ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,370
- 3,006
Tumepishana majukumu mkuu,nashukuru kwa majibu ila naamini bible ni moja mathew hakutia mkazo ila Marko katia mkazo naamini uhalali wa injili ya Marko ni sawa na Mathayo na hao wengine,utakaso wa vyakula VYOTE unaweza jibu makwanzo katika chakula,pia naomba upitie na Warumi14:2-3,ntaendelea kutoa vifungu ikibidi..Rafiki Yangu ZionGate Nashukuru kwa Kua umerudi! Lkn tunapishana Mkuu! We unaingia mi natoka!
Anyway! Haraka haraka Ktk hizo kauli za Yesu hakuna utakaso wowote! Ebu soma Vzr Hiyo Mathayo 15:1-20 utaona Hilo fundisho Vzr kabisa! Na Hiyo kauli ya Yesu kwamba chochote hakumaanisha katakasa au tunakula vilivyo najisi!
Ngoja nitasoma Hiyo mwanzo then ntakupa majibu Vzr!
Ukipata nafasi naomba unijibu nini maana ya mvinyo au divai?
Last edited by a moderator: