Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Wewe umeshaskia huyo ni rais wa "MASHAROBARO"!!!! kama unabisha huyu dogo bwabwa utauwa sharobaro tu na wewe!
]MASHAROBARO ndo watu wa namna gani?ma uchaguzi huo ulifanyika lini????????????
Wewe umeshaskia huyo ni rais wa "MASHAROBARO"!!!! kama unabisha huyu dogo bwabwa utauwa sharobaro tu na wewe!
WADAU NAOMBA MSEME WENYEWE HILI POZI LA HUYU DOGO, ANAITWA BOB JUNIOR, A.K.A RAIS WA MASHAROBARO
Ingawa hilo pozi na hiyo suruali aliyovaa havisaidii, hakuna mwenye uhakika kuwa huyo dogo ni shoga labda yeye mwenyewe awe amekiri au kutangaza kuwa ni shoga.
Lakini watu hawana muda wa kungoja kusikia toka kwake. Watu watahukumu tu. Inasikitisha lakini maisha ndivyo yalivyo wakati mwingine. Kwenye mahakama ya maoni ya watu kwa bahati mbaya hakuna vizibiti, ushahidi, wala nafasi ya kujieleza. Ni hukumu tu.
Mzee Nyani,
Wabongo hawahitaji ushahidi. Akianza mmoja, wote wanafuata mkumbo brainlessly kaa kondoo. Ona dili ya Loliondo.
sharouharo.
Mwacheni handsome huyo, mnapna wivu tuu, huyu jama mademu wanampenda sana ana ana wapata vi;e vile . Mimi kinacho nishangaza huyu jama anaitwa DJ Choka, jibaba zima kutwa nzima kupiga picha na maHandsome boys kujisimamisha nao, wakati mwenyewe hamatch nao hata kidogo, DJ CHoka lazima ni gay!
ingawa hilo pozi na hiyo suruali aliyovaa havisaidii, hakuna mwenye uhakika kuwa huyo dogo ni shoga. Labda yeye mwenyewe awe amekiri au kutangaza kuwa ni shoga.
lakini watu hawana muda wa kungoja kusikia toka kwake. watu watahukumu tu. Inasikitisha lakini maisha ndivyo yalivyo wakati mwingine. Kwenye mahakama ya maoni ya watu kwa bahati mbaya hakuna cha vizibiti, ushahidi, wala nafasi ya kujieleza. Ni hukumu tu.
WADAU NAOMBA MSEME WENYEWE HILI POZI LA HUYU DOGO, ANAITWA BOB JUNIOR, A.K.A RAIS WA MASHAROBARO
dogo namfahamu fresh...SIO MENYU/BWABWA ila alivyomchomolea wema sepetu....WEMA ALIMTAKA DOGO ...DOGO AKAMWAMBIA HUNA HADHI YA KUMMILIKI MTU KAMA MIMI ...TOKEA HAPO WEMA AKAJIWEKA KWA DIAMOND NA ndio akaamua kumuharibia kuwa jamaa chakula cha watu...DOGO AMEPITILIZA KWENYE UUZAJI WA SWAGGA ZA AJABU-AJABU NDIO MAANA KACHANGANYA SWAGA ZA MICHAL JACKSON NA NICK MINAJ SI AKATUPIA SWAGGA ZA RASTA NA MAPOUDWAAA YA ZE-KOMEDY MASANJA...NDIO AKAHARIBU KABSAAA...ILA SIO ****** WALA BASHA BUBU....UTOTO NA KUCHAFUANA MAJINA NDIO SABABU YA KUHUSISHWA NA SHUTUMA ZA USHOGA... TUMSAMEHE YEYE NA MWENZAKE DIAMOND WAKIKUA-KI-UMRI WATAACHA