Sokwe Mjanja
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 575
- 298
Huyu akikalia beseni lenye maji water bubbles hazitoki kweli?
WADAU NAOMBA MSEME WENYEWE HILI POZI LA HUYU DOGO, ANAITWA BOB JUNIOR, A.K.A RAIS WA MASHAROBARO
![]()
WADAU NAOMBA MSEME WENYEWE HILI POZI LA HUYU DOGO, ANAITWA BOB JUNIOR, A.K.A RAIS WA MASHAROBARO
![]()
Yale mauno anayokata kwenye video ya wimbo wake wa Oyoyo plus hili pozi...
Jamani hivi kuwa sharobaro unatakiwa uwe na vigezo gani? maana mchizi naona pozi zote za kike cheki jicho utasema kala kungu! wapaka poda kazi mnayo du!!!
mhh watu wanafiki humu,mlimshuhudia akishikishwa ukuta au kwa kuwa handsome na anajipenda,au mlitaka akipiga picha aweke dole!
WADAU NAOMBA MSEME WENYEWE HILI POZI LA HUYU DOGO, ANAITWA BOB JUNIOR, A.K.A RAIS WA MASHAROBARO
![]()
Atakuwa CCM huyu..........:A S shade:
Acheni Umbea wabongo na kumchunguza mtu maisha yake, Gay or whatever ni issue yake wewe inakuhusu? Mie sipendi mtu kumsema mwenzake huku yeye hajiangalii, Dogo yuko hansome kinoma acheni wivu wa Kifara JF...je tukudiscuss wewe utajisikiaje? Msipoteze mwelekeo kwa wivu binafsi...Sharobaro mie nakufagilia sana....
halafu tatizo kubwa zaidi, huenda wote wanaomkashifu humu jf hata hawamjui. Inasikitisha sana pale watu ambao hawakujui wanapokuteta kama vile wao ndiyo wamekuzaa.