Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,564
- 109,098
Hivi kukaa Dar ndio ujanja?
Mbona Dar ndio mkoa unaoongoza Tanzania kwa kuwa na wakazi wapumbavu kupindukia? mijitu mijinga yote inapatikana Dar and you're among those.
Hivi kukaa Dar ndio ujanja?
Mbona Dar ndio mkoa unaoongoza Tanzania kwa kuwa na wakazi wapumbavu kupindukia? mijitu mijinga yote inapatikana Dar and you're among those.
mkuu Matola una maneno makalii.. Mkuu wa chuo anataka mpange ligi live!Hivi kukaa Dar ndio ujanja?
Mbona Dar ndio mkoa unaoongoza Tanzania kwa kuwa na wakazi wapumbavu kupindukia? mijitu mijinga yote inapatikana Dar and you're among those.
Hivi kukaa Dar ndio ujanja?
Mbona Dar ndio mkoa unaoongoza Tanzania kwa kuwa na wakazi wapumbavu kupindukia? mijitu mijinga yote inapatikana Dar and you're among those.
kama bangi inakupeleka hivyo ni bora uachane nayo hata wehu huona wenye akili na wenyewe ni wehu...
Kwa akili ya hivyo nashindwa kuelewa sijui yule mwanamke mnaishi nae vipi au umekwisha mfundisha kuvuta bangi...
Dah! Eti na wewe mvuta bangi mpaka zinakupeleka vibaya una mke! Interesting!
Hawa jamaa wanatumia jina la mwalimu vibaya,jamaa haeleweki kabisaa,sijaona logic
Sijaelewa......wewe ulijuaje ni washirikina?.....
Kama walishindwa kukuelewa mwanzoni hapa nina uhakika ndio umewapoteza kabisaaaaaa......I think nimeshaelewa unaposema kwamba hujaelewa. Unaposema hujaelewa nadhani unamaanisha kwamba hujaelewa. Why,of course hujaelewa. Mambo ambayo yameandikwa katika volume nyingi nimejaribu kuyaandika katika sentensi chache.
Kama alivyosema huyo ndugu ambaye yupo Alice Springs. Alice springs sijui ni wapi,New Zealand labda au Australia,hawa ni Pleiadeans,the most advanced civilization of the ET's who visit Earth. Kama umesema umeona sanamu zao huko,hawa inasemekana kuwa ni nine feet tall.
Kama unataka kusoma habari zao zaidi,unaweza kusoma Pleiadean Connections katika Phoenix Journals.
Zipo katika Phoenix Archives,Pleiadean Connections in eight volumes;Return of the Phoenix,God said let there be Light.I and my Father are one,Murder by atomic suicide,Phone Home ET,Sacred Spirit Within,Human,the science of man,Science of the cosmos.
Ukisoma utaona Germain anaelezea umesikia kila siku watu wanasema,''God is Light'' yeye anataka kukueleza what it means to say,'God is Light'.
Contradiction.
Hivi mkuu Matola, huyu Andrew Nyerere kwa hapa bongo anafaa kwa kazi gani hasa? Naona kama yuko dunia ingine kabisa, nahisi kama tungekuwa na kitu kama NASA ingemfaa au?
Huyu jamaa inaonekana ndio alikuwa mrithi wa akili za JK Nyerere ila kwa bahati mbaya alipewa mzigo mzito kuliko kichwa chake kinavyoweza kuhimili, kwahiyo akili zimepitiliza na imekuwa tabu.
Ukiwa na akili ndogo kama hizi kamwe huwezi kumuelewa Andrew Nyerere, nyinyi mmezoea ngonjera za Mkwele ndiye mnaweza kumuelewa vizuri.
Suala si usalama wa familia ya Nyerere, suala ni usalama wa wakazi ( na wageni) wa wilaya ya Butiama. Kwa nini serikali haichukui hatua kuzuia haya mauaji?Siuhamme huko...au ni kwa baba? Nyumba bure? N evrthing free so u r scared to mov out of ur comfort zone...