Wasemavyo watu huko Instagram kuhusu Diamond Platinumz

Wasemavyo watu huko Instagram kuhusu Diamond Platinumz

Alishinda kwa msaada wa makombo...bila hvyo sjui angekuwa wapi???

Any way congratu'' kwa kiba..


Mwanza ilikuwa salamu..tu ngoma ya 60+ hahaaaaa.....


Tumewaacha na tuzo zenuuu..

Maneno ya mkosaji
 
Nyie munazani kuna jina gani watakalotumia kutokea kama si Diamond ??????? hadi na yeye leo tumemjadili "BASI NAWAAMBIENI NA MULITUMIE JINA HILI MUPATE MAFANIKIO YENU, NA MULITAJE JINA LAKE KTK NDIMI ZENU USIKU NA MCHANA ILI MUFANIKIWE"
 
Huyu katukanwa hadi anakimbia watu instagram na kublock amekiona cha moto

Tena karusha picha aliyopiga na Chibu pamoja kumbe kinamuwasha rohoni wivu

Kwani amekatazwa kufanya show yake? Kwa hiyo wale wote walioimba jana nao wamekodiwa watu maana umati ni wao wote kuwaona wakiongozwa na D bila ubishi ameenda kutoa show nzuri na dancers wake wote hakubania kubeba wawili au watatu.
 
Nyie munazani kuna jina gani watakalotumia kutokea kama si Diamond ??????? hadi na yeye leo tumemjadili "BASI NAWAAMBIENI NA MULITUMIE JINA HILI MUPATE MAFANIKIO YENU, NA MULITAJE JINA LAKE KTK NDIMI ZENU USIKU NA MCHANA ILI MUFANIKIWE"

Yaani na bado tunajua watazidisha promo bila kuombwa, chuki kwake baraka.

Kuna kutoka kutumia jina ila huyo hbaba kaenda mbaki sana hadi kuongelea mimba...yaani watu wanataka sijui waanze kubeba bunduki kama USA na kucharazana kila kona ya nchi.

Wanasema wanamtukania hafi mkewe kijasho anacho.

Ndio haya haya D anafanya yake wao wapo busy kushinda kutukana halafu hata humu jf ni wale wale, insta wale wale hakuna jipya na muda wa kuchukia wanao na kujazia watu maneno kama vile.

D upo juu bila you hakuba wao, wanajua wanakuabudu wanakupenda sema tamaa na wivu ndio mbaya.
 
halaf hv Chibu anajibugi mapigo, maana hhuwa naona kimya hata wamtukane kwanini!?
 
Huyu katukanwa hadi anakimbia watu instagram na kublock amekiona cha moto

Tena karusha picha aliyopiga na Chibu pamoja kumbe kinamuwasha rohoni wivu

Kwani amekatazwa kufanya show yake? Kwa hiyo wale wote walioimba jana nao wamekodiwa watu maana umati ni wao wote kuwaona wakiongozwa na D bila ubishi ameenda kutoa show nzuri na dancers wake wote hakubania kubeba wawili au watatu.

Ahahaha!!kwanza hata hao mashabiki wa kukodi hawapati!kakata viuno weee bado watu hatujamuelewa!!mpira kacheza weee bado watu hatujamuelewa !!!
 
Ahahaha!!kwanza hata hao mashabiki wa kukodi hawapati!kakata viuno weee bado watu hatujamuelewa!!mpira kacheza weee bado watu hatujamuelewa !!!

Basi anajijua hana nyota amejaribu kama wengine kutumia kwa D wamemmaliza leo atakuwa majuto.
 
Jana mpenz bubu 😷 kaongea huko Mwanza, Mondi bin laden sio mchezo aisee!
😁😂😂😂😂😂
 
Basi anajijua hana nyota amejaribu kama wengine kutumia kwa D wamemmaliza leo atakuwa majuto.

Ni chuki tu isiokuwa na maana!ambayo haimsaidii na haitomsaidia siku zote!
Alijisemea linah!NA KAZI NZURI ZIENDELEE KUFANYWA
 
Back
Top Bottom