Hahahaaaaa haloooo ya chuo cha muziki.....
Tehe teheee amfundishee nani kwanza mziki domo haujui anatumia janja janja tuu ata barnaba alishasema iyo ni moja..
Pili huyu masanja aanze kwenda kufundishwa yy maana akili zao ndo zinafanana...
Domo hajulikani anaimba mziki wa aina gani na vile vile masanja wapo sawa tuu mara gospol mara za kidunia...mara mchungaji.. heheheiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wapi tuzoooooooo? Chezea strss za kukosa tuzo weyeee domo mwaka huu lazma atage boga
Kiba kaanza kusoma nazan ndo yupo mwaka wa kwanza
Love huyo barnaba pamoja na kusomea mziki lakini amefanya nini cha maaana???
Ila kwa wewe ngoja nsiongee sana usije ninyima bureeee...
Afu nishakuambia ukiendelea kumsifia domo asiyejua kitu nitakunyima unyumba sasa endelea
Ulisema nsimdisi madame..bhanaaa...
Hawa wengine halali yangu
Hata wabunifu wakimarekani wameanza kumsoma mondi
Kiba kaanza kusoma nazan ndo yupo mwaka wa kwanza
BAdala ya kuhangaika kutafuta maisha nyie kutwa mnamuwaza ndomo, mijitu mingine ina familia kutwa kumsifia ndomo kazi hawataki kufanya, mbwa kabsa nyie
BAdala ya kuhangaika kutafuta maisha nyie kutwa mnamuwaza ndomo, mijitu mingine ina familia kutwa kumsifia ndomo kazi hawataki kufanya, mbwa kabsa nyie
ha ha ha yamekua haya? ukitembelea celebrity forum katika post kumi za udaku basi 7 zimepostiwa na wewe warumi,leo kulikoni umekuja na hii comment?
BAdala ya kuhangaika kutafuta maisha nyie kutwa mnamuwaza ndomo, mijitu mingine ina familia kutwa kumsifia ndomo kazi hawataki kufanya, mbwa kabsa nyie
ha ha ha ha bin laden wauweeeeeeee tutakubali tu mdogo mdogo
Wewe nawe si ni jobless, kazi kutafuta umbea GPL kuja kutupestia humu. Ame kweli nyani haoni....
Mwenzio nipo kazin nalipwa, wewe je? Umbea masaa 24 ndomo ndomo mxiuuu atawaoa shaur zenu