Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Kwani yawezekana kwa kupitia mafundisho yake ndipo walipojifunza tabia zao za ajabu ajabu, badala ya kufuata mafundisho ya Yesu Kristo Aliyeleta Agano Jipya katika ulimwengu.

Ni watu ninaowadharau sana..
 
Mkuu Mstari Wa 21,22,23 Yesu ameeleza mambo au Matendo ya mtiao mtu unajisi! Mbona hapo iko wazi kabisa?

Ka ni kile kimtokacho ndio chaweza kumtia unajisi Mbona Ktk Matendo yamtiayo mtu unajisi hakutaja Mavi?

Bila Shaka kusudio la Yesu hapo lilikua ni usafi Wa moyoni si Wa nje ya mwili!

Waambie hao wataalam wa kuosha vikombe kwa nje,na kuacha ndani.
Tatizo lao ni moja tu,Wanafiki!
 
Mkuu Ntuzu nia kuu ilikuwa ni kuonyesha si makosa kupumzika siku ya kwanza ya juma,kuwa hata mitume waliabudu siku ya kwanza ya juma. Unaponiambia agano jipya linamuhusu Yesu sikuelewi,kwani alikuja kwa ajili ya nani? Hebu msikie Paulo 2 wakorinto 3:6- "naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya,si wa andiko, bali wa roho kwa maana andiko huua,bali roho huhuisha"endelea kusoma hadi mstari wa 15-17"ila hata leo torati ya Musa isomwapo utaji huikalia mioyo yao. Lakini wakati wowote watakapomgeukia bwana ule utaji huondolewa. Basi bwana ndiye roho, walakini alipo roho wa bwana hapo ndipo kwenye uhuru". Kwa hiyo andiko(torati) huua, bali roho agano jipya huhuisha. Ni uchaguzi tu, wasabato mmeamua kuwa wahudumu wa andiko,nasi wa agano jipya ambalo kwa imani limetuwena huru. Soma 1 wakorinto 10:25-31 halafu Luka 10-8 "na mji wowote mtakaoingia makiwakaribisha vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu. Kwa vifungu hivi tumeruhusiwa kula kila tukikutacho sokoni kinauzwa tutachokaribishwa,poleni sisi tuko
 
Wasabato ni waislam zaidi kuliko wakristu. Watu wa kufuata sheria sana hata kama haziingii akilini eg usile, usinywe, usi..."FAITH and REASON" avoid fundamentalism
 
Hiyo ndio pasaka Mkuu! Ata Wana Wa Israel kule Misri kabla ya safari walifanya hivyo'

Kifo cha Yesu ni kafara haitupasi kufanya sherehe Ktk kifo cha Yesu Zaidi ya kuomba Na kutubu dhambi km walivyokua wakifanya hapo zamani Ktk hema Patakatifu hapa duniani' lilikua hakuna sherehe Zaidi ya kuomba toba!

we nani kakwambia ni kafara vitu vingne sio lazima tuandike uko ulikofika ndugu baki na unachoamini sio kukashifu wengne wanachaoamini
 
Niseme tu kwamba siwezi kubishana na msabato kwa sababu yeye yuko tayari kufanya urafiki hata na muislamu ili kumpinga mkristo wa dhehebu tofauti na sabato. Tunapotoshwa kwa sababu tunasubiri watu watusomee na kututafsria biblia, wakati sisi wenyewe uwezo huo tunao! Kimsingi na kibiblia Yesu ametuagiza kwamba, tunapaswa kumwomba bila kukoma, kwa maneno mengine, kila siku unapaswa kuwa na muda wa kusogeza mahitaji yako kwa Mungu. Yani ya Kiroho na Kimwili.

hyo unasema kweli mwamba ngozi huvutia kwake wao wanajiona bora na wanacho abudu ni sahihi hapo watabishana mpaka wachoke kwa Mungu wote ni sawa na vitu ving ni kwa neema tu sasa kupondea wengne wanachoamini si sahihi mtu yoyote anaweza kusoma bible kwa msada wa roho mtakatifu na hakaelewa sasa ku ng'ang'ania wao ndo bora kwa kigezo gani naona hamna ya kubishana na watu wasio amini roho mtakatifu na kunena kwa lugha na kama ingekuwa mbinguni wanaendaga kwa kusali jumamosi jumapili ijumaa basi wote wangeenda kubishana mambo ya dini na kujiona bora ni useles inahtaji Roho wa Mungu pekee yako
 
Wenyewe kwa wenyewe leo tunakashifiana kuhusu imani? Unataka kuufanya ukristu kama dini isiyo na msingi na muongozo....aibu!
 
Mkuu Ntuzu nia kuu ilikuwa ni kuonyesha si makosa kupumzika siku ya kwanza ya juma,kuwa hata mitume waliabudu siku ya kwanza ya juma. Unaponiambia agano jipya linamuhusu Yesu sikuelewi,kwani alikuja kwa ajili ya nani? Hebu msikie Paulo 2 wakorinto 3:6- "naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya,si wa andiko, bali wa roho kwa maana andiko huua,bali roho huhuisha"endelea kusoma hadi mstari wa 15-17"ila hata leo torati ya Musa isomwapo utaji huikalia mioyo yao. Lakini wakati wowote watakapomgeukia bwana ule utaji huondolewa. Basi bwana ndiye roho, walakini alipo roho wa bwana hapo ndipo kwenye uhuru". Kwa hiyo andiko(torati) huua, bali roho agano jipya huhuisha. Ni uchaguzi tu, wasabato mmeamua kuwa wahudumu wa andiko,nasi wa agano jipya ambalo kwa imani limetuwena huru. Soma 1 wakorinto 10:25-31 halafu Luka 10-8 "na mji wowote mtakaoingia makiwakaribisha vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu. Kwa vifungu hivi tumeruhusiwa kula kila tukikutacho sokoni kinauzwa tutachokaribishwa,poleni sisi tuko


Mkuu Ktk Yale mafungu uliyonionesha! Yanaelezea Kua tukio Hilo lilifanyika Siku ya kwanza ya Juma! Na si km ni fundisho la kupumzika Siku ya kwanza ya Juma!

Kumbuka Mungu si kigeugeu kwamba aitakase Siku ya 7 Na kupumzika then aje abadilike hapo baadae!


Na pia Ktk ile Jerimiah uliyonipa, pale kinachozungumziwa ni ukombozi Wa Yesu kwa Watu wote Ktk Hilo agano linalosemwa hapo! Na si km la kuwamboa Wana Wa Israel! Ndio Maana nikasema Hilo swala lilikua linamuhusu Yesu! Ebu isome tena Hiyo Jerimiah!
 
Ninafurahi sn kuona Rafiki Yangu tedo unafatilia kwa ukaribu hizi hoja na ni jinsi gani unapata kujifunza ile Kweli!

Tangu mada imeanza mpk Leo mi nipo na wala sijakimbia! Na Hiyo ni uongo wako tu mkuu!

Waliokimbia ni hao walioshindwa kutetea kunenea kwa Lugha na kutuacha sisi tunajadili mambo mengine yanayojitokeza!

Nashukuru sn kwa uwepo wako Pamoja na busara unazoonesha sasa!

Pamoja Mkuu!

Mbona hoja zangu hamjibu? Hatujakimbia tupo tunawasikitikia na kuwaombea angalau mumjue Yesu.
"Ndugu zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu,ni kwa ajili yao ili WAOKOLEWE. Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika MAARIFA." (Warumi 10:1-2).
Habari za neema ya KRISTO haziwezi kufahamika bila huyo Roho mtakatifu mnayemkataa.
NAKUPENDA ROHO MTAKATIFU.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nashukuru sn kwa Kua unafatilia Vzr huu mjadala na hoja mbalimbali!

Nimejibu kitu kimoja kwasababu kuna Watu km wawili waliuliza swali juu ya Hiyo dhana!

Kwanza Mkuu Ktk Hilo la "Si kimuingiacho mtu chaweza kumtia unajisi Bali kile kimtokacho" limeeleweka? Ata Wewe umelielewa?

Ok kuhusu kusuka nywele au wanawake kufunika kichwa nitakujibu jioni Vzr Kupitia maandiko Ktk kitabu cha Wakoritho niko mbali na bible Alafu kuna kz Kidogo nafanya!

Na coke pia Pamoja na majani ya chai nitakujibu Vzr tu!

Lkn km ndugu Basluma Original na Blueband wakiwahi wanaweza kunisaidia kutolea majibu!

Asante

Nashukuru Ntuzu hiyo ya unajisi wa vyakula una thread yake na nilishaisoma na kuchangia.

Nasubiri tu majibu ya kuhusu mavazi ya mwanamke kufunika nywele, kupaka rangi kucha n.k

Pamoja na hii ya vinywaji kama cocacola na chai ya rangi. Ahsante
 
Last edited by a moderator:
hyo unasema kweli mwamba ngozi huvutia kwake wao wanajiona bora na wanacho abudu ni sahihi hapo watabishana mpaka wachoke kwa Mungu wote ni sawa na vitu ving ni kwa neema tu sasa kupondea wengne wanachoamini si sahihi mtu yoyote anaweza kusoma bible kwa msada wa roho mtakatifu na hakaelewa sasa ku ng'ang'ania wao ndo bora kwa kigezo gani naona hamna ya kubishana na watu wasio amini roho mtakatifu na kunena kwa lugha na kama ingekuwa mbinguni wanaendaga kwa kusali jumamosi jumapili ijumaa basi wote wangeenda kubishana mambo ya dini na kujiona bora ni useles inahtaji Roho wa Mungu pekee yako
Hahahahahahaha, unachekesha sana unaposema hatuna roho mtakatifu eti kisa hatuneni kwa lugha. Au wewe ndie mtoa roho mtakatifu kwa wanadamu wengine? Na ndio maana unasema sisi wasabato hatuna roho myakatifu. Sikia sasa Paulo anaongea nini kuhusu muonekano wa mtu aliyejazwa roho mtakatifu.
Wagalatia 5:22,23 Lakini tunda la roho ni upendo, furaha, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo hayo hakuna sheria. Mtu aliyejazwa roho mtakatifu anajulikana kwa kutoa hayo matunda na si kwa kuropoka ropoka maneno yasiyo maana. Ndio maana Yesu alitutahadharisha kwa kusema hivi Mathayo 7:20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. Je roho wenu wa kusababisha mmuropokee Mungu wakati wa kuomba, anasababisha muwe na hayo matunda ya roho?.
 
Mbona hoja zangu hamjibu? Hatujakimbia tupo tunawasikitikia na kuwaombea angalau mumjue Yesu.
"Ndugu zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu,ni kwa ajili yao ili WAOKOLEWE. Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika MAARIFA." (Warumi 10:1-2).
Habari za neema ya KRISTO haziwezi kufahamika bila huyo Roho mtakatifu mnayemkataa.
NAKUPENDA ROHO MTAKATIFU.

Duuuh naona hapo red unajifariji, wa sda wamkatae roho mtakatifu????!????!!!!, pole sana. Kwa taarifa yako roho mtakatifu tunamfahamu sana, ndio maana katika mafundisho ya msingi ya imani, msingi unaoongelea roho mtakatifu ni msingi wa tano, na unasema hivi
God the eternal Spirit was active with the Father and the Son in Creation, incarnation, and redemption.

He inspired the writers of Scripture.

He filled Christ's life with power.

He draws and convicts human beings; and those who respond He renews and transforms into the image of God.

Sent by the Father and the Son to be always with His children, He extends spiritual gifts to the church, empowers it to bear witness to Christ, and in harmony with the Scriptures leads it into all truth
.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom