Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
Hujui kuwa kuna watu tuliamini ni wasomi kwa sababu wamefundisha kemia hadi shule za upili lakini bure kabisa?
Hujui kuwa kuna watu wamehitimu digrii ya kwanza, ya pili na ya tatu aka PhD na kumbe ni bure kabisa?
Hujui pia kuwa wapo wenye sifa nilizotaja hapo juu wakaongezea na uzoefu wa miaka 20 ya ubunge/uwaziri lakini walipopewa kazi hiyo ni bora hata angepewa Sugu mwenye uzoefu wa Hip hop na ubunge miaka 10 pekee?
Acheni jamani, kuna watu na viatu!
Hujui kuwa kuna watu wamehitimu digrii ya kwanza, ya pili na ya tatu aka PhD na kumbe ni bure kabisa?
Hujui pia kuwa wapo wenye sifa nilizotaja hapo juu wakaongezea na uzoefu wa miaka 20 ya ubunge/uwaziri lakini walipopewa kazi hiyo ni bora hata angepewa Sugu mwenye uzoefu wa Hip hop na ubunge miaka 10 pekee?
Acheni jamani, kuna watu na viatu!