Katika page yake ya IG msanii maarufu wa comedy amesifia nguli wa muziki nchini Tanzania kwa sasa Diamond platinum..kwa juhudi kubwa anazozifanya katika mziki..
Vile vile amewaasa wasanii wengine kujifunza kutoka kwake na sio kujenga bifu za kijinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.