Warioba Anataka Nini Hasa?

Warioba Anataka Nini Hasa?

nani kakwambia warioba ndo anawatingisha, hivi hamjajua kwamba mmeshatoka madarakani,fungukeni macho muone yaliyotokea hebu niambie kampuni ya strabag imeyeyukia wapi
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

mwana -------- ni aibu kwa babaye........hv hata kama hujafikisha miaka 25 huwezi Ku reason zaid ya hapo? basi jenga hoja yako kwa kuengemea mgogoro uliopo wa kikatiba kati ya zanz na JMT.....!!!

hata kutushawishi kwa hoja ya jeshi ka yule kanjanja umeshindwa kweli........?????? hlo gazeti lazima lipate hasara sana Leo.....nan wa kusoma udaku wak??
 
Mbona chadema walifanya mikutano ya hadhara karibu nchi nzima kueleza wanachama wao na wapenzi wao nini wanachotakiwa kusema.hilo warioba hakuona..?

Tatizo ni kuwa Chadema walitoa elimu ya uraia na kuwaacha wananchi wakajieleze wenyewe lakini CCM iliwapa hadi madesa, jamaa wakaingia nayo kwenye chumba cha mtihani. Wasahihishaji wakakuta kuna mfanano usiokuwa wa kawaida katika maelezo yani hadi nukta. Sasa ikabidi Mzee awafutiei matokeo!
 
W. J. Malecela mimi nakushauri rudi tu kule Amerika ulikokuwa unapakuliwa msosi.
Hii si sehemu ya kuja ku-advertise magazeti yenu ya wauza sembe.
Invisible peleka hii kitu kule kwenye matangazo
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kuwa Chadema walitoa elimu ya uraia na kuwaacha wananchi wakajieleze wenyewe lakini CCM iliwapa hadi madesa, jamaa wakaingia nayo kwenye chumba cha mtihani. Wasahihishaji wakakuta kuna mfanano usiokuwa wa kawaida katika maelezo yani hadi nukta. Sasa ikabidi Mzee awafutiei matokeo!

Mtu anadesa mpaka nukta, CCM ni janga kuu
 
Kwa hili naona unatofautiana na Jakaya wetu?!

Mimi namwomba WJM anisaidie kujibu haya atakapokuwa anaandika makala yake kwenye JamboLeo ya Jumapili ijayo:
-Katiba ya JMT haikuvunjwa na yale mabadiliko yaliyofanywa kwenye Katiba ya Zanzibar mwaka 2010 na Jakaya wetu akakaa kimya?
-Bunge la Jamhuri ya Muungano lilichukua hatua gani baada ya kuona mlinzi namba moja wa Katiba ya JMT kakaa kimya?

-Kuna uwezekano wowote wa kuirekebisha Katiba ya Zanzibar ili iondoe marekebisho yale ya 2010?

Kumbuka kuwa Jakaya Mrisho Kikwete kakuta kuna kero za Muungano na kafanya jihadi (kajitahidi sana) kutatua hizo kero.

Mimi sitofautiani na Kikwete. Mpira uko kwenu muucheze mchezavyo Zanzibar ni lazima iwe na mamlaka kamili. Imeanza kwa kutambulika rasmi kuwa ni nchi, sasa bado kuwa na Uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake, siyo mpaka yakaamuliwe Dodoma.

Tunataka tuione OIC inarudi Zanzibar haraka iwezekanavyo.
 
Kuna siku niliandika hapa kuwa sikio linatabia ya kusikia kile linachotaka kusikia,tofauti na hapo halitokisia lisichotaka. CCM toka awali kabisa sikio lao halikutaka kusikia "kubadili muundo wa Muungano". Tume hii hii ya Jaji Warioba kama ingekuja na maoni ya kuwa "wengi wamependekeza" Muungano wa serikali mbili kama ulivyo,leo dhihaka,matusi,kejeli na dharau dhidi ya Warioba na Tume visingekuwepo.
An Ear of CCM was not and never will it be ready to correctly hear the so called "serikali 3". Ukiwasikiliza wajumbe almost 99.99% hawajibu hoja za msingi kabisa zilizomo ndani ya Rasimu,they personally attack warioba na Tume. Ikiwa CCM inasema Rasimu haswa ibara inayogusa Muundo wa Muungano si maoni ya wananchi,na ikiwa wajumbe karibu wote wanasema "wananchi wake" wamemtuma kuunga Serikali mbili,suala la Serikali ngapi/Muungano wa aina gani lirudishwe kwa wananchi lipigiwe kura then mchakato uendelee. Kuendelea kujadili Rasimu ambayo wengi (CCM) wanasema ni ya uongo,means tayari hatua hii imevurugika...we can not step ahead.
 
Kumbuka kuwa Jakaya Mrisho Kikwete kakuta kuna kero za Muungano na kafanya jihadi (kajitahidi sana) kutatua hizo kero.

Mimi sitofautiani na Kikwete. Mpira uko kwenu muucheze mchezavyo Zanzibar ni lazima iwe na mamlaka kamili. Imeanza kwa kutambulika rasmi kuwa ni nchi, sasa bado kuwa na Uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake, siyo mpaka yakaamuliwe Dodoma.

Tunataka tuione OIC inarudi Zanzibar haraka iwezekanavyo.

Kwa maneno mengine unaunga mkono serikali tatu.... Maana tuwe na Nchi inaitwa Zanzibar na nyingine Tanganyika
 
Tatizo la maccm wanamjadili Warioba badala ya kujadili issues ambazo tume imeziibua, mfano kwamba katiba ya muungano inasema Tanzania ni nchi moja ambayo ilikuwa formed baada ya kuunganisha iliyokuwa jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa jamhuri ya Zanzibar lakini mabadilko ya katiba ya Zanzbar ya 2010 yanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo imjitwalia baadhi ya madaraka ya serikali ya muungano. JK alishindwa kuilinda katiba ya muungano na akaacha Zanzibar ivunje katiba kwa mabadiliko hayo ya 2010. Kwa bunge lenye wabunge makini tungekuwa tumemsahau JK zamani kwani angekuwa ameondolewa kwa kushindwa kuilinda katiba (Mwenye clip ya hotuba ya baba wa taifa ya Kilimanjaro Hotel kuhusu katiba aiweke).

Anachofanya Warioba ni funika kombe mwanaharamu apite kwani it is too late as ili muungano uwe wa serikali 2 maccm waiadibishe Zanzibar irudishe katiba yake kabla ya mabadiliko ya katiba yao 2010 jambo ambalo ni gumu as inabidi liamuliwe na kura ya maoni ya Wazanzibari.

Msaliti wa muungano ni yupi, aliyekubali Zanzibar ijitwalie madaraka ya serikali ya muungano au anayetaka kurekebisha hali iliyopo pasipo kumshitaki raisi ambaye ameshindwa kuilinda katiba? Anachofanya Warioba na kueleza sababu za tume kupendekeza mfumo wa serikali 3 ni sahihi kwani maccm mnamshambulia pasipo hoja na matusi, unataka anyamaze kimya, CCM siyo mama yake na ikibidi atatoka.

Muungano kama ndoa haupaswi kulindwa na vifaru na madege yaliyo oneshwa kwenye sherehe za muungano, kama hakutakuwa na hiari na maridhaiano hautalazimishwa kwa nguvu yoyote, utakufa tu. Maccm kaeni na mjibu hoja za nguvu na mwache kutumia nguvu kujibu hoja.
 
Nilivyomuelewa Warioba ni kuwa anataka Serikali ya Muungano ilazimishe amma Zanzibar wafute Katiba yao kwa kuwa inawapa Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao amma wapewe Uhuru kamili.

Hapo sasa!

Wewe hofu yako ni nini> kuwa Zanzibar itakuwa nchi ya Kiislaam kama William Lukuvi na Mzee Mwanakijiji?
Napenda argument zako, kwa kuwa zina uhalisia sana, unaandika unachokiamini.
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni yau spposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System
Mheshimiwa angalia hizo rangi nyekundu yaani ndicho ulichoambulia pamoja na kutumia kodi zetu kusoma ulaya, tumia tu lugha ya kiswahili tutakuelewa sio kuvurunda sarufi ya lugha ya watu :blabla:
 
Mheshimiwa angalia hizo rangi nyekundu yaani ndicho ulichoambulia pamoja na kutumia kodi zetu kusoma ulaya, tumia tu lugha ya kiswahili tutakuelewa sio kuvurunda sarufi ya lugha ya watu :blabla:

Umeona eeeh!
 
Kwa maneno mengine unaunga mkono serikali tatu.... Maana tuwe na Nchi inaitwa Zanzibar na nyingine Tanganyika

Kama ni tatu zitawapa Uhuru kamili wakujiamulia mambo yao ya msingi au kama ni mbili haijalishi, mradi tusiwabane na kuwalazimisha tuyatakayo sisi. Mfano kama Serikali yetu imeamua haina dini basi tusiwalazimishe na wao kuwa Serikali yao isiwe na dini.
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System
Naona unawashawishi wenzako mmngoe meno na kucha mzee wetu. Mmezoea kutuburuza tangu enzi za babako mmerithi nyie mnataka kuendelea. Anauchungu na maagizo yetu tuliyomtuma ambayo mmeamua kuingiza kapuni. Ni kweli hayupo peke yake ila tupo Watanzania wengi saaaaaaana nyuma yake hicho ndio kinampa nguvu.
 
Mheshimiwa angalia hizo rangi nyekundu yaani ndicho ulichoambulia pamoja na kutumia kodi zetu kusoma ulaya, tumia tu lugha ya kiswahili tutakuelewa sio kuvurunda sarufi ya lugha ya watu :blabla:

- Sijakuelewa mkuu sana eti tatizo lipo wapi na hayo maneno ya English? hebu fafanua kidogo?

Le Mutuz System
 
Naona unawashawishi wenzako mmngoe meno na kucha mzee wetu. Mmezoea kutuburuza tangu enzi za babako mmerithi nyie mnataka kuendelea. Anauchungu na maagizo yetu tuliyomtuma ambayo mmeamua kuingiza kapuni. Ni kweli hayupo peke yake ila tupo Watanzania wengi saaaaaaana nyuma yake hicho ndio kinampa nguvu.

- Sio kweli hawakilishi wananchi wengi angekuwa kusingekuwa na utata na ripoti yake, poleni sana!1

Le Mutuz System
 
Ni kweli lina noah fulani hivi lina machata ya kumwaga na huwa linapiga mziki kama limbukeni fulani

- ha! ha! si ungefungua thread ya members wa JF na magari yao nani anatembelea gari gani na nani anapiga muziki kwenye gari, le mburulazzz kazi yako ni kutembea mitaani kusikiliza magari ya members wa JF ha1 ha! ha!

Le Mutuz system
 
- Mpaka leo Warioba ameshindwa kujibu swali moja tu la msingi Serikali ya shirikisho itapata wapi pesa? Rais wa Tanganyika ndio atakuwa the most powerful man kwenye shirikisho sasa eti ni kwa nini akubali kuongozwa na Rais wa Shirikisho na huku ana kila kitu within his power kwenye Shirikisho atakwenda kutafuta nini hasa ambacho hatakuwa nacho kwenye Tanganyika?

Le Mutuz System
Mmezoea kuabuse katiba ndio maana mnakuwa na hofu kiasi hiki mkijua kila atakaeingia atakiuka kama CCM ilivyozoea.
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

Deni la Taifa linakaribita 40 Trillion hujaiona hiyo thread?
 
Kama ni tatu zitawapa Uhuru kamili wakujiamulia mambo yao ya msingi au kama ni mbili haijalishi, mradi tusiwabane na kuwalazimisha tuyatakayo sisi. Mfano kama Serikali yetu imeamua haina dini basi tusiwalazimishe na wao kuwa Serikali yao isiwe na dini.

Dada Faiza,ili huo uhuru kamili uwepo,bila kupindisha maneno ni serikali 3..
 
Back
Top Bottom