Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,666
- 4,997
muacheni jamani,mtu anastrugle to find his own identity-yote ni ukuaji tu baadae ata'seto' kama nyie,haya maneno ya kihuni hayamsaidiii ,mnaweza mkafanya akawa rebellion kutaka kuwaonyesha yeye ni zaidi ya haya maneno mnayomtupia hivyo kumfanya akawa kituko zaidi mbele ya jamii.....:frusty::frusty:
Una maana "rebellious", au? Anyway, bamdogo kwa kweli ana kipaji sana cha Uprodyuza na Muziki kiujumla, mi namfagilia kwa saana.
Hao wanaomponda na kumhukumu bila hata ya kumjua binafsi eti ni "gay", utakuta wengi wao wako sexually insecure in their private lives, in fact some of them may even be closet gays themselves (Kama wewe rijali kwa nini ukerwe hadi kulalama eti mwanaume mwenzio anakata viuno kwenye video. Mtazamo kama huo ni ishara ya ushoga vilevile). Mashoga siyo lazima wawe na maumbile na hulka za kike.