na vipi kuhusu shetani ni mweupe au mweusi..?
Kingereza ulichokariri ni hicho tu cha so what?Alikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?
Mkuu bado unaamini kuwa Mungu yupo?
hallelujah, yaan shetani haishi vituko na kutaka kuwatoa watu katika line ya kumtafuta Mungu.hapa anataka watu waanze ku concentrate kwenye rangi badala ya neno
I don't want to believe,I want to knowGOD is in every single atom. Believe it or not..
Ni usiku mkuu ila sio sana, 2hrs nyuma ya Tanzania.Mkuu hujalala au huko ulipo mchana?
Usingizi umeupiga pending kidogo kwa leo?
Ni usiku mkuu ila sio sana, 2hrs nyuma ya Tanzania.
Kwasasa napitia pitia ili nipate yanayojiri pande hizi pia
Hapana sipo Rwanda, nipo SwedenUpo sehemu gani Jimena?
Rwanda?
Ulitaka uniagize Eritrea nini?Upo sehemu gani Jimena?
Rwanda?

Ulitaka uniagize Eritrea nini?![]()
![]()
![]()
![]()
Basi mcheki Bennie 369 maana ye ndo alikuwa na mpango wa kuhamia huko kabisaTeh,Ndiyo mkuu
Nasikia kuna uhaba wa mashababi huko nataka walau wawili
Basi mcheki Bennie 369 maana ye ndo alikuwa na mpango wa kuhamia huko kabisa
Atakuwa kashaoa wake wawili huyu.Bennie siku hizi anapatikana kwa nadra sana
Vipi sweden upo na shem?
. Hivi mkuu we unakesha Leo?Atakuwa kashaoa wake wawili huyu.
Ndio tupo wote. Tunasukuma gurudumu la maisha tokea pande hizi.
Sasa naona na muda wangu wa kuwepo hapa nao umekwisha![]()
![]()
. Hivi mkuu we unakesha Leo?
Hapo lazima ukeshe. Wakizima mziki ndo utaweza kulalaMie popo mkuu
Hapa kwetu kuna kigodoro si kidogoro basi kelele tu
So nimeamua kuuchunia usingizi leo
me mwenyewe sijui kama yupo ila namskia watu wakimtaja kila siku...!Shetani hayupo
Kama yupo thibitisha!