Kuna namna mbili za kunena kwa lugha.Ya kwanza ni ile inayotajwa kitabu cha matendo na ya pili ni ile anayoongea Paulo katika wakorintho.Hii ya kwanza mtu anaongea lugha za wanadamu kama mlivyokwishaeleza hapo kabla,na ya pili ni kuongea lugha za malaika.Hoja inakuwa sasa Je ni muhimu kuomba kwa lugha ya malaika ambayo hata akili yako haipati matunda?Mimi naweza kujibu swali hilo kwa swali jingine,Je mtu aliapo kwa sababu yoyote ile anapata faida gani iwapo kwa sauti ya kilio akili yake haipati matunda?Bila shaka wanaofanya mambo hayo,kila mtu anajua matunda yake,kama mtu anapata wepesi ama uzito ni juu yake afanyaye!Ni nani wewe unayemhukumu mwingine kwa kile kitu alichoona yeye mwenyewe mbele ya Mungu wake kuwa kukifanya ni sawa?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kuna namna mbili za kunena kwa lugha.Ya kwanza ni ile inayotajwa kitabu cha matendo na ya pili ni ile anayoongea Paulo katika wakorintho.Hii ya kwanza mtu anaongea lugha za wanadamu kama mlivyokwishaeleza hapo kabla,na ya pili ni kuongea lugha za malaika.Hoja inakuwa sasa Je ni muhimu kuomba kwa lugha ya malaika ambayo hata akili yako haipati matunda?Mimi naweza kujibu swali hilo kwa swali jingine,Je mtu aliapo kwa sababu yoyote ile anapata faida gani iwapo kwa sauti ya kilio akili yake haipati matunda?Bila shaka wanaofanya mambo hayo,kila mtu anajua matunda yake,kama mtu anapata wepesi ama uzito ni juu yake afanyaye!Ni nani wewe unayemhukumu mwingine kwa kile kitu alichoona yeye mwenyewe mbele ya Mungu wake kuwa kukifanya ni sawa?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ukweli ni juu yako wewe na unachokiamini..Kweli kwako inaweza isiwe kweli kwangu....
Sasa kama nyie mnafanya mambo yenu kama Wasabato, mambo ya Wakatoliki na Walokole yanawawashia nini..???? Kaa kimya fanya yanayowahusu....
Ahsante kwa mwitiko wako..
Jumapili nilikua kanisani pale SDA kijenge Arusha kwenye Harusi ya rafiki yangu lakini sikua najua kama wasabato huwa hawavai pete..nisaidie kwanini ndugu swali hili linanoumiza akili kila nnaemuuliza anachekacheka tu na kuniambia karibu kanisani utajua...
Ukweli ni juu yako wewe na unachokiamini..Kweli kwako inaweza isiwe kweli kwangu....
Sasa kama nyie mnafanya mambo yenu kama Wasabato, mambo ya Wakatoliki na Walokole yanawawashia nini..???? Kaa kimya fanya yanayowahusu....
Mkuu nimeiona hii, duh! halafu eti akitoka hapo mwanamke ambaye hajazaa miaka 10 anapata mtoto........ mmmmmmh!!!! watazaa nyoka shauri zao!!!!!!!!!!!!
Ahsante kwa mwitiko wako..
Jumapili nilikua kanisani pale SDA kijenge Arusha kwenye Harusi ya rafiki yangu lakini sikua najua kama wasabato huwa hawavai pete..nisaidie kwanini ndugu swali hili linanoumiza akili kila nnaemuuliza anachekacheka tu na kuniambia karibu kanisani utajua...
Rafiki hebu lete hilo fungu la Wakorinto linalokufundisha hivo. Si vema kudanganyia neno la Mungu!
Rafiki hebu lete hilo fungu la Wakorinto linalokufundisha hivo. Si vema kudanganyia neno la Mungu!
sizani kwamba hapa atapatikana mshindi ni bora kila mtu akaheshimu imani ya mwenzake
Dada rosemarie maandiko yanaseema hivi Mwapotea njia kwa kutokujua maandiko na uwezo wa Mungu. Hebu nikuulize hivi, unaijua historia ya unenaji wa lugha unayoiita kujazwa na roho mtakatifu ilianza lini, wapi na kwa nini mnaponena kwa lugha mnanena maneno yasiyoeleka kwa wengine?. Hebu tuanzie hapo kwanza maana naona Mungu anataka kukuonyesha jambo la maana sana katika kumfuata kwako.
vipofu mnaongozana!
Wapendwa,
nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.
Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.
Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.
Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.
Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.
Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.
Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.
Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.
Unaweza kunipa andiko hilo linatoka kitabu gani?
Biblia inasema.ktk wagalatia 5;16 mkiongozwa na roho humko chini ya sheria..........hawa wa7to hawaongozwi na Roho na ni lazima wamkatae Roho mtakatifu kwani wao wanaangalia sheria tu.Naungana na Padri kuwa hawa siyo wakristo.Ni waganga wa kienyeji tu.
Wasabato si ndo wale wanaotaka kwenda marejani kuhubiri bila visa,pasport tena bila nauli.?
Kanisa la kweli ni katoliki tu,mengine makelele tu.