Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Sijui kwa nini watanzania walio wengi wana hii mentality.

Yani wanadhani mwanamke hana maamuzi yoyote linapokuja swala la mahusiano na ndoa.

Na tunapojaribu kuwaelewesha kuwa wamepotoka, hawatuelewi, wanasema ni povu[emoji23]

Inasikitisha....

Wanaume?

Nani anaoa...... au nini maana ya kuolewa?


mila na desturi zetu ndo tuzilaumu maana kuoa sanasana kunaanzia kwa Mume sio kwa mke. Hili haliwezi kuwa reversible.
 
Unfounded conclusions... Ni wazi kwny jamii kila mtu anaoa/kuolewa ktk umri tofauti, kutangulia sio kufika, na hakumaanishi anaechelewa si bora kuliko anaewahi,ni setting tu ya maisha iko hivo.. Wewe kutoa speech hapa haibadili chochote kwny destiny ya mtu...awe wa kike /wa kiume
Unaonekana ndio unachipukia au ndio unaingia mjini......!!!!
 
Back
Top Bottom