Washirikina leo walitaka kunifanya dili

Washirikina leo walitaka kunifanya dili

samahani Matola mleta mada ni albino? Gaijin mi huwa nakuaminia sana embu tutegulie huu mtego wa nyerere

Ni hivi;

Moja,

Ushirikina sasa hauhusishi viungo vya albino pekee huko Butiama

Hivyo, alipoona watu wamekaa na masururu na mapanga akawa na wasi wasi labda nao ni miongoni mwa hao washirikina


Pili,

Kuna viumbe wanatoka solar systems nyengine kuzunguka sayari zinazojuulikana kama Pleiade wanaiotwa Pleiadians ambao wanadaiwa kufanya mawasiliano na baadhi ya watu duniani

Ukitaka kuelewa zaidi yawahusuyo, fungua majarida ya Phoenix Journals

Au unaweza kupata idea ya awali kwa kuangalia filamu ya Star Trek

*Imeletwa kwako kwa hisani ya mtu wa Tanzania, Andrew Nyerere
 
  • Thanks
Reactions: amu
aaaaaa hapo nimekuelewa kiduchu ujue
Ni hivi;

Moja,

Ushirikina sasa hauhusishi viungo vya albino pekee huko Butiama

Hivyo, alipoona watu wamekaa na masururu na mapanga akawa na wasi wasi labda nao ni miongoni mwa hao washirikina


Pili,

Kuna viumbe wanatoka solar systems nyengine kuzunguka sayari zinazojuulikana kama Pleiade wanaiotwa Pleiadians ambao wanadaiwa kufanya mawasiliano na baadhi ya watu duniani

Ukitaka kuelewa zaidi yawahusuyo, fungua majarida ya Phoenix Journals

Au unaweza kupata idea ya awali kwa kuangalia filamu ya Star Trek

*Imeletwa kwako kwa hisani ya mtu wa Tanzania, Andrew Nyerere
 
Vizuri sana


*Tanabahi

Haipendezi hata kidogo, kwa watu ku-poke fun watu wazima

hiyo red n maana wanajamii hawakumuelewa na pia wavivu kuuliza wapo cha arusha uturuki shida tupu.
Ahsanteni ngoja nikapike ndizi mzuzu sasa
Kitu nilichogundua huyu mleta mada ana vitu extra wengi hatuna
 
sasa ndugu yangu uliikuwa unaota au ulikuwa katika hali gani maana hao unawaona umejuaje kuwa ni washirikina maana unajikanganya katika maelezo yako sijakuelewa kabisa
 
Mshirikina ni mtu anayefanya shirk,yaani anamshirikisha Mungu na kitu kingine. Hapa Butiama yamekuwepo mauaji ya kishirikina,sometimes two times in on week,mambo ambayo yametokea in the past few months. Kwa hiyo you cannot be too careful when you are walking about here.Remember the saying,If it quacks,waddles and appears like a duck....

Naam, hiyo ndiyo maana ya Shirk.

Hata wale wanaomshirikisha Mwenyeezi Mungu kuwa ana Mungu mwana na roho mtakatifu, wote wanafanya shirk.
 
Back
Top Bottom