TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
- Mimi binafsi sina hofu na anything najua Zanzibar haiwezi kukubali kuvunjika Muungano, kuna wachache wenye kelele ni muhimu sana kelele zao zikasikilizwa ila ninapata taabu sana na uwezo wa uongozi wa Warioba wa kulilia kuvunja tu, yaani kweli hana neno hata moja la ushauri wa wapi parekebishwe ila kuvunja tu!!
Le Mutuz System
Hoja ipi au swali lipi la warioba linatafuta majibu mbona maswali yake yote yanamajibu ya kiasili na mengine yote yamejibiwa bungeni unakurupuka bila hata kujua unaongea nini.
Yaani wewe le mutuz ungekuwa ndio JK ungeamuru mzee warioba ang'olewe meno na kucha ... wewe sio mtu mzuri ... sio vema kupenda kupitisha hoja zenu kwa kuwafumba fumba wananchi ... acha wazalendo wafunguke.
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?
- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?
- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?
- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?
- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!
- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?
Le Mutuz System
- So unaona kumbe kabla ya kuandika huwa unaomba ushauri wa baba yako sasa unataka wote hapa tuwe kama wewe? ha! ha! ha! Umaarufu? Nilipokuwa ninazaliwa Baba yangu alikuwa Mkuu wa Wilaya so umaaurufu ni wa kuzaliwa nao kaka, ha! ha! ha! ha!
Le Big Show
Mbona CCM kila siku inapayuka kupinga maoni ya wananchi hamshangai,
Nyie mnamchafua Warioba halafu mnataka akae kimya wakati mnapotosha maoni ya wananchi.
Umeona salim akienda kwenye tv kuongea?anayoyaongea warioba kwenye tv ni maoni yake au ya tume?
wewe ni mwislamu uchwara, kama una uchungu kweli na uislamu jiandikisheni mwende Africa ya kati mkapigane jihad kule waislam wanachomwa mishikaki.
Zanzibar wala haina shida na wanafki ni nchi ya kiislam siku nyingi tu labda wewe huijui Zanzibar unaropoka tu kama vitimbakwiri.
Warioba anshangaa jinsi Jk alivyovunja katiba wewe unaleta porojo za Disco za usiku ulikozoea. Rais gani anavunja katiba kuharibu nchi yet mwamchekea? Rais gani ana advocate mapinduzi ya kijeshi? Anaogopa nini kama yu msafi? Jk ni dangerous sana.
Dah. Naona hata neno jihad hulijui maana yake na unalitumia uoendavyo wewe. Jihad maana yake si kupigana vita, aliyekufundisha hivyo kakudangaya. Jihad ni "to strive", kujitahidi, kama Muislaam unatakiwa ujitahidi kwa chochote ukifanyacho kwa njia ya Mwenyeezi Mungu na usijitahidi kwa njia ya shetani, yaani usijitahidi kunywa gongo sana kama unavyonesha wewe kwa matamko yako.
Zanzibar ina Waislaam 99% na hofu kubwa ya Warioba ni kuwa kwa sasa wana nchi yao, na hicho kinamuuma sana.
Halikadalika, William Lukuvi, yeye ndio kasema wazi kabisa, hofu yake ni Zanzibar kuwa nchi ya Kiislaam.
Wewe pia katika haya maandiko yako unaonesha hofu yako kwa Uislaam aka Islamophobia. Nikutowe hofu, Uislaam upo, utakuwepo, na unazidi kukuwa, upende usipende.
Natamani sana kuiona Islamic Republic of Zanzibar.
Dah. Naona hata neno jihad hulijui maana yake na unalitumia uoendavyo wewe. Jihad maana yake si kupigana vita, aliyekufundisha hivyo kakudangaya. Jihad ni "to strive", kujitahidi, kama Muislaam unatakiwa ujitahidi kwa chochote ukifanyacho kwa njia ya Mwenyeezi Mungu na usijitahidi kwa njia ya shetani, yaani usijitahidi kunywa gongo sana kama unavyonesha wewe kwa matamko yako.
Zanzibar ina Waislaam 99% na hofu kubwa ya Warioba ni kuwa kwa sasa wana nchi yao, na hicho kinamuuma sana.
Halikadalika, William Lukuvi, yeye ndio kasema wazi kabisa, hofu yake ni Zanzibar kuwa nchi ya Kiislaam.
Wewe pia katika haya maandiko yako unaonesha hofu yako kwa Uislaam aka Islamophobia. Nikutowe hofu, Uislaam upo, utakuwepo, na unazidi kukuwa, upende usipende.
Natamani sana kuiona Islamic Republic of Zanzibar.
Hata baba yako mzazi hana hadhi ya kujibizana na Warioba.- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?
- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?
- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?
- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?
- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!
- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?
Le Mutuz System
Hivi lini wewe utakua .51 bado akili kama za shule ya kata ,namsikitia sana baba yako maana kala hasara- Naona umechoka kutukana matusi kaka maana hii huwa sio kawaida yako, mzima lakini maana siku hizi sikuoni tena upo mjini?
Le Mutuz system
- Ok ungekuwa msomi kama mimi kwanza ungeanza kuchambua jinsi wazazi wako walivyolisaidia hili Taifa ndio ungeanza kuuliza wazazi wa wengine, pole sana nenda shule tena kaka ujifunze kuelewa mada kabla ya kujibu!!
Le Mutuz System
Pengine upo sahihi, simwelewi na sintomwelewa mtanganyika anayetetea muundo wa sasa wa muungano.