Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Wasichana wanavyojidanganya wakiwa 20's

Sijui kwa nini watanzania walio wengi wana hii mentality.

Yani wanadhani mwanamke hana maamuzi yoyote linapokuja swala la mahusiano na ndoa.

Na tunapojaribu kuwaelewesha kuwa wamepotoka, hawatuelewi, wanasema ni povu[emoji23]

Inasikitisha....
Wako wanaume wengi tu wako tayari kuoa wanakataliwa.. lakini baadhi ya wanajamii wanapenda kumulika jinsia moja tu.,
 
Sizitaku mbivu hizi!
Kuna wanafunzi wa chuo kikuu,anaahidi kuolewa na flani,akimaliza chuo anamwacha mwanaume!
Hiyo dhambi inawarudiaga wakiwa 30s'
 
Yani una watt wawili,kila mtt na baba yake na mm nikawe mumeo,hao wanawake wameisha au?nitakuwa nimechanganyikiwa tu lazima
 
Kwa style hii ndo mana hata ndogo ukiwaomba wanatoa bila hiyana...kumbe wanatafuta ndoa
 
Mtu kajiolea kamke ka hovyooo bas anakuja na ye anapromote watt wa watu wajiunge kwenye huo uovyoo kwa gia ya mabinti wanajidanganya haha some men mnachekesha sanaa jmn...
Hivi ndivyo mnavyodanganyana.

Hao wanaume za watu mnaowadandia hawawezi kuwaoweni.

Mkishafikisha miaka 30 mnaanza kutiatia huruma.
 
Constructive criticism seems to be a lost notion on people nowadays. I just don't get this "with or against" attitude that has developed among many. Is it fanaticism or just pure ignorance? When has a human being ever been perfect? Its either you shower unwarranted praise or be labelled an opposer.
Anyway don't mind me, i am just thinking out loud.
 
Hivi ndivyo mnavyodanganyana.

Hao wanaume za watu mnaowadandia hawawezi kuwaoweni.

Mkishafikisha miaka 30 mnaanza kutiatia huruma.
Unfounded conclusions... Ni wazi kwny jamii kila mtu anaoa/kuolewa ktk umri tofauti, kutangulia sio kufika, na hakumaanishi anaechelewa si bora kuliko anaewahi,ni setting tu ya maisha iko hivo.. Wewe kutoa speech hapa haibadili chochote kwny destiny ya mtu...awe wa kike /wa kiume
 
Paradigm na Samcezar ...,

Hii topic ni ngumu sana kwa waathirika wa aina ya Snura ..., na ndio maana unaona mapovu humu ...

Hawa wakina dada wanaokasirika humu hawataweza kujifunza kitu toka kwa "waoaji" .., ambao ni wanaume ...
Hata mimi nimeliona hilo. Thanks
 
Mtu kajiolea kamke ka hovyooo bas anakuja na ye anapromote watt wa watu wajiunge kwenye huo uovyoo kwa gia ya mabinti wanajidanganya haha some men mnachekesha sanaa jmn...
Nimefurahi. Ningekuwa nakujua ungethibitisha kama unalosema ni kweli!
 
Back
Top Bottom