Kwanza, mtoto mzuri wa kike kujiita majina ya kujikweza .., kujiinua mbele ya jamii ..., ni kujizibia nafasi zako za maana ktk maisha ...
Kwa mfano, wewe unaitwa Jackline Semzaba .., halafu hujaolewa ..., eti unaanza kujipachika jina kama Jacky the Queen ...
Au unaitwa Reina Maharage ..., wewe ukajibatiza "Princess Rei"..., na kiukweli ni mzuri ..., kwa jina hili la "aka" utakua unatoa tahadhari kwa wanaume kuwa wewe ni mwanamke unayejikweza ..., unaringa na labda pia utakuwa na dharau ...
Rekebisheni hata hayo majina yenu ..., mara nyingi yanawaletea mikosi ...