Wasamaria:Fahamu chanzo chao na kwanini walikuwa hawachangamani na Wayahudi!

Watu wanapenda na kujua historia ya Wayahudi na Wasamaria walioishi miaka maelfu na maelfu mbali huko, lakini ukiwauliza historia ya Mwanamalundi, Kinjekitile, Mkwawa au David Kidaha Makwaia walioishi takriban miaka mia moja iliyopita kwetu hawaijui.

Hili ni jambo la aibu.

Ndiyo maana inakuwa rahisi kutuaminisha kwamba sisi si watu kamili.
tatizo ni usahihi wa taarifa mkuu. hata kwa kizazi cha sasa kinachojua umuhimu wa kutunza historia katika maandishi bado hakishughuliki na hilo kwa dhati,ndio maana historia ya mtanzania inaanza wakati wa ukoloni tu ila ya wenzetu miaka maelfu nyuma
 
Mpaka hapo ushaonyesha jinsi usivyojua historia yako na jinsi gani haya makabila ya "Muhehe" "Mmakonde" "Msukuma", "Mgoni", "Mzulu" kati ya Wabantu kwa mfano, yalivyo very artificial na very later addition after the migration of the Bantu people.

Ni kama unamkataa mdogo wako mliozaliwa baba mmoja mama mmoja kwenye familia lafu unaenda kumkumbatia Myahudi ambaye hata hamna uhusiano wa karibu.

Ndiyo maana nikasema huu ni utumwa wa mawazo.

Bantu Migration

bantumigration.jpg
Ndugu yangu muda mwingine samehe tu. Shukuru Mungu angalau wewe unatambua umuhimu wa kujua historia ya jamii yako kwanza kabla yakutafuta ya jirani.

Nakuunga mkono kuwa sisi waafrica wengi bado ni watumwa kifikra. Sisi ni wajinga kwa kila kitu. Kuna mzungu mmoja alisema hivi. " Wana sayansi na historia wanasema binadamu alikuwa anatembea kama wanyama wengine, kisha akainuka kidogo kama nyani na hatimaye kuwa wima kama tulivyo sasa.

Na hiyo process sio kwamba ilifanyika kwa uwiano sawa, hapana, wapo waliotangulia na wengine wakafuata taratibu. Hivyo basi'' baada ya mabadiliko ya kimwili/physical change hatua inayoendelea ni mabadiliko ya kiakili/cognitive changes ambapo mtu mweusi yeye bado sana kulinganisha na race zingine kama wazungu, wahindi, china nk. Yaani mtu mweusi kamzidi mnyama tu."

Najua wapo watakaokuja kupinga hii kwakuwa waliaminishwa tangu shuleni kuwa wakoloni ndio waliofanya tusiendelee.
 
Ndugu yangu muda mwingine samehe tu. Shukuru Mungu angalau wewe unatambua umuhimu wa kujua historia ya jamii yako kwanza kabla yakutafuta ya jirani.

Nakuunga mkono kuwa sisi waafrica wengi bado ni watumwa kifikra. Sisi ni wajinga kwa kila kitu. Kuna mzungu mmoja alisema hivi. " Wana sayansi na historia wanasema binadamu alikuwa anatembea kama wanyama wengine, kisha akainuka kidogo kama nyani na hatimaye kuwa wima kama tulivyo sasa.

Na hiyo process sio kwamba ilifanyika kwa uwiano sawa, hapana, wapo waliotangulia na wengine wakafuata taratibu. Hivyo basi'' baada ya mabadiliko ya kimwili/physical change hatua inayoendelea ni mabadiliko ya kiakili/cognitive changes ambapo mtu mweusi yeye bado sana kulinganisha na race zingine kama wazungu, wahindi, china nk. Yaani mtu mweusi kamzidi mnyama tu."

Najua wapo watakaokuja kupinga hii kwakuwa waliaminishwa tangu shuleni kuwa wakoloni ndio waliofanya tusiendelee.
Sasa hawa wageni washawashika Waafrika wengi pabaya.

Mtu anakujia kwa gia ya Mungu.

Anakwambia Mungu kasema mimi taifa langu lina agano pekee na yeye, taifa langu ni taifa teule, nyie wengine mnasindikiza tu.

Au mtu anakwambia ukitaka kumjua Mungu lazima ujue lugha yangu na kuswali huku unaelekea kwangu. Usipofanya hivyo hujatimiza kanuni za Mungu.

Watu wanapokezana propaganda hizo miaka maelfu na maelfu bila hata kujiuliza, hivi hawa wanavyosema Mungu kapendelea kwao huko, huyu Mungu gani wa kuwa na upendeleo wa wazi hivi atubague sisi na kuwapendelea wao?

Mbona hata baba binadamu tu akimpendelea mtoto mmoja na kubagua wengine tunamsema na kumuona kafanya vibaya? Huyo Mungu wanayesema ana upendo Mungu gani anashindwa hata na binadamu asiyependelea mtoto wake mmoja dhidi ya mwingine?

Hao Waisraeli walikuwa wajanja wanataka kutawala wenzao, wakatunga hadithi nyingi sana kwamba wao ndio taifa la Mungu, hadithi hizi zimeshikia akili watu mpaka leo.

Halafu, ukichunguza hao Waisraeli wenyewe hata hawaamini hizo habari, sisi Waafrika tunaamini kuliko wao.

Kuna video moja nilikuwa naangalia, Wa Israeli wanacheka sana habari za Yesu na Biblia na kutaja hizi habari kama uzushi tu.

Sasa hao ndiyo wenyewe habari hizi zilipoanzia na huyo Yesu wanamjua tangu yuko vidudu.

Halafu utakuta Muafrika anajifanya anaijua Biblia kuliko wao!
 
Nimependezwa na hii mada ila nachukia baadhi ya watu wanaoingizamada zisizo husika kama huyu alwatan

Sent using Jamii Forums mobile app
Mada zisizohusika ni zipi na kwa nini unaandika mada hizi hazihusiki?

Zaidi, kwa nini unaandika hivyo kwa mkato bila maelezo yanayojitosheleza kama vile hujui kujieleza? Hujui kujieleza? Au huna hoja tu?

Ukiandika hivyo bila maelezo ya kutosha unanionyesha kwamba wewe una akili finyu ambayo inaogopa au haipendi mjadala mpana.

Na una tabia ya kutoelezea mambo, ama kwa sababu ya akili zako finyu ama kwa sababu unajua huna hoja.

Unaweza kujibu vipi tuhuma hizi?
 
tatizo ni usahihi wa taarifa mkuu. hata kwa kizazi cha sasa kinachojua umuhimu wa kutunza historia katika maandishi bado hakishughuliki na hilo kwa dhati,ndio maana historia ya mtanzania inaanza wakati wa ukoloni tu ila ya wenzetu miaka maelfu nyuma
Kizazi kitaanzia wapi wakati kishaambiwa Muisraeli ni taifa teule la Mungu. Jerusalem ni mji mtakatifu, Waisraeli wamepata baraka za Mungu na atakayewasema vibaya atalaaniwa?

Na upande mwingine kizazi kinaambiwa kariri Kiarabu, lugha zenu hazifai. Mkisali lazima muangalie Mecca na muende kuhiji huko kama vile Mungu anapatikana huko tu.

Ndiyo maana hata majina siku hizi unakuta mtu anaitwa Josephine Joseph, kama vile hana jina la ukoo.

Tumefukuza mkoloni halafu tunaendeleza ukoloni wa akili.

Lazima vizazi vione fahari ni kuwa muarabu mweusi, mzungu mweusi au muisraeli mweusi.

Monkey see, monkey do.

Ukiuliza mtu historia ya machifu wa kabila lake hata majina hawajui.

Ukiuliza ngoma zenu mnachezaje atakwambia ushenzi.

Wkati hao hao wazungu mnaowafuata washakuja zamani sana kufuata historia za maisha ya Wahadzabe wa Tanzania, na wamewasifia sana kwamba wanaishi maisha yanayo make sense. Jana nilikuwa nasikiliza kipindi BBC World Service kunamsomi mmoja Muingereza alikuja Tanzania miaka ya hamsini akafanya research kwa Wahadzabe akajifunza hunting and gathering, mpaka akajua lugha yao. Mzungu huyo, msomi. Kwao washamaliza kuandika vitabu vyote vya historia zao, mpaka wanakuja kwetu. Sisi historia ya Nyerere tu miaka sitini iliyopita imejaa ukungu hatuijui, lakini tunajua vizazi vyote vya Suleimani na tunaweza kuvitaja bila kusoma!
 
Aibu ni kwa sababu kama hujui historia yako, hata mtazamo wako huwezi kuujua.

Utapandikiziwa mtazamo wa mtu na kufikiri huo ndio mtazamo wako.

George Santayana said those who do not remember history are condemned to repeat it.

By not knowing our own history, we are repeating slavery, of the more subtle sense, of the mind.

Ukiacha kusoma historia yako na kujikita kwenye historia ya Wayahudi ndiyo mwanzo wa kuamini Wayahudi ni taifa teule na sisi ni wasindikizaji tu hapa duniani.

Watu wanaweza kukutajia vizazi vya Wayahudi 40 kurudi nyuma, lakini ukiwauliza jina la baba yake baba wa bibi mzaa mama wana draw a blank!

Utumwa wa kimawazo.
Tatizo la mababu zetu historia yao hawajaiandika.
Ukimwuliza babu, babuyake anaitwa nani nayeye hajui, utakuta hata kusoma hajui.

Ndio mana hata shuleni tunasoma historia ya mto Rhine wa huko Ulaya na hatuijui mito yetu kama mto

Malagalasi upo wapi na chanzo chake ni kipi.
Hakuna pa kusoma historia ya makabila yetu.

Ndo kwa maana tunafuatilia historia za wenzetu walioziandika vizuri tokea uzao wa Adamu na Hawa hadi hivi leo.

Waisraeli hao.
 
Tatizo la mababu zetu historia yao hawajaiandika.
Ukimwuliza babu, babuyake anaitwa nani nayeye hajui, utakuta hata kusoma hajui.

Ndio mana hata shuleni tunasoma historia ya mto Rhine wa huko Ulaya na hatuijui mito yetu kama mto

Malagalasi upo wapi na chanzo chake ni kipi.
Hakuna pa kusoma historia ya makabila yetu.

Ndo kwa maana tunafuatilia historia za wenzetu walioziandika vizuri tokea uzao wa Adamu na Hawa hadi hivi leo.

Waisraeli hao.
Hilo si tatizo, hiyo ni challenge.

Alexander The Great alimlalamikia baba yake Mfalme Phillip wa Macedonia akimwambia baba yake, baba, usipigane vita zote, niachie nyingine na mimi nipigane, ukimaliza vita zote mimi nitapigana nini na mimi nipate fahari?

Kuna watu wanalalamika historia zao zishaandikwa zote hawana cha kuandika, ndio hao mpaka wanakuja kwetu na kuandika historia za Wahadzabe.Muingereza anakuja Tanzania anaishi na hunter gatherers anajifunza mpaka lugha zao anaandika vitabu.


Muingereza anajifunza Kihadzabe na anakijua!

Halafu Mtanzania analalamika babu zetu hawajui historia zao.

Huwa nikisoma vitabu vipya vya Kennedy, Vita Vikuu vya Pili etc, topics ambazo hapa kwangu naweza kuwa na vitabu zaidi ya mia on each, naangalia waandishi wanavyotaka ku justify kuandika "yet another Kennedy book" au "yet annother WW2 book" kwa kusema wamepata nyaraka mpya au namna mpya ya kuandika, watu washaandika mpaka wanaona kuandika tena inabidi utoe sababu.

Sisi tunatakiwa kushukuru hatujafika huko, uwanja wetu mpana.Ukiandika kitabu cha Nyerere leo kuna mengi sana hayajaandikwa bado. Na huyo ni Mtanzania maarufu sana, kuna wengine kibao.

Unapolalamika tuna tatizo, wengine wanaona ni nafasi ya ku shine. Let no crisis go to waste.
 
Huu ni upotoshaji mkubwa wa history,
samaria haijawahi kuwa nchi,samari ulikuwa mji mkuu wa israel kingdom,

ufalme wa israel uligawanywa kwa sababu ya uroho wa madaraka,unyanyaswaji wa wananchi na mfalme mpya aliekamata madaraka baada ya solomoni kufa,
makabila kumi yalijitenga na kuanzisha ufalme wa israel,

sio kweli kuwa mungu ndo ameugawa ufalme wa israel,

ufalme wa israel ulianguka baada ya wao kuungana na ufalme wa syria kuasi kutoa kodi kwa Asyrian empire,
kumbuka israel na yuda zilikuwa falme ndogo sana na zilitakiwa kupay Tribute kwa asyrian empire,
sasa israel kingdom na syrian kingdom walichoka na waka asi,
walitaka pia ufalme wa Yuda uungane nao kuasi ili wapambane na Asyrian,
baada ya mfalme Ahaz wa yuda kugoma,israel kingdom na syria wakaungana kuipiga Yuda,

ilibidi mfalme Ahaz aombe msaada kutoka kwa asyriani,
ndipo asyrian wakaivamia syria kingdom na kuiteka na pia mwaka 722 wakaivamia israel na kuiteka na huo ukawa mwisho wa israel kingdom.

Hakuna mambo ya spritual hapo,ilikuwa ni pure geopolitical movement,mkubwa kumla mdogo.

Kwa upande wa imani,israel kingdom hawakuabudu mungu aitwae YAHWEH wao waliabudu mungu anaeenda kwa jina El,

sasa baada ya israel kingdom kuanguka ,makuhani wa yudah wakaunganisha maandiko ya wale waliobudu El na kuyachanganya na ya kwao yanayomhusu mungu Yahwew,
na huo ndo sababu ya kuwepo contradiction katika maandiko ya agano la kale,kwani ni maandiko kutoka chanzo zaidi ya kimoja?
 
Kizazi kitaanzia wapi wakati kishaambiwa Muisraeli ni taifa teule la Mungu. jerusalem ni mji mtakatifu, Waisraeli wamepata baraka za Mungu na atakayewasema vibaya atalaaniwa?

Na upande mwingine kizazi kinaambiwa kariri Kiarabu, lugha zenu hazifai. Mkisali lazima muangalie Mecca na muende kuhiji huko kama vile Mungu anapatikana huko tu.

Ndiyo maana hata majina siku hizi unakuta mtu anaitwa Josephine Joseph, kama vile hana jina la ukoo.

Tumefukuza mkoloni halafu tunaendeleza ukoloni wa akili.

Lazima vizazi vione fahari ni kuwa muarabu mweusi, mzungu mweusi au muisraeli mweusi.

Monkey see, monkey do.

Ukiuliza mtu historia ya machifu wa kabila lake hata majina hawajui.

Ukiuliza ngoma zenu mnachezaje atakwambia ushenzi.

Wkati hao hao wazungu mnaowafuata washakuja zamani sana kufuata historia za maisha ya Wahadzabe wa Tanzania, na wamewasifia sana kwamba wanaishi maisha yanayo make sense. Jana nilikuwa nasikiliza kipindi BBC World Service kunamsomi mmoja Muingereza alikuja Tanzania miaka ya hamsini akafanya research kwa Wahadzabe akajifunza hunting and gathering, mpaka akajua lugha yao. Mzungu huyo, msomi. Kwao washamaliza kuandika vitabu vyote vya historia zao, mpaka wanakuja kwetu. Sisi historia ya Nyerere tu miaka sitini iliyopita imejaa ukungu hatuijui, lakini tunajua vizazi vyote vya Suleimani na tunaweza kuvitaja bila kusoma!
jamaa wajanja mno,ila ni rahisi kugundua kama ukitulia na kusoma huku na huku,
mfano wanasema solomoni alikuwa mtawala mwenye nguvu sana na hekima nyingi,
ni story za kutunga tu,solomoni alikuwa ni mtawala mdogo tu asiefahamika eneo hilo na usikute alitawala eneo la ukubwa sawa na kitongoji tu,ndo maana hata katika vitabu vya history hayumo kama wenzake akina alexandra the great,hammurabi au wale watawala wa asyria,
ukifuatilia history kwa makini utagundua kuwa hata baada ya mfalme wa kwanza wa israel kuanza kazi,hapakupata kuwa na stability hapo na uongozi ulikuwa inafikia hatua wafilist ndo wanawatala waisrael,

rejea kisa cha samsoni,utaona kuwa kipindi hicho wafilist ndo walikuwa wanatawala na waisrael wakipigana na wafilist mara kwa mara ili kujikomboa,
hadi saul anakufa,Daud anatawala miaka kadhaa ikapita ndo Daud akauteka mji wa jerusalem,

hata baada ya hapo hakukuwa na stability,
vita vya wao kwa wao,rejea vita vyao na wana wa kabila la benjamini,
hadi daud anakufa na kuingia solomoni,hatuoni israel ikiwa imejipanua zaidi ya ukubwa wa mtaa ama kijiji kimoja,
hadi solomon anakufa na israel inagawanyika bado haikuwa na nguvu kulinganisha na falme kama asyria,egypt,mesopotamia,kushite empire etc.

Hadi utawala wa israel unaanguka na kubaki Yuda ambayo nayo ikaja kuanguka,hakuna signifcant achievement ya hawa watu zaidi ya kujipamba kwenye vitabu
 
Kizazi kitaanzia wapi wakati kishaambiwa Muisraeli ni taifa teule la Mungu. jerusalem ni mji mtakatifu, Waisraeli wamepata baraka za Mungu na atakayewasema vibaya atalaaniwa?

Na upande mwingine kizazi kinaambiwa kariri Kiarabu, lugha zenu hazifai. Mkisali lazima muangalie Mecca na muende kuhiji huko kama vile Mungu anapatikana huko tu.

Ndiyo maana hata majina siku hizi unakuta mtu anaitwa Josephine Joseph, kama vile hana jina la ukoo.

Tumefukuza mkoloni halafu tunaendeleza ukoloni wa akili.

Lazima vizazi vione fahari ni kuwa muarabu mweusi, mzungu mweusi au muisraeli mweusi.

Monkey see, monkey do.

Ukiuliza mtu historia ya machifu wa kabila lake hata majina hawajui.

Ukiuliza ngoma zenu mnachezaje atakwambia ushenzi.

Wkati hao hao wazungu mnaowafuata washakuja zamani sana kufuata historia za maisha ya Wahadzabe wa Tanzania, na wamewasifia sana kwamba wanaishi maisha yanayo make sense. Jana nilikuwa nasikiliza kipindi BBC World Service kunamsomi mmoja Muingereza alikuja Tanzania miaka ya hamsini akafanya research kwa Wahadzabe akajifunza hunting and gathering, mpaka akajua lugha yao. Mzungu huyo, msomi. Kwao washamaliza kuandika vitabu vyote vya historia zao, mpaka wanakuja kwetu. Sisi historia ya Nyerere tu miaka sitini iliyopita imejaa ukungu hatuijui, lakini tunajua vizazi vyote vya Suleimani na tunaweza kuvitaja bila kusoma!
jamaa wajanja mno,ila ni rahisi kugundua kama ukitulia na kusoma huku na huku,
mfano wanasema solomoni alikuwa mtawala mwenye nguvu sana na hekima nyingi,
ni story za kutunga tu,solomoni alikuwa ni mtawala mdogo tu asiefahamika eneo hilo na usikute alitawala eneo la ukubwa sawa na kitongoji tu,ndo maana hata katika vitabu vya history hayumo kama wenzake akina alexandra the great,hammurabi au wale watawala wa asyria,
ukifuatilia history kwa makini utagundua kuwa hata baada ya mfalme wa kwanza wa israel kuanza kazi,hapakupata kuwa na stability hapo na uongozi ulikuwa inafikia hatua wafilist ndo wanawatala waisrael,

rejea kisa cha samsoni,utaona kuwa kipindi hicho wafilist ndo walikuwa wanatawala na waisrael wakipigana na wafilist mara kwa mara ili kujikomboa,
hadi saul anakufa,Daud anatawala miaka kadhaa ikapita ndo Daud akauteka mji wa jerusalem,

hata baada ya hapo hakukuwa na stability,
vita vya wao kwa wao,rejea vita vyao na wana wa kabila la benjamini,
hadi daud anakufa na kuingia solomoni,hatuoni israel ikiwa imejipanua zaidi ya ukubwa wa mtaa ama kijiji kimoja,
hadi solomon anakufa na israel inagawanyika bado haikuwa na nguvu kulinganisha na falme kama asyria,egypt,mesopotamia,kushite empire etc.

Hadi utawala wa israel unaanguka na kubaki Yuda ambayo nayo ikaja kuanguka,hakuna signifcant achievement ya hawa watu zaidi ya kujipamba kwenye vitabu
 
jamaa wajanja mno,ila ni rahisi kugundua kama ukitulia na kusoma huku na huku,
mfano wanasema solomoni alikuwa mtawala mwenye nguvu sana na hekima nyingi,
ni story za kutunga tu,solomoni alikuwa ni mtawala mdogo tu asiefahamika eneo hilo na usikute alitawala eneo la ukubwa sawa na kitongoji tu,ndo maana hata katika vitabu vya history hayumo kama wenzake akina alexandra the great,hammurabi au wale watawala wa asyria,
ukifuatilia history kwa makini utagundua kuwa hata baada ya mfalme wa kwanza wa israel kuanza kazi,hapakupata kuwa na stability hapo na uongozi ulikuwa inafikia hatua wafilist ndo wanawatala waisrael,

rejea kisa cha samsoni,utaona kuwa kipindi hicho wafilist ndo walikuwa wanatawala na waisrael wakipigana na wafilist mara kwa mara ili kujikomboa,
hadi saul anakufa,Daud anatawala miaka kadhaa ikapita ndo Daud akauteka mji wa jerusalem,

hata baada ya hapo hakukuwa na stability,
vita vya wao kwa wao,rejea vita vyao na wana wa kabila la benjamini,
hadi daud anakufa na kuingia solomoni,hatuoni israel ikiwa imejipanua zaidi ya ukubwa wa mtaa ama kijiji kimoja,
hadi solomon anakufa na israel inagawanyika bado haikuwa na nguvu kulinganisha na falme kama asyria,egypt,mesopotamia,kushite empire etc.

Hadi utawala wa israel unaanguka na kubaki Yuda ambayo nayo ikaja kuanguka,hakuna signifcant achievement ya hawa watu zaidi ya kujipamba kwenye vitabu
Ukisoma historia vizuri utaona kwamba kuna watu wamejikuza sana kwa stories za uongo.
 
Hii stori imeanza vizuri lakini ilipofika katikati imekorogwa na kuchanganya. All in all tuwalaumu wachungaji wetu ndo waliotufikisha hapa, lakini maandiko yatasimama milele zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizazi kitaanzia wapi wakati kishaambiwa Muisraeli ni taifa teule la Mungu. jerusalem ni mji mtakatifu, Waisraeli wamepata baraka za Mungu na atakayewasema vibaya atalaaniwa?

Na upande mwingine kizazi kinaambiwa kariri Kiarabu, lugha zenu hazifai. Mkisali lazima muangalie Mecca na muende kuhiji huko kama vile Mungu anapatikana huko tu.

Ndiyo maana hata majina siku hizi unakuta mtu anaitwa Josephine Joseph, kama vile hana jina la ukoo.

Tumefukuza mkoloni halafu tunaendeleza ukoloni wa akili.

Lazima vizazi vione fahari ni kuwa muarabu mweusi, mzungu mweusi au muisraeli mweusi.

Monkey see, monkey do.

Ukiuliza mtu historia ya machifu wa kabila lake hata majina hawajui.

Ukiuliza ngoma zenu mnachezaje atakwambia ushenzi.

Wkati hao hao wazungu mnaowafuata washakuja zamani sana kufuata historia za maisha ya Wahadzabe wa Tanzania, na wamewasifia sana kwamba wanaishi maisha yanayo make sense. Jana nilikuwa nasikiliza kipindi BBC World Service kunamsomi mmoja Muingereza alikuja Tanzania miaka ya hamsini akafanya research kwa Wahadzabe akajifunza hunting and gathering, mpaka akajua lugha yao. Mzungu huyo, msomi. Kwao washamaliza kuandika vitabu vyote vya historia zao, mpaka wanakuja kwetu. Sisi historia ya Nyerere tu miaka sitini iliyopita imejaa ukungu hatuijui, lakini tunajua vizazi vyote vya Suleimani na tunaweza kuvitaja bila kusoma!
Mkuu Al-Watan naona unatoa darasa mujarab

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Back
Top Bottom