Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Siku utakapofunga vilago huko majuu na kurudi kulitumikia taifa lako... Ni lini huu utegemezi utakoma?
Siku utakapofunga vilago huko majuu na kurudi kulitumikia taifa lako... Ni lini huu utegemezi utakoma?
Tatizo sio ushauri tatizo ni ufisadi na wizi. Hao jamaa watakachokuja kushauri ni kuwa viongozi waache wizi na ufisadi, na wakisema hivyo watapewa siku moja kufungasha na kuondoka na mchezo ule utaendelea palepale. Ni vizuri tuki-import mawaziri, makatibu na wakurugenzi, maana huko ndio kumeonekana kuwa na mafisadi, na ni huko ambako kuna loop holes za ufisadi.
Na kama lengo ni kuleta efficiency, kama hao jama wanaweza kukubali hata kututafutia rais itakuwa bomba tu, bora atuletea maisha raha na mazuri.
Kwa ufupi ni wazo la kujinga kuleta mtu ambaye hajyui utamaduni wako wala situation yako kuja kukushauri!
Hivi tunaweza kuwa na Makatibu wa Kuu toka Ulaya maana ndio watendaji wizarani?
Kaka Fundi,
kwenye ile mada ya MKJJ "R&D" nilisema DR. James Watson alikuwa sahihi kuhusu sisi waafrika,sasa Rais wetu anapoamua kuleta "washauri" wa uchumi na kuendesha nchi unataka kuniambia nini tena?Niambie ni lini China,India,Malaysia,Korea Kusini,Latin America in general (sihitaji kuongelea Europe and North America) walihitaji washauri wa namna hii kufika walikofika?Je pale Mlimani UDSM kuna wale watu wanaojiita "maprofesa" na "madokta" mabingwa wa uchumi, sayansi ya utawala/uongozi,tech,engineering, etc ambao kazi hii imewashinda/ingewashinda?kwanini JK aamue kuwaita hawa wazungu na huyo mjapani waje kwetu?
Je hatuna "maprofesa" na "madokta" katika serikali hii mpaka tuagize hao watu?Dr.Ballali alikuwa nani?Professor Msolla alikuwa nani?Dr. Ngasongwa alikuwa nani?Prof. Kapuya ni nani?Prof. Maghembe ni nani?Prof. mwakyusa ni nani?
tuna wabunge,manaibu mawaziri na makatibu wakuu wa wizara wangapi ambao ni "madokta" na "maprofesa"?Je ndo wameshindwa kabisa kufanya hayo mambo mpaka wageni waje?
Was James watson wrong?
Mwanakijiji na Koba hebu mnisaidie hapo kaka zangu.
Hivi tunaweza kuwa na Makatibu wa Kuu toka Ulaya maana ndio watendaji wizarani?
Mi naamini MMK kuna nchi za kiafrika zinazohitaji maraisi toka Ulaya, achilia mbali hao makatibu wa wizara.
Ibabambasi,
Watetezi wa ufisadi na ukoloni kama Dar es salaam (memba wa JF) watakuambia kuwa kwa vile Nyerere (miaka 45 iliyopita) alikuwa na msaidizi wa kizungu basi na watanzania leo wanahitaji msaada wa wageni kuendesha nchi yao.
Dada Mwafrika heshima kwako,
hebu muulize huyo Dsm atueleze mazingira yaliyosababisha Nyerere kuwa na mshauri wa kizungu enzi hizo na huyu JK kuwahitaji watu hao kwa sasa,pia mkumbushe DSM asome lile tamko la Nyerere wakati anakifungua UDSM na kusomesha "wasomi", alisema wasomi ni kama wamepewa chakula katika nchi ya njaa ili waende wapi kufanya nini?je ni lazima kuwa na washauri hawa wakati "wasomi" tunao?Je niwasomi wa "kubumba" (feki kwa maana ya wakazi wa kanda ya ziwa)?what a shame on DSM/huyo mtu anazidi kuprove how damn right Dr. Watson,Ian Smith na wazungu wengine wanavyotuona sisi wesusi...so angry grrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!
Ah ngoja nikapoze tu frustrations zangu na mafisadi hawa kwa kutazama Ze Comedy who are doing far even better than the so called intellectuals of TZ katika kuwaamsha wadanganyika na waetezi wa mafisadi kama huyu jamaa Dar es Salaam.
Some body please stop me from thinking and reading JF, I want to live a life!!
I hear you loud and clear my brother. This thing can ruin lives. For real.
Mkjj:
Nimepata fununu pia, kwamba mipango inakamilishwa na serikali kuwaleta wananchi kadhaa wa huko Netherland watakaosambazwa vijijini kusimamia mipango ya maendeleo ya wananchi. Haya yote yatakapokuwa yamekamilika, sina shaka Tanzania tutakuwa tumeondokana kabisa na matatizo ya umaskini wetu huu.
I hear you loud and clear my brother. This thing can ruin lives. For real.
Mkjj:
Nimepata fununu pia, kwamba mipango inakamilishwa na serikali kuwaleta wananchi kadhaa wa huko Netherland watakaosambazwa vijijini kusimamia mipango ya maendeleo ya wananchi. Haya yote yatakapokuwa yamekamilika, sina shaka Tanzania tutakuwa tumeondokana kabisa na matatizo ya umaskini wetu huu.
Ni wapi tunaweza kupata washauri wa kizungu ambao wana rekodi nzuri na watatusaidia kuendesha vitu kama Benki Kuu n.k.. sitaona ubaya hata tukiomba washauri wa Usalama wa Taifa...
Kuna mtu hapa anaweza kusema Ian Smith alikuwa wrong? hebu angalieni Mugabe anavyofanyia watu wake. Tanzania tunahitaji kuwa na timu ya consultants kutoka nje kwa kila wilaya. Nadhani bora lawama kuliko fedhea.
Leo hii nimesoma thread moja hapa JF kwamba wale wanachi waliondamana kufurahia kuaporomoka kisiasa kwa Dr. Ngasongwa sasa hivi wanasakwa ili wakamatwe na kujibu mashtaka ya kumdhalilisha mbunge wao. DC anayefanya hiyo shughuli ya kamata kamata ni Dokta. Sasa ebu niambieni watu wenye upeo kama huo ndio wanakuwa viongozi wetu, unategemea nchi itaendelea kweli?
tunahitaji kusaidiwa tangu wizarani hadi wilayani