Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Biblia inasema.ktk wagalatia 5;16 mkiongozwa na roho humko chini ya sheria..........hawa wa7to hawaongozwi na Roho na ni lazima wamkatae Roho mtakatifu kwani wao wanaangalia sheria tu.Naungana na Padri kuwa hawa siyo wakristo.Ni waganga wa kienyeji tu.

Hiyo hiyo Biblia inasema hivi hivi kuhusu amri. Amri zinatumika mfano wa kioo, kwa zenyewe hata zijapoona udhaifu katika uso wa anayejitazama kwa hizo, hawezi kujisafisha. kwa hiyo sheria zinaonyesha kosa, lakini hazina uwezo wa kuondoa kosa. Na anaposema mkiongozwa na roho hampo tena chini ya sheria anamaanisha kwamba, Roho hutoa nguvu ya kushika sheria na hivyo hauwezi ukawa mhukumiwa na hizo sheria maana unazifuata kama inavyoelekezwa.
 
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.

Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.


rosemaria acha kupanic relaax, HAya mambo yanamwenyewe anaitwa Yesu. Unawazo zuri lakini mawazo yako yanaonekana umechukia na unahasira na hawa watu. Hata wakristo wa zamani walipishana ila walibishana kwa hoja hadi wakaelewana.

nimeipenda signature yako lakini
 
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.

Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.

Kwan roho mtakatifu ndio nani haswa?
 
Niko kazini sina Biblia hapa karibu ila kama wewe ni msomaji wa Biblia jaribu kuangalia 1 corinth

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hapana, Naona Mungu amekubariki una simu nzuri tu na unaingia kwenye mtandao, kwa nini usiangalie tu hapo ukairusha hewani ili tuifanyie kazi mpendwa? Angalia comments zangu zinaenda na ushahidi wa kile ninachokisema mimi!
 
Dada Rose soma vizuri biblia vizuri Mitume walinena kwa lugha zinazoeleweka pia mwöngozo wa kunena kwa lugha dada
 
Jamani wapendwa wote mnaosoma Uzi huu!

Ebu tuangalie kitabu cha Acts 2:1-13 Maana hapo Roho mtakatifu ndipo alipowashukia wale 12 na kuwafanya waongee lugha ambazo si zao za asili tena bible iko wazi kabisa kwamba waliweza kuongea Kilibya, Kimisri, Kiarabu na lugha zingine nyingi tu! Kitu ambacho Walokole mnalichukua hili Andiko vibaya Na Ktk dua zeno mnapiga makelele tu ya malugha ambayo hayajulikani! Na wakati kunena kwa Lugha Ktk Hiyo acts 2:1-13 ni mtu kuongea kwa lugha ingine ili habari njema isikike!

Ni sawa na Mimi ngosha kuhubiri kwa English ambayo sio lugha Yangu ya asili!

Kwa Hilo ndugu zangu Walokole mmepotea! Na mnamsingizia Roho mtakatifu Ktk uovu! Kumbuka dhambi ya kumkufuru Roho ni dhambi--------

Labda lugha ambazo huwa wananena ni za asili...!! Niliwahi hudhuria kanisa moja la kilolkole na mnenaji mmoja alikuwa anaongea lugha ya kwetu kiufasaha kabisa.
 
Wasabato si ndo wale wanaotaka kwenda marejani kuhubiri bila visa,pasport tena bila nauli.?

Kanisa la kweli ni katoliki tu,mengine makelele tu.
La kweli katika mtizamo upi? kama ni katika Biblia nakupinga, ila kwa mafundisho yanayopingana na bible hapo sawa. Kwa hiyo bila chenga nasema kanisa la katoliki ni la kweli katika kufundisha uongo.
 
Niko kazini sina Biblia hapa karibu ila kama wewe ni msomaji wa Biblia jaribu kuangalia 1 corinth

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums



Nikusaidie Mkuu

Ni 1 corinthians 14:1-40 Lkn Bado inasisitiza kufasiriwa kwa lugha hasa ule Mstari Wa 26,27,28. Ili Watu wengine waelewe! Na hapa kinachozungumziwa ni lugha mbalimbali Ktk ufundishaji au upelekaji Wa habari njema!
 
Tedo
Naona sasa umeshaelewa kwann huwa mnakasirika mtu akiwaambia tu iliyo kweli ya biblia ndo mnaanza kusema ooooooh!!kila mtu afanye yaliyo yake na afate imani yake na je yule anayeamini miti au mawe yampaswa afundishwe kweli iliyopo ya biblia ili asipotee kwa kile anachoamini na jambo la msingi hapa si tutaendelea kuwaambia ukweli uliopo wa neno la mungu
Balikiwa tido nina imani utafuata imani iliyo bora na sio bora imani.....

Kwa kwa kwa kwa....Aisee...Ngoja nikae kimya hapa maanaaaa!!!!
 
Kwan roho mtakatifu ndio nani haswa?

Roho mtakatifu ni nafsi ya tatu katika uungu(sorry maana wewe huamini katika trinity). Ni mmoja katika kutenda na Mungu baba pamoja na Mungu mwana. Yesu akikaribia kumaliza safari yake hapa duniani aliacha ahadi kwamba Nitamwomba Baba naye atawapa msaidizi(huyo roho mtakatifu), atauaminisha ulimwengu katika habari ya DHAMBI, HAKI na HUKUMU. Swali zaidi kama lipo.
 
Hapana, Naona Mungu amekubariki una simu nzuri tu na unaingia kwenye mtandao, kwa nini usiangalie tu hapo ukairusha hewani ili tuifanyie kazi mpendwa? Angalia comments zangu zinaenda na ushahidi wa kile ninachokisema mimi!



Mkuu tayari nimeshamsaidia ni Wakoritho Wa kwanza 14 yote! Lkn Hana cha kujitetea Ktk Hilo!
 
Ni rahisi sana kama mtu ameamua kumuelewa.



Nimehisi Mkuu watu8 labda ako na hoja nzuri! Nimemuomba aje atuambie huo ugumu uko wapi? Wakati Yesu anasema Sheria zake si nzito?!!!

Mkuu Ebu Rudi tuone hoja yako tujifunze wote!
 
Last edited by a moderator:
Mimi niliwahi sema, wasabato wanawachukia wakatoliki kuliko hata shetani mwenyewe. Kumbe wanawachukia na walokole pia.
Wasabato wanawachukia wote ambao sio wasabato, na wanaamini kuwa wakristo wengine hawataweza kwenda mbinguni isipokuwa wasabato.
 
Labda lugha ambazo huwa wananena ni za asili...!! Niliwahi hudhuria kanisa moja la kilolkole na mnenaji mmoja alikuwa anaongea lugha ya kwetu kiufasaha kabisa.



Je Ktk maombi hakuna mazogo km Watu waliopagawa?
 
La kweli katika mtizamo upi? kama ni katika Biblia nakupinga, ila kwa mafundisho yanayopingana na bible hapo sawa. Kwa hiyo bila chenga nasema kanisa la katoliki ni la kweli katika kufundisha uongo.

Leo siko katika moody....

xxxxxx Mangwarung'waru xxxxxxxx
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom