Nataka kufahamu uhusiano wenu na mashahidi wa yehova. Na ni kwanini mliamua kujitenga. I mean ni kitu gani mliona hakiendi sawa ndani ya mashahidi hadi muamue kujitoa?
Majibu tafadhali!!
Kwa kumbukumbu zangu nzuri niliwahi kariri (nikiwa mdogo)kutoka nukuu ya Mama White ambayo sijui ni kutoka kitabu gani anayoelezea kuhusu nyota ya Nebula iliyo katikati ya orion belt kama lango la mbinguni. Yesu alienda mbinguni kupitia pale, atakuja kupitia pale, na Jerusalem mpya itapitia pale. Binafsi tangu sekondari nafuatilia kuelewa hiyo Nebula kisayansi ila hakuna maelezo mazuri ya kukaribiana hayo.Ngoja nijaribu kuileta hapa,, ila nimeisoma na hakuna hicho kitu, labda kama ni kutoka maandishi ya wapinga E.G.White. Ila unaweza cheki video moja ipo youtube inaitwa Project bluebeam. Wanaeleza kuhusu ugunduzi ambao utasaidia shetani kuja duniani katika umbo la Yesu kristo kama E.G.White alivyoeleza kwenye baadhi ya maandishi yake.
Kaka mambo ya dini yaacheni kama yalivyo na spendi ukashifu dini yangu mbili kwa wale wanaosoma LLB je kuna sheria ya dini ya kisabato??Sabato ya kweli ni moja, ambayo ni siku ya saba(ya Yesu) kwa hapa inafahamika kama jumamosi. Kuna zile mbili pia zilizoanzishwa na wanadamu i.e sabato bandia ya ijumaa(ya Mohamed) na sabato bandia ya jumapili(ya Papa). Kwa hiyo jumla ni sabato tatu.
Huyo Hellen G white ndo yule aliyesababisha vifo vya watu baada ya kutoa utabiri feki wa kuzimu kuww mwisho wa Dunia ungetokea...."Great Disappointment......
JAMANII..Leten h page kw weny uwezo wakulet biashar yote itakuwakwishney CHRISTIANS EXP AND TEACHING OF E G.WHITE pg111
KWa sda umechemka.labd hao
Hiyo ni mpya kwangu, kwamba msabato alijitenga toka mashahidi wa yehova, eti Ntuzu unaifahamu hii kitu aisee maana kwangu hii ni ngeni.
Duh..huo sasa uchokozi! Ndio maana wengine tunasema kila mtu dini yake ni kweli kwake ndio maana anaamini kwa hiyo lazima kufanyiana heshima. Mambo ya kejeli kwa dini za wengine na wewe utafanyiwa kejeli. Tusijidanganye hakuna dini yenye hati miliki na mungu, mungu ni wa wote.ila keshakufa huyo mungu wako,,nasikia pia mtume mhamed alikua shoga.
Kulingana na sheria za nchi hapo red ni sahihi zaidi, ila kulingana na sheria za Mungu hapo pako na makosa. Nikuulize swali, huko LLB mnafundishwa ukiona sheria inapindishwa unyamaze kimya? Je, hakuna kitu cha kufuata kama sheria imepindishwa? Si ndio maana kuna mahakama.za kuwashugulikia wavunja sheria wote?. Ni hivyo kwa Mungu, ana sheria zake ambazo kila mwanadamu anapaswa kuzifuata, ila shetani kwa kuwatumia wanadamu amepindisha sheria za Mungu na kufikia kuhalalisha vile vilivyoharamishwa, Je, Mungu anyamaze kimya kwa sheria zake kuvunjwa? Mbona naye asitumie wanadamu(mimi na yeyote aliye tayari kutetea sheria zake). Kwa hiyo mimi hapa simtukani yeyote ila mimi ni kama ile sauti iliayo nyikani, yatengenezeni na kuyanyoosha mapito ya Bwana kwa hiyo nitaendelea kueleza ukweli maadamu ninaishi. Siwezi kukaa kimya huku sheria za Mungu wangu zikiwa zinavunjwa.Kaka mambo ya dini yaacheni kama yalivyo na spendi ukashifu dini yangu mbili kwa wale wanaosoma LLB je kuna sheria ya dini ya kisabato??
Maana zipo Athodox, RC,waisilamu,protesintant na Hindu,wasabato mko wapi??
Tuacheni kila mtu akaabudu anapoona panafaa kama havunji cheria ya nchi
Hellen White hakutabiri mwisho wa dunia, Aliyetabiri hivyo ni William Miller.
Mkuu kuna uwanja mapambano wamewekewa wapambane mpaka watowane damu, ajabu bado wanakuja kupigani mbele ya wasiohusika.
Kulingana na sheria za nchi hapo red ni sahihi zaidi, ila kulingana na sheria za Mungu hapo pako na makosa. Nikuulize swali, huko LLB mnafundishwa ukiona sheria inapindishwa unyamaze kimya? Je, hakuna kitu cha kufuata kama sheria imepindishwa? Si ndio maana kuna mahakama.za kuwashugulikia wavunja sheria wote?. Ni hivyo kwa Mungu, ana sheria zake ambazo kila mwanadamu anapaswa kuzifuata, ila shetani kwa kuwatumia wanadamu amepindisha sheria za Mungu na kufikia kuhalalisha vile vilivyoharamishwa, Je, Mungu anyamaze kimya kwa sheria zake kuvunjwa? Mbona naye asitumie wanadamu(mimi na yeyote aliye tayari kutetea sheria zake). Kwa hiyo mimi hapa simtukani yeyote ila mimi ni kama ile sauti iliayo nyikani, yatengenezeni na kuyanyoosha mapito ya Bwana kwa hiyo nitaendelea kueleza ukweli maadamu ninaishi. Siwezi kukaa kimya huku sheria za Mungu wangu zikiwa zinavunjwa.
Ku
Kweli Mungu ni wa wote, ila kuna namna ameelekeza ambayo kila amwaminiye lazima aifuate. Kwa mfano rahisi, Yesu Kristo ni wa wote, ila si kila mtu anapokea utakaso kwa dhambi zake kama hajamuamini Yesu. Dini kutokuwa na hati miliki ya Mungu, si kigezo cha kufanya tusielekezane pale tunapoona tunaabudu kinyume na matakwa ya Mungu. Ndiyo maana Nabii Ezekili aliambiwa hiviDuh..huo sasa uchokozi! Ndio maana wengine tunasema kila mtu dini yake ni kweli kwake ndio maana anaamini kwa hiyo lazima kufanyiana heshima. Mambo ya kejeli kwa dini za wengine na wewe utafanyiwa kejeli. Tusijidanganye hakuna dini yenye hati miliki na mungu, mungu ni wa wote.
sda ma walokole ndio mamburura wakubwa katika imani ya kikristo, hao wengine atilist hawa danganywi danganywi na wachungaji wao lakini sio hao watu .na ninapo zungumzio walokole mana wote wanatoka katika makanisa ya wapentekoste wengi sana wana watkuza wachungaji wao badala ya mungu. Kweli hawa ni vihiyo wa kutupa na ndio hao wako radhi motot asiende shule au asivae kiatu ili mchungaji atembelee gali zuri,shiit.
ila keshakufa huyo mungu wako,,nasikia pia mtume mhamed alikua shoga.
Kwa kumbukumbu zangu nzuri niliwahi kariri (nikiwa mdogo)kutoka nukuu ya Mama White ambayo sijui ni kutoka kitabu gani anayoelezea kuhusu nyota ya Nebula iliyo katikati ya orion belt kama lango la mbinguni. Yesu alienda mbinguni kupitia pale, atakuja kupitia pale, na Jerusalem mpya itapitia pale. Binafsi tangu sekondari nafuatilia kuelewa hiyo Nebula kisayansi ila hakuna maelezo mazuri ya kukaribiana hayo.
Jingine alilowahi kulieleza ni sayari ambazo kuna viumbe wengine kama sisi wanaishi huko na nimesoma jana au juzi humu jf kuwa wamegundua kuna sayari zingine zinazowezesha uhai zinazozunguka nyota nyingine zimegunduliwa.Kufuatia huu ugunduzi nina ujasiri kufurahia nishani ya nyota.