jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 465
- 430
Kwa upande wangu mimi naamini imani niliyonayo si potofu na simkosoi mtu na imani yake. Mimi naamini kuna Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyopo, vinavyo onekana kwa macho ya damu na nyama na visivyo onekana kwa macho ya damu na nyamaSawa, unapozungumzia roho unazungumzia suala la imani, lakini imani nayo kuna imani potofu.
Si imani zote ni sahihi. Nyingine ni potofu.
Sasa, unajuaje kwamba ukiamini roho ipo hujaamini imani potofu ya kuamini kwamba kitu ambacho hakipo kipo?
Unajuaje kwamba imani yako ni sahihi na si potofu?
Sent using Jamii Forums mobile app