengine, jisemee wewe.
Mtoa mada anawaonea huruma jinsi mnavyohangaika kutafuta mabwana wa kuwaoa mkishafikisha miaka 30 na kuendelea.
 
Paradigm na Samcezar ...,

Hii topic ni ngumu sana kwa waathirika wa aina ya Snura ..., na ndio maana unaona mapovu humu ...

Hawa wakina dada wanaokasirika humu hawataweza kujifunza kitu toka kwa "waoaji" .., ambao ni wanaume ...
 
Paradigm na Samcezar ...,

Hii topic ni ngumu sana kwa waathirika wa aina ya Snura ..., na ndio maana unaona mapovu humu ...

Hawa wakina dada wanaokasirika humu hawataweza kujifunza kitu toka kwa "waoaji" .., ambao ni wanaume ...
Chief kuna tofauti ya povu na weak men ambao unadhani since mwanaume ni muoaji basi anaweza akaoa kila mwanamke thubutuuu...mwanaume ur trying to feel better kwa kumuweka mwanamke aonekane vibaya..pleasee,..wengine tukiwaambia muonyeshe wake zenu walivopaukaaa hahahah sijui km hata mmoja ataonyesha...mnaisoma kimoyomoyo,..
 
Mtu kajiolea kamke ka hovyooo bas anakuja na ye anapromote watt wa watu wajiunge kwenye huo uovyoo kwa gia ya mabinti wanajidanganya haha some men mnachekesha sanaa jmn...
 
Chief kuna tofauti ya povu na weak men ambao unadhani since mwanaume ni muoaji basi anaweza akaoa kila mwanamke thubutuuu...mwanaume ur trying to feel better kwa kumuweka mwanamke aonekane vibaya..pleasee,..wengine tukiwaambia muonyeshe wake zenu walivopaukaaa hahahah sijui km hata mmoja ataonyesha...mnaisoma kimoyomoyo,..
Sijui kwa nini watanzania walio wengi wana hii mentality.

Yani wanadhani mwanamke hana maamuzi yoyote linapokuja swala la mahusiano na ndoa.

Na tunapojaribu kuwaelewesha kuwa wamepotoka, hawatuelewi, wanasema ni povu[emoji23]

Inasikitisha....
 
Back
Top Bottom