Mkuu nashukuru sn kwa kuandika mafungu yote haya ya Hawa ndugu zetu wanapojengea hoja ya kunena kwa lugha!
Wasome upya hapo taratibu na wataelewa!
Wasisingizie Upako, Moto Wa maombi au Roho mtakatifu! Huyo anaewaongoza Ktk hili ni Roho chafu na si Roho Wa Mungu! Kwasababu km Roho Wa Mungu angewaongaza Ktk kweli yote! Kwanini maandiko yako wazi kabisa tena yanasema Kua Hawa si Wagalilaya Mbona wanaongea Kiarabu, Libya etc?! Alafu eti mtu anajitetea kwa kupiga mikelele hovyo milugha isiyoeleweka eti kunena kwa lugha au kajawa na Roho mtakatifu! Mshindwe kwa jina la Yesu na Roho zenu chafu hizo!
Tatizo lao wanasoma mstari mmoja, wanaukariri huo, basi inakuwa vurugu tupu na makelele kibao!