Warioba Anataka Nini Hasa?

Warioba Anataka Nini Hasa?

Mkuu huyu jamaa ni mtani wako,ni kweli unakaa nyumbani kwa mzee au kwenye nyumba tofauti lakini inayomilikiwa na baba,just curiosity!.

- Kaka hata wewe na yeye mnaonekana baba zenu hawana nyumba na wewe pia huna nyumba, halafu si mfungue thread ya members humu wenye nyumba na wasiokuwa nazo au? ha! ha! ha!

Le Mutuz System
 
Ungekaa na Mshua wako akwambie ni sababu zipi zilimfanya aongoze G55 wakati Mzee Kifimbo akiwa bado hai na sababu hizo bado hazijabadilika kabla hujaamka kumrukia mtu ambaye huna Moral wala academic Authority ya kuhoji kile alichopendekeza
 
Ungekaa na Mshua wako akwambie ni sababu zipi zilimfanya aongoze G55 wakati Mzee Kifimbo akiwa bado hai na sababu hizo bado hazijabadilika kabla hujaamka kumrukia mtu ambaye huna Moral wala academic Authority ya kuhoji kile alichopendekeza

- Kwa hiyo wewe kumbe huwa unakaa na mshuwa wako kabla ya kuja hapa? ha1 ha! ha!

Le Mutuz System
 
Hii ndio krimu ya ccm, Wilium Malecella ndie wanaccm wanamwamini kama great thinker wao,

Kwanini Chama kisife kama kweli kinategemea matahira kama huyu???
 
Kuna mambo 2 muhimu katika hoja za huyu mzee wetu na zinazofanya ujiulize hayo maswali: 1. Kuvunjwa kwa katiba, mf Kuviondolea nguvu vyombo vya muungano bila kkufwata utaratibu wa kikatiba na hii inadhihirisha kutoweka kwa dhati ya muungano ilio kuwepo mwanzo
2. Ni kutetea kile anachokiamini kwamba ni mawazo ya wananchi waliohojiwa na tume.
Hebu nawe tujuze ni kwanini hoja namba 1 hapo juu haitolewi maelezo zaidi ya kuishambulia tume? Je si kwamba kuna unafiki wa viongozi wetu juu ya nia yao ya kulinda kayiba na kudumisha muungano?

- Mimi nashindwa kumuelewa exactly anachotegemea kufanikiwa, na jana WHY ITV? Ndio maana ninasema kuna maswali mengi sana ya kujibu kuliko Maoni ya Tume!1

Le Mutuz System
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

We dogo huna hoja,umelelewa kwa kodi za watanzania,umesomeshwa shule bora,unatibiwa Hosptar bora kwa jasho la maskin hawa wa tanzania,sasa tena unataka na kizazu chako kienderee kunyonya maskini hawa? kwani hauwezi kuishi kwa kuwa mwalmu?machinga?mkulima ama mvuvi?umelelewa kijinga una mawazo ya kijinga na maamzi yako ni ya kijinga,kwani ccm ni mungu?kwamba ni Alfa na omega?
 
Hii ndio krimu ya ccm, Wilium Malecella ndie wanaccm wanamwamini kama great thinker wao,

Kwanini Chama kisife kama kweli kinategemea matahira kama huyu???

- Kaka yaani kweli chama kilichokupiga kwenye uchaguzi wa Madiwani majuzi, kikakupiga kwenye uchazui Kalenga halafu tena kikakupiga uchaguzi wa Chalinze unasema kitakufa kabla ya chama chako mnachopiga ngumi wasiokubali uhuni wenu? Please kaka!!

Le Mutuz System
 
We dogo huna hoja,umelelewa kwa kodi za watanzania,umesomeshwa shule bora,unatibiwa Hosptar bora kwa jasho la maskin hawa wa tanzania,sasa tena unataka na kizazu chako kienderee kunyonya maskini hawa? kwani hauwezi kuishi kwa kuwa mwalmu?machinga?mkulima ama mvuvi?umelelewa kijinga una mawazo ya kijinga na maamzi yako ni ya kijinga,kwani ccm ni mungu?kwamba ni Alfa na omega?

- Eti kaka wewe ni Warioba au?

Le Mutuz System
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

Umeongea mengi sana lakini sijakuelewa. Au labda kama kuna post ulishaweka na sijaipitia. Hivi Warioba kama aliandika na kukabidhi maoni yake, je yale ya tume yako wapi? Manake alikuwa akiongoza tume ya magwiji nchini ambao uteuzi wao ulipitia hatua nzuri tu. Je hao wengine waliamua kumuachia huyo mzee aandike maoni yake na kuacha ya wananchi? Naomba unifafanulie mana hao jamaa wamekula kodi yangu
 
- Kwa hiyo wewe kumbe huwa unakaa na mshuwa wako kabla ya kuja hapa? ha1 ha! ha!

Le Mutuz System

Mshua wangu hakuhusika kwa nmna yoyote na G55 ambayo hata nusu ya Mapendekezo ya katiba hayajafikia matakwa aliyokuwa nayo mshua wako.Kwa sababu Mna-share DNA akikueleza utamwelewa vizuri.Tumia muda wako vizuri kwenda kumwuliza
 
sisi kama ccm, sisi kama ccm, ina mana watanzania zaidi ya million 40 wasiokuwa wanachama wa ccm katiba haiwahusu! wee jamaa ni vuvuzela mchumia tumbo! mzee mzima bila haya unaishi maisha ya kuji pendekeza!!!
 
Mfumo wa Muungano wa S2 Ulifaa mazingira na voiongozi kama Nyerere na Karume na si vinginevyo.

Kama Nyerere alisema asiyeweza kuitetea katiba aliyoapa kuilinda ni Msalit,ina maana Rais Kikwete ni msaliti kuruhusu katiba kuvunjwa

Hafai na hafai kutuongoza kwa lolote la maana haswa kutengeneza katiba ya wananchi bila kutusaliti tena
 
Anataka katiba yenye kujali maslahi ya wananchi,siyo wewe mzee mwenye miaka 51,lakini unaakili kama za mtoto mwenye miaka 14!
Unapoendesha Noah na kupiga mziki mkubwa basi unaona umeyapatia maisha!

nimecheka sana,hivi kukaa USA miaka yote hiyo ameleta nini hasa hapa Tanzania?
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

naomba nikuulize swali wewe William Malecela,,,,,hivi kila mwenye mawazo tofauti na nyie ni adui yenu?kwa nini msisikilze maoni ya wananchi???mnaogopa nini?
 
Umeongea mengi sana lakini sijakuelewa. Au labda kama kuna post ulishaweka na sijaipitia. Hivi Warioba kama aliandika na kukabidhi maoni yake, je yale ya tume yako wapi? Manake alikuwa akiongoza tume ya magwiji nchini ambao uteuzi wao ulipitia hatua nzuri tu. Je hao wengine waliamua kumuachia huyo mzee aandike maoni yake na kuacha ya wananchi? Naomba unifafanulie mana hao jamaa wamekula kodi yangu


- Umekuja kujibu usiyoyaelewa? ha! ha! ha!

Le Mutuz System
 
naomba nikuulize swali wewe William Malecela,,,,,hivi kila mwenye mawazo tofauti na nyie ni adui yenu?kwa nini msisikilze maoni ya wananchi???mnaogopa nini?

- Naona umechoka kutukana matusi kaka maana hii huwa sio kawaida yako, mzima lakini maana siku hizi sikuoni tena upo mjini?

Le Mutuz system
 
- Mimi nashindwa kumuelewa exactly anachotegemea kufanikiwa, na jana WHY ITV? Ndio maana ninasema kuna maswali mengi sana ya kujibu kuliko
Le Mutuz System

Huwezi kumuelewa kama hutaki kumuelewa. I am trying to be neutral and matured here I hope you are so as well. I love this union tukubaliane kuuboresha na kama kweli tuna nia hiyo. Sikubaliani na Ccm wala Ukawa jinsi hoja zao zinajengwa kwa msingi wa maslahi ya kisiasa si msukumo wa nia ya dhati ya muungano. Tuko pamoja au wewe unaupande ndugu?
 
Back
Top Bottom