Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Welcome To Watch online Sports between Sevilla vs FC Porto Live Streaming 2014 Champions League - Quarter-finals Football on PC now,
Just click our HD TV Link and Enjoy Sevilla vs FC Porto live streaming 2014
Game Online on your PC​
Sevilla vs FC Porto Live streaming online 2014 Champions League - Quarter-finals Football Game Today.
Match Schedule :
Sevilla vs FC Porto live
Series : Champions League - Quarter-finals Football
Date : April- 10, 2014
Kick-Off : From 01:05 pm ET
Don’t miss Sevilla vs FC Porto live
Watch Champions League - Quarter-finals Football Live Streaming Online TV 2014 Champions League - Quarter-finals Football match.This Match will be coverage Sevilla vs FC Porto live streaming online HD TV on PC​
So stay close, get crystal clear video and smooth clear tune this match will be very enjoyable the best online sports coverage on the satellite directly TV on your PC or Laptop.​
TV Coverage : Live/Recaps​
Watch all the games, highlights and interviews live on your Laptop or PC! The Online TV Player is ideal for the frequent traveler in long airport waits and train rides. Get instant access to the widest sports coverage on the net directly on your Laptop from any location. No Extra hardware required. Easy to use and anytime anywhere access. Better and cheapest then your cable TV.Watch Over 4500 thousand HD TV on your PC
 
Mkuu Ktk Yale mafungu uliyonionesha! Yanaelezea Kua tukio Hilo lilifanyika Siku ya kwanza ya Juma! Na si km ni fundisho la kupumzika Siku ya kwanza ya Juma!

Kumbuka Mungu si kigeugeu kwamba aitakase Siku ya 7 Na kupumzika then aje abadilike hapo baadae!


Na pia Ktk ile Jerimiah uliyonipa, pale kinachozungumziwa ni ukombozi Wa Yesu kwa Watu wote Ktk Hilo agano linalosemwa hapo! Na si km la kuwamboa Wana Wa Israel! Ndio Maana nikasema Hilo swala lilikua linamuhusu Yesu! Ebu isome tena Hiyo Jerimiah!
Ingawa nimekupa hoja ya 2 wakorinto 3:6,kuhusu agano jipya,1wakorinto 10:25 na Luka 10:8 kuhusu kula umepotezea. Haya soma wagalatia 3:10-14. Kwa hy wasabato mmechagua matendo ya sheria kwa hy mko chini ya laana kwa maana imeandikwa amelaaniwa kila mtu asiyedumu ktk kitabu cha torati ayafanye,sisi tumepata neema kwa imani,nyinyi mnatafuta haki kwa sheria,je Yesu hakufanya kazi siku ya sabato? Hakuponya? Kama alifanya kazi siku ya sabato kwa nn msifuate nanyi?
 
Ingawa nimekupa hoja ya 2 wakorinto 3:6,kuhusu agano jipya,1wakorinto 10:25 na Luka 10:8 kuhusu kula umepotezea. Haya soma wagalatia 3:10-14. Kwa hy wasabato mmechagua matendo ya sheria kwa hy mko chini ya laana kwa maana imeandikwa amelaaniwa kila mtu asiyedumu ktk kitabu cha torati ayafanye,sisi tumepata neema kwa imani,nyinyi mnatafuta haki kwa sheria,je Yesu hakufanya kazi siku ya sabato? Hakuponya? Kama alifanya kazi siku ya sabato kwa nn msifuate nanyi?

Hahahahaaa umenifurahisha hapo penye red, eti tumechagua kuokolewa kwa sheria. Hivi unaelewa lakini kuhusu tofauti kati ya sheria na amri maana inawezekana umekurupuka tu. Hapo penye blue umeonyesha mweupe katika mafundisho ya wasabato. Siku moja mtu mmoja katika baraza ya senihedrini akawaambia wenzake hivi sheria yetu haihukumu mtu pasipo kumsikiliza. Je, ulishawahi kusikia wasabato wakielezea ni vipi wanaamini mchango wa sheria katika kuuchuchumilia wokovu? je wanadai kwamba kupitia sheria mtu anahesabiwa haki?, hahahahahaa ndo shida ya kuwasikiliza wachungaji wenu wakiwa wanapondea usabato(tena kwa njaa zao wakiamini siku mkisikiliza mafundisho ya kweli yanayofundiswa na wasabato hamtabaki kwao).
 
Apple56 hujielewi bali shaka, hivi ulichopesti hapa kinaendana na maada? kwa nini usipeleke kupeati kwenye nyuzi mfano za chelsea, arsenal, man u n.k.
 
Last edited by a moderator:
Yesu alimwambia Petro kuwa ni mwamba,na juu yake atalijenga kanisa lake ambalo hata milango ya kuzimu haitoliweza. Alikuwa myahudi kwann asiwaambie wakasali kwenye sinagogi? Maana kuna hoja ya wasabato kuwa wanafuata matendo ya Yesu yeye alisali kwenye sinagogi na masinagogi yapo leo mbona hamuingii? Utimilifu wa imani ya ukristu ulikamilika siku ya pasaka alipofufuka kutoka wafu! Ila ukidumu katika torati ni" kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria wako chini ya laana;maana imeandikwa Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati ayafanye"2 kor 3:10 ukisoma 2 kor 3:13 kristo alitukomboa ktk laana ya torati kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu,maana imeandikwa Amelaaniwa kila atundikwae juu ya mti. Shetani hapendi tukombolewe kutoka utumwa wa dhambi,kwa hiyo hapendi tutoke kwenye laana ya torati,ndiyo maana twaruhusiwa kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni bila kuuliza kwa ajili ya dhamiri.
 
Yesu alimwambia Petro kuwa ni mwamba,na juu yake atalijenga kanisa lake ambalo hata milango ya kuzimu haitoliweza. Alikuwa myahudi kwann asiwaambie wakasali kwenye sinagogi? Maana kuna hoja ya wasabato kuwa wanafuata matendo ya Yesu yeye alisali kwenye sinagogi na masinagogi yapo leo mbona hamuingii? Utimilifu wa imani ya ukristu ulikamilika siku ya pasaka alipofufuka kutoka wafu! Ila ukidumu katika torati ni" kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria wako chini ya laana;maana imeandikwa Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati ayafanye"2 kor 3:10 ukisoma 2 kor 3:13 kristo alitukomboa ktk laana ya torati kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu,maana imeandikwa Amelaaniwa kila atundikwae juu ya mti. Shetani hapendi tukombolewe kutoka utumwa wa dhambi,kwa hiyo hapendi tutoke kwenye laana ya torati,ndiyo maana twaruhusiwa kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni bila kuuliza kwa ajili ya dhamiri.

Mkuu unapoteza muda wako na mfarisayo.....Unadhani atakuelewa huyo....
 
Mkuu unapoteza muda wako na mfarisayo.....Unadhani atakuelewa huyo....
Hapo blue hahahahahaaa, vipi mwenzetu ni msadukayo, mjesuit, mpapa au mnani?(but just kidding).
 
Mkuu Nashukuru sn kwa Kua unafatilia Vzr huu mjadala na hoja mbalimbali!

Nimejibu kitu kimoja kwasababu kuna Watu km wawili waliuliza swali juu ya Hiyo dhana!

Kwanza Mkuu Ktk Hilo la "Si kimuingiacho mtu chaweza kumtia unajisi Bali kile kimtokacho" limeeleweka? Ata Wewe umelielewa?

Ok kuhusu kusuka nywele au wanawake kufunika kichwa nitakujibu jioni Vzr Kupitia maandiko Ktk kitabu cha Wakoritho niko mbali na bible Alafu kuna kz Kidogo nafanya!

Na coke pia Pamoja na majani ya chai nitakujibu Vzr tu!

Lkn km ndugu Basluma Original na Blueband wakiwahi wanaweza kunisaidia kutolea majibu!

Asante

Naaaam! Wapendwa naona mnaendelea kubarikiwa kwa kazi njema inayoendelea humu. Nami nimeingia humu baada ya kutumika kwa Kaisari sasa nimefika ili tutumike pamoja. Mungu atuongoze katika jambo hili linaloendelea..... Amina!
 
Yesu alimwambia Petro kuwa ni mwamba,na juu yake atalijenga kanisa lake ambalo hata milango ya kuzimu haitoliweza. Alikuwa myahudi kwann asiwaambie wakasali kwenye sinagogi? Maana kuna hoja ya wasabato kuwa wanafuata matendo ya Yesu yeye alisali kwenye sinagogi na masinagogi yapo leo mbona hamuingii? Utimilifu wa imani ya ukristu ulikamilika siku ya pasaka alipofufuka kutoka wafu! Ila ukidumu katika torati ni" kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria wako chini ya laana;maana imeandikwa Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati ayafanye"2 kor 3:10 ukisoma 2 kor 3:13 kristo alitukomboa ktk laana ya torati kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu,maana imeandikwa Amelaaniwa kila atundikwae juu ya mti. Shetani hapendi tukombolewe kutoka utumwa wa dhambi,kwa hiyo hapendi tutoke kwenye laana ya torati,ndiyo maana twaruhusiwa kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni bila kuuliza kwa ajili ya dhamiri.

Cencer09, mbona hiki ulichopost katika nukuu zako ni tofauti na nukuu zilizo katika biblia? wewe unatumia biblia gani? mkuu ntuzu,Basluma Original na wengineo tuwe makini sana katika kutumia maandiko, maana hawa jamaa sasa naona wanaanza kubandika vitu tofauti!Nukuu za wakorinto aliyoitaja hapo juu katika biblia niliyonayo zinasomeka kama hivi:

[SUP]10 [/SUP] Maana hata ile iliyotukuzwa haikuwa na utukufu hivi, kwa sababu ya utukufu uzidio sana [SUP]13 [/SUP] nasi si kama Musa alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile iliyokuwa ikibatilika;

Kama mimi ndo sijakuelewa hebu fafanua uhusiano unaojaribu kuueleza hapa
 
Hahahahahahaha, unachekesha sana unaposema hatuna roho mtakatifu eti kisa hatuneni kwa lugha. Au wewe ndie mtoa roho mtakatifu kwa wanadamu wengine? Na ndio maana unasema sisi wasabato hatuna roho myakatifu. Sikia sasa Paulo anaongea nini kuhusu muonekano wa mtu aliyejazwa roho mtakatifu.
Wagalatia 5:22,23 Lakini tunda la roho ni upendo, furaha, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo hayo hakuna sheria. Mtu aliyejazwa roho mtakatifu anajulikana kwa kutoa hayo matunda na si kwa kuropoka ropoka maneno yasiyo maana. Ndio maana Yesu alitutahadharisha kwa kusema hivi Mathayo 7:20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. Je roho wenu wa kusababisha mmuropokee Mungu wakati wa kuomba, anasababisha muwe na hayo matunda ya roho?.

cjaja kuchekesha hapa mana kwenye station yenu mnasema walokole wanapga kelele na kunena kwa lugha ni mapepo wachafu ndo mana nyie hamna tofaut na muslim haiwezekani wewe ni mtu unayetumia bible useme wengne wanasali kiunafiki kwa ku quote baadhi ya vifungu halafu umejuaje kuwa tunaropoka wewe nashanga ni Mungu gani aliyekupa mamlaka ya ku judge madhehebu mengne eti tunaropoka na wewe una hakika gani kuwa huwa uko sahihi usalipo halafu ndo kazi ya masabato salia mngekuwa mnafata upendo na tunda la roho mtakatifu mungekashifu wengne mana hapo si upendo wa kweli kukashifu wengne au huyo ndo mungu wenu anavowatuma halafu usipo tumia akili eti mimi niwe mtoa roho mtakatifu something which is imposible Yesu ndo mwenye mamlaka mana alituachia msaidizi
 
Naaaam! Wapendwa naona mnaendelea kubarikiwa kwa kazi njema inayoendelea humu. Nami nimeingia humu baada ya kutumika kwa Kaisari sasa nimefika ili tutumike pamoja. Mungu atuongoze katika jambo hili linaloendelea..... Amina!

Karibu sana mkuu, tupo tukiendelea kufafanua kwa ajili ya wokovu wa kila mwanadamu.
 
Yesu alimwambia Petro kuwa ni mwamba,na juu yake atalijenga kanisa lake ambalo hata milango ya kuzimu haitoliweza. Alikuwa myahudi kwann asiwaambie wakasali kwenye sinagogi? Maana kuna hoja ya wasabato kuwa wanafuata matendo ya Yesu yeye alisali kwenye sinagogi na masinagogi yapo leo mbona hamuingii? Utimilifu wa imani ya ukristu ulikamilika siku ya pasaka alipofufuka kutoka wafu! Ila ukidumu katika torati ni" kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria wako chini ya laana;maana imeandikwa Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati ayafanye"2 kor 3:10 ukisoma 2 kor 3:13 kristo alitukomboa ktk laana ya torati kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu,maana imeandikwa Amelaaniwa kila atundikwae juu ya mti. Shetani hapendi tukombolewe kutoka utumwa wa dhambi,kwa hiyo hapendi tutoke kwenye laana ya torati,ndiyo maana twaruhusiwa kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni bila kuuliza kwa ajili ya dhamiri.

Hongera nimeipenda hiyo blue. Ni ukweli usipingika kabisa kwamba Shetani hapendi mtoke kule. Na ni ukweli usiopingika kabisa kwamba kutokana na kuzidiwa na nguvu za Shetani ndiyo maana mnakula hata vilivyokatazwa katika maandiko,yet ukaendelea kujiita mfuasi wa Kristo! Katika hili Mungu akubariki sana maana umeanza kutambua ukweli! Nitakuombea!!!

cc ntuzu, Basluma Original
 
cjaja kuchekesha hapa mana kwenye station yenu mnasema walokole wanapga kelele na kunena kwa lugha ni mapepo wachafu ndo mana nyie hamna tofaut na muslim haiwezekani wewe ni mtu unayetumia bible useme wengne wanasali kiunafiki kwa ku quote baadhi ya vifungu halafu umejuaje kuwa tunaropoka wewe nashanga ni Mungu gani aliyekupa mamlaka ya ku judge madhehebu mengne eti tunaropoka na wewe una hakika gani kuwa huwa uko sahihi usalipo halafu ndo kazi ya masabato salia mngekuwa mnafata upendo na tunda la roho mtakatifu mungekashifu wengne mana hapo si upendo wa kweli kukashifu wengne au huyo ndo mungu wenu anavowatuma halafu usipo tumia akili eti mimi niwe mtoa roho mtakatifu something which is imposible Yesu ndo mwenye mamlaka mana alituachia msaidizi

shiiiii! taratibu wewe msayuni, mbona unajazba hivo? umeokoka wewe? unaona sasa madhara ya jazba unaandika ujumbe hauna vituo hata inakuwa ngumu kuuelewa, maana maneno yameungana yote! haya twende taratibu Yesu anatupenda!!!!!
 
cjaja kuchekesha hapa mana kwenye station yenu mnasema walokole wanapga kelele na kunena kwa lugha ni mapepo wachafu ndo mana nyie hamna tofaut na muslim haiwezekani wewe ni mtu unayetumia bible useme wengne wanasali kiunafiki kwa ku quote baadhi ya vifungu halafu umejuaje kuwa tunaropoka wewe nashanga ni Mungu gani aliyekupa mamlaka ya ku judge madhehebu mengne eti tunaropoka na wewe una hakika gani kuwa huwa uko sahihi usalipo halafu ndo kazi ya masabato salia mngekuwa mnafata upendo na tunda la roho mtakatifu mungekashifu wengne mana hapo si upendo wa kweli kukashifu wengne au huyo ndo mungu wenu anavowatuma halafu usipo tumia akili eti mimi niwe mtoa roho mtakatifu something which is imposible Yesu ndo mwenye mamlaka mana alituachia msaidizi
SIja judge,lakini kama unahisi nimeku judge basi sivyo , nilichofanya ni kurefer ukweli wa kile mnachofanya katika muda wa kujazwa na roho mtakatifu(according to nyie).
 
Wacha niongeze pop corn na kitu cha soda ... hya endeleeni kumbe mnatofauti kubwa hv
 
Ntuzu wapi iyo?,tunasubiri majibu mkuu huonekani..



Mkuu ZionGate nimepunguza pilika na niko kwa njia kuelekea home!

Naam! Kuna Maswali niliyaacha kiporo! Kwanza sijui lile la kuhusu chakula limeeleweka au Bado?
 
Last edited by a moderator:
Ingawa nimekupa hoja ya 2 wakorinto 3:6,kuhusu agano jipya,1wakorinto 10:25 na Luka 10:8 kuhusu kula umepotezea. Haya soma wagalatia 3:10-14. Kwa hy wasabato mmechagua matendo ya sheria kwa hy mko chini ya laana kwa maana imeandikwa amelaaniwa kila mtu asiyedumu ktk kitabu cha torati ayafanye,sisi tumepata neema kwa imani,nyinyi mnatafuta haki kwa sheria,je Yesu hakufanya kazi siku ya sabato? Hakuponya? Kama alifanya kazi siku ya sabato kwa nn msifuate nanyi?

aisee!Uwe unasoma biblia kwa kutafakari, biblia siyo magazeti!!! Hebu tuyachunguze maandiko hapa:
umetoa 2wakorintho 3:6
jibu lako: Waebrania 8:8-12

[SUP]8 [/SUP] Maana, awalaumupo, asema Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda agano jipya;
[SUP]9 [/SUP] Halitakuwa kama agano lile nililoagana na baba zao, Katika siku ile nilipowashika mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri. Kwa sababu hawakudumu katika agano langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
[SUP]10[/SUP] Maana hili ndilo agano nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu wangu.
[SUP]11[/SUP] Nao hawatafundishana kila mtu na jirani yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema, Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua, Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
[SUP]12[/SUP] Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.

Nafikiri ukisoma kwa kutafakari utaelewa mwenyewe. Hilo ndo agano jipya analoliongea.
Mungu anapoongea agano jipya hamaanishi uandishi wa biblia kabla ya Yesu na wakati wa Yesu.Hapa kinachokusumbua ni kiswahili tu nafikiri watafsiri walishindwa kupata neno kama la kiingereza au lugha zingine.
Katika kiingereza AGANO LINALOONGELEWA HAPA INAMAANISHA COVENANT na hilo la uandishi ambalo wewe pia umepotea kwalo linaitwa OLD TESTAMENT kwa agano la kale(yaani biblia iliandikwa kabla Yesu hajafanyika mwili) na NEW TESTAMENT kwa agano jipya(yaani biblia wakati Yesu amefanyika mwili)
Umetoa 1 Wakorintho 10:25
Jibu soma 1 Wakorintho10:23-33

23 Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vifaavyo. Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vijengavyo.
24 Mtu asitafute faida yake mwenyewe, bali ya mwenzake.
25 Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;
26 maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
27 Na mtu asiyeamini akiwaalika, nanyi mnataka kwenda, kuleni kila kitu kiwekwacho mbele yenu bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri.
28 Lakini mtu akiwaambia, Kitu hiki kimetolewa kiwe sadaka, msile, kwa ajili yake yeye aliyeonyesha, na kwa ajili ya dhamiri.
29 Nasema, dhamiri, lakini si yako, bali ya yule mwingine. Maana kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
30 Ikiwa mimi natumia sehemu yangu kwa shukrani, kwa nini nitukanwe, kwa ajili ya kitu nikishukuriacho?
31 Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
32 Msiwakoseshe Wayahudi wala Wayunani wala kanisa la Mungu,
33 vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.

Rafiki, kama nilivyokwisha sema huko mwanzoni, usisome biblia mstari mmoja kwa nia ya kuhalarisha kilicho haramu. twende pamoja:
Majibu yamekuwa wazi sana katika fungu la 27,28 ambapo sasa shida kubwa iliyokuwepo Korintho wakati wa uingizaji wa injili ya Yesu imetajwa wazi katika mafungu hayo.Elewa kwamba Injili ya Yesu ilipoingia wale waliopokea bado hawakuwa tayari kushirikiana na wale wapagani ambao waliendelea kuamini na kufanya matambiko ya miungu yao. Hivyo basi wale waongofu wapya badala ya kuonyesha kwamba Mizimu ya wapagani haina nguvu kwao, badala yake walipofika sokoni walianza kuuliza kama ile nyama iliyouzwa mle sokoni ilikuwa imechinjwa kwa ajili ya ibaada ya mizimu(sanamu) au la. Na walipoambiwa ilichinjwa kwa ajili ya ibaada ya (sanamu) waliacha kununua. Ndipo Paulo akawaandikia barua hiyo akiwaambia wasiulize ulize ila wanunue wakale tu maana wao wamekuwa viumbe wapya katika Kristo Yesu. Pia uelewe kwamba katika suala zima la ibaada iwe ya Kikristo au ya Wapagani, mnyama aliyechinjwa ni kondoo, usijefikiri walichinja nguruwe. Kwa hiyo rafiki hakuna vyakula najisi vilivyoruhusiwa kuliwa. Najisi ni najisi hata Kristo arudipo!!! Halafu mbona hukuongelea fungu la 31,32?

Umetoa Luka 10:8
Jibu: Hili fungu linakuhusu wewe na wenziyo ndo maana usiku mwingi huu sijalala najaribu kukufunulia mambo haya usiyoyaelewa!
Wagalatia 3:10-14
Hili limejibiwa na Basluma Original sihitaji kuongeza!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom