Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,107
Hivi aliyeandika hiyo post IG ni me/ke???
mamapekupeku kaitoa kwa H-baba!nasikia ana element za ushoga huyo h baba!
am just saying!!!!
Hivi aliyeandika hiyo post IG ni me/ke???
Ushauri mzuri sana huu Masanja nadhani wamekusikia.
wakaanga sumu unadhani wanasikia basi!!!Oooops!kimbley mdomo unisaidie kula tu!
Bado wana kiwewe cha tuzo, sasa hivi kila habari watayoisikia kuhusu Chibu wao wanahusisha na hako katuzo kao tu yaani watu wasijadili mambo mengine!
mamapekupeku kaitoa kwa H-baba!nasikia ana element za ushoga huyo h baba!
am just saying!!!!
Khaa!!katuzo kenyewe kakiswazi hako nani anakawaza!!ama kweli mpanda ngazi hushuka!leo hii ally kiba inakuwa maajabu na sherehe akipata tuzo mshenz hizi?!?!kweli mbio za vijiti.
Huu uzi wanaupita km hawauoni,
😀😀😀
keep it up Mkandamizaji umenena
:thumbup::thumbup::thumbup:
Nilijua tu lazima utaniquote...khaaaa!
Masanja,mtoa mada simjui.
Sasa hivi ni muandaaji wa tunzo zake binafsi na anajipa ushindi yeye na mkewe
Kuna juhudi kubwa sana ya kupinga mafanikio ya Chibu inafanywa na watu kama hawa
Huyu alianza kudai Chibu kamuibia lisongi lake la kulewa
London nako alikodi watu? White party nayo alikodi watu? Rwanda alikodi watu? Mombasa alikodi watu?
Haya mambo mbona ni marudio tu, walikuwepo akina mr nice, saida karoli walikua wanajaza na kupokewa kama wafalme
Muacheni dogo bana huu ni wakati wake
Masanja naona anataka kuanza kujishushia heshima, mbona sijaona popote acknowledge mchango wa KingKiba au ndo na yeye kanunuliwa hivyo kama wale bodaboda wa mwanza?