Wasafi FM wana utoto na ujinga mwingi studio

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Hivi vipindi vyao kila mtu akiwepo studio ana control ya Mixer, yaani ni kelele na vurugu tu studio.

Warekebishe huu.

Mtu kipindi cha michezo yupo MWANAIDI SULEIMAN (Mtangazaji)
Paul Mkai (Mtangazaji)
Kawambwa (Mtangazaji)

Sasa who is the main controller hapo. Kila mmoja wao anaongea tu anaingilia mwenzake tu, mradi fujo tu.

Kwa mfano, muda huu kuna kelele zilikuwa studio. Sijui hawa wanapataje access ya kuingia studio na kufanya vurugu hivi?

Mbona Clouds sijawahi sikia.

HEBU WARUDI CHINI MANAGEMENT WATAFAKARI THEIR BASICS.

WATADHARAULIKA KWA KWELI.
 
Wewe kama unataka uzee Radio one, TBC na RFA huzijui frequency zake nikusaidie?

Sports Arena ya Wasafi Fm ina watangazaji ambao si wachambuzi wasiopungua watano
1. Paul Mkai (anakuwa kiongozi wa vipindi weekend)
2. Ahmed ni kiongozi wa kipindi baada ya Kitenge.
3. Kitenge ndiye boss wa hivyo vipindi vya sports.
4. Kawambwa ametoka UFM na alikuwa anaendesha kipindi cha michezo pale japo ana uwezo mkubwa wa kuchambua pia.
5. Mwanaidi huyu mnyaturu ni mtangazaji pia anafanya alichokuwa anakifanya EFM role yake ni ileile.
6. Mkule Aboubakari huyu naye ni mtangazaji anasaidiana na Mkai.

Unasema hakuna controller wa Vinasa hauko serious wewe, tizama YouTube channel yao uone ni nani anakaa upande wa control na sio unabwata tu.
 
Wajifunze kwa wenzao sports extra ya clauds fm, walivyomakini nakupeana muda kwenye kuzungumza.
Wasafi wanavyafanya unaweza hisi ni kijiwe cha kahawa.
Oya tafuta hela anzisha chako alafu ajiri watangazaji wawili na wachambuzi wawili ili wafanye unavyotaka.

Pale kuna ma-master wa hicho unachokifikiri wanajua hadi wanakera na wameenda shule uje kuwakosoa wewe sijui bwana kilimo huko.
 
Hivi vipindi vyao kila mtu akiwepo studio ana control ya Mixer, yaani ni kelele na vurugu tu studio.

Warekebishe huu.

Mtu kipindi cha michezo yupo MWANAIDI SULEIMAN (Mtangazaji)
Paul Mkai (Mtangazaji)
Kawambwa (Mtangazaji)

Sasa who is the main controller hapo. Kila mmoja wao anaongea tu anaingilia mwenzake tu, mradi fujo tu.

Kwa mfano, muda huu kuna kelele zilikuwa studio. Sijui hawa wanapataje access ya kuingia studio na kufanya vurugu hivi?

Mbona Clouds sijawahi sikia.

HEBU WARUDI CHINI MANAGEMENT WATAFAKARI THEIR BASICS.

WATADHARAULIKA KWA KWELI.
Radio ya wasafi ni ya kipuuzi mno....ni ya kitoto sana na ndiyo maana wengi wanaoisikiliza ni watoto na vijana ambao hawajabalehe.
 
Hii radio imenishinda watangazaji hawapeani nafasi ya kuzungumza hasa kipindi cha kina Baba levo ni makelele tu
 
Wewe kama unataka uzee Radio one, TBC na RFA huzijui frequency zake nikusaidie?

Sports Arena ya Wasafi Fm ina watangazaji ambao si wachambuzi wasiopungua watano
1. Paul Mkai (anakuwa kiongozi wa vipindi weekend)
2. Ahmed ni kiongozi wa kipindi baada ya Kitenge.
3. Kitenge ndiye boss wa hivyo vipindi vya sports.
4. Kawambwa ametoka UFM na alikuwa anaendesha kipindi cha michezo pale japo ana uwezo mkubwa wa kuchambua pia.
5. Mwanaidi huyu mnyaturu ni mtangazaji pia anafanya alichokuwa anakifanya EFM role yake ni ileile.
6. Mkule Aboubakari huyu naye ni mtangazaji anasaidiana na Mkai.

Unasema hakuna controller wa Vinasa hauko serious wewe, tizama YouTube channel yao uone ni nani anakaa upande wa control na sio unabwata tu.
Kitenge unahasira, pale hamna kipindi ni vurugu tu.
 
Back
Top Bottom