nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,701
- 14,101
mbona hawatoi sadaka za kuteketezwa?Kwa asilimia kubwa wasabato wanafuata Agano la Kale.
mbona hawatoi sadaka za kuteketezwa?Kwa asilimia kubwa wasabato wanafuata Agano la Kale.
Mkuu tayari nimeshamsaidia ni Wakoritho Wa kwanza 14 yote! Lkn Hana cha kujitetea Ktk Hilo!
Samahani ameline, japo umekuwa specific kwa ntuzu but naomba niingilie kati kama hautojali kwa kuuliza swali kwako. Kwani pete inamaana gani wewe unavoelewa?
haya unayo yaongea ungeyapatia na ushahidi wa kibiblia ningekuelwa japo kidogo!Wapendwa,
nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.
Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.
Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.
Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.
Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.
Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.
Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.
Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.
Kwa kwa kwa kwa....Aisee...Ngoja nikae kimya hapa maanaaaa!!!!
Taratibu warembo, tujikite kwenye mjadala tafadhali.....
kanisa pasipo madhabahu ni godown tu.
Sabato ijayo usisite kwenda kanisani kusali sabato ya bwana.
Balikiwa Tido...
Pete asili yake ilikuwa ishara kwa mtu aliyebakwa kabla ya ndoa ama mwanaume aliyeingiliwa kinyume.Ni kama leo unavyoona wanaume wanavaa Hereni tunashangaa lakini usishangae vizazi vijavyo wakawa wanavalishwa kanisani kama ishara ya ndoa.Haya mambo tunayaiga tu ulaya bila kujua asili yake nini!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Wasabato wanawachukia wote ambao sio wasabato, na wanaamini kuwa wakristo wengine hawataweza kwenda mbinguni isipokuwa wasabato.
Mkuu hatuchukii mtu au Imani ya mtu Bali twaeneza ile kweli itupasayo kufanya km wanafunzi Wa Yesu!
Km kuchikiwa ni sisi ndio tunaochukiwa!
Ebu angalia hapa Ktk hii REVELATION 12:17
And the dragon was ENRAGED with the WOMAN, and he went to make war with the rest of her offspring, who keep the commandments of God and have the Testmony of Jesus Christ.
Hapo mwanamke Maana yake ni Kanisa na bila Shaka sheria tunazosimamia zimetajwa hapo!
Kwahiyo km kutuchukia au kutukasirikia ni nyinyi wala sio sisi!
mbona hawatoi sadaka za kuteketezwa?
Asante Mkuu Ntuzu, unajuwa hawa watu huwa napenda akitoe yeye hicho kitu halafu unampa ufafanuzi palepale, wengi wao hawasomi maandiko hivyo huwa wanasubiri kusomewa na viongozi wao halafu wao wanaitikia Aminaaaaaaa!
ukihudhuria mikutano ya wasabato kama una hasira unaweza kupigana na anaehubir maana mahubiri hayawez kuisha bila kutukana madhehebu yanayosali tofauti na jmoc hapo ndipo wananikera ila ninachowapendea wanafundisha afya.
Siku ya pentekoste wafuasi wa yesu walijazwa roho mtakatifu wasioamini wakasema hivyohivyo kuwa bisha shaka wamelewa .wasabato hawaini ktk kunena kwalugha