Nasikia mjani wa musoma mkali sana kama wa olkokola!!!hukawii kuwa manjilinji haahaha!
Aisee unataka kusema mkubwa anakula mjani?.Nadhani wengi huwa tunashindwa kumuelewa maana jamaa yuko deep sana kwenye mambo ya meditation na inawezekana ameshafikia kiwango cha juu kabisa cha kufungua lotus of kundalini