Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,126
Asili ya wasamalia na kutengwa kwao ni hii:
Hapo kale, baada ya waisraeli kuchukuliwa utumwani babyloni waliachwa waisrael wachache kulinda mashamba. Watu kutoka babyloni pia walikuja israeli kutawala (kwa niaba ya mfalme wa babyloni). Mji wa Samaria ndio ukawa makao ya hawa watu kutoaka babyloni. Wageni hawa hawakufuata torati, walikuja na sheria zao na utaratibu wao wa kuabudu. wasamaria waliingia katika mtego huu na kuanza kufuata tamaduni za wageni na kusahau miiko yao.
Baada ya waisraeli kulejea kutoka uhamishoni babyloni, waliukuta mji wa samaria ukifuata tamaduni za kigeni, na ndio chanzo cha mji huu na watu wake kutengwa
Hapo kale, baada ya waisraeli kuchukuliwa utumwani babyloni waliachwa waisrael wachache kulinda mashamba. Watu kutoka babyloni pia walikuja israeli kutawala (kwa niaba ya mfalme wa babyloni). Mji wa Samaria ndio ukawa makao ya hawa watu kutoaka babyloni. Wageni hawa hawakufuata torati, walikuja na sheria zao na utaratibu wao wa kuabudu. wasamaria waliingia katika mtego huu na kuanza kufuata tamaduni za wageni na kusahau miiko yao.
Baada ya waisraeli kulejea kutoka uhamishoni babyloni, waliukuta mji wa samaria ukifuata tamaduni za kigeni, na ndio chanzo cha mji huu na watu wake kutengwa